stunna nakuelewa sana, mkuu.
Ila kidogo nitie tie nyama then msomaji huweza kupata mwanga na majibu ya baadhi ya maswali yake.
Kila kitu kina higher level katika utendaji wake, katika hizo level kuna watu ambao ni choosen one ambao huweza kabidhiwa siri ya kitu husika na kuaminika moja kwa moja na Blue print wa uchawi na giza ambae ni Lucifer.
kama alivyosem wanaotumia Fimbo na miongon mwa wenye nguvu kidgo, katika process moja ya kuhakikisha fimbo hutumika kama usafir haya hufanyika. Muhusika anaiweka fimbo hiyo chini, kisha huanza kusoma dua fulani kwa Lugha ya kiarabu fimbo hiyo hunyanyuka na kupanda hewani kama ilivyokuwa imelazwa. Sasa hapo muhusika atakanyaga upande mmoja wa fimbo kisha majini yake yatamwonyesh njia yote atayopita roho, na kuona kama kuna hatari yeyote atapewa warning pia, akiweka mguu wa pili kwenye fimbo safari itaanza, tena hiii ndio njiaa ya haraka sana.
Nini hufanyika hapo, roho itaacha mwili (kama baadhi wanavyofundisha jinsi ya kutoka nje ya mwili humu) fimbo ile itaanza kukimbia na roho yako itaanza kuifata mwili huo kwa haraka sana ndio maana jina lingine la usafiri huu ni kujitoa uhai.
Waganga wengi unaowaona ni zao hilo hilo la kuzimu, wana kazi na wajibu wao pia, ila dhumuni kubwa ni kupeleka roho nyingi kuzimu na kutesa watu na kuwaondoa akili za kuwaza ibada. Wao wanaleta shida na hao hao hujifanya kuleta suluhu ili kukamata roho yako vizuri, kumjua mganga angalia equation hiii
Mganga =mchawi + Tabibu.
Ni zaid ya uchawi maana huweza kuroga na kuagua.
Unapo pata shida za wachawi hujaenda kwa mganga ni sawa umepigwa na chui ukaenda kwa simba kutaka msaada.
Msaada huo ni wa muda mfupi haudumu milele. Ukitaka kuwa Salama tafuta Mungu wa kweli ambae hana shaka na wala hajawahi hata kuhisiwa au kutamkwa popote kuwa ni Mungu wa kuzimu, Ukipata wachawi 100 hakuna hata mmoja ambae anasema alitumwa, au kukutana na YESU ili ampe nguvu za kichawi, mengine tafakari.
Kila nitakapo pata neno la kuchangia nitafanya hivyo