Ndombe Mubele
JF-Expert Member
- May 19, 2019
- 242
- 529
Una Matatizo wewe Yani timu ya 7 Bora Africa ianzie Nyumbani tena Raundi ya kwanza ? Unafatilia soka vzr kweli wewe?Na mbaya zaidi game tunaanzia kwa mkapa afu tunamalizia Tripoli kwa first eleven ya kuanza na mzamiru plus mapembe na sub kibu lazima kiumane
😂😂 Hili jamaa hili yaan Simba ianzie nyumbani na hii timuNa mbaya zaidi game tunaanzia kwa mkapa afu tunamalizia Tripoli kwa first eleven ya kuanza na mzamiru plus mapembe na sub kibu lazima kiumane
Hujui kituNa mbaya zaidi game tunaanzia kwa mkapa afu tunamalizia Tripoli kwa first eleven ya kuanza na mzamiru plus mapembe na sub kibu lazima kiumane
Hajui mpira huyo😂😂 Hili jamaa hili yaan Simba ianzie nyumbani na hii timu
Kiuhalisia hap tripoli ndio wana hofu sana na simba, simba ipo top 5 hadi 10 kwenye lank za club bora Africa hilo tu linawatisha sana Tripoli.WACHEZAJI wa kimataifa wa Al Ahli Tripoli [emoji116][emoji91]
1.Mabululu (Angola [emoji1029])
2.Herelinson (Angola [emoji1029])
3.Ayoub (Tunisia [emoji1249])
4.Mourad (Tunisia [emoji1249])
5.Samer Jondi (Palestine [emoji1193])
6.Manzi (Rwanda [emoji1206])
7.isac Mintah (Ghana [emoji1110])
8.Islam Bitran (Palestine [emoji1193])
#NB halafu anaibuka Mtu huko na Streka lake la USHELISHELI ambalo linakimbia huku limefumba macho,
ANAKWAMBIA WANAFUZU MAKUNDI HUKO LUUUZAAA CUP
Kwani Mmesahau Jwaneng Waliwatolea Wapi!!????[emoji848]View attachment 3079436
Shtuka mkuu ...hyo ni ndoto mbayaaTaarifa kutoka tripoli Libya ni kwamba uongozi wa timu umegawanyika vipande vipande ishu kubwa ni kwanini viongozi wameshindwa kuihonga caf ili wabadilishiwe Simba na timu nyingine ili walau waingie makundi. Kwa Simba tripoli wanaona hawana nafasi ya kufunga hata goli moja achia mbali kuiondosha simba
Sio Kwa Simba hiiKiuhalisia hap tripoli ndio wana hofu sana na simba, simba ipo top 5 hadi 10 kwenye lank za club bora Africa hilo tu linawatisha sana Tripoli.
Cha pili simba ndio timu inayoweza kuifunga hata al ahly ya misri ambayo waarabu wote wanaamini ndio team bora sana kwao..
Nime Google, kumbe ni tare 13 septemba mchezo wa kwanza Libya wa pili tarehe 20 septemba nadhani kwa mkapa, tarehe hizo hizo yanga nao watacheza round ya pili na ndiyo maana watacheza Amani complex yanga atakuwa mwenyeji tarehe 20 septembaKuanzia tarehe 13_15.../ 9
Kizalendo, natamani Simba watoboe kwa manufaa ya nchi yetu.WACHEZAJI wa kimataifa wa Al Ahli Tripoli [emoji116][emoji91]
1. Mabululu (Angola [emoji1029])
2. Herelinson (Angola [emoji1029])
3. Ayoub (Tunisia [emoji1249])
4. Mourad (Tunisia [emoji1249])
5. Samer Jondi (Palestine [emoji1193])
6. Manzi (Rwanda [emoji1206])
7. Isac Mintah (Ghana [emoji1110])
8. Islam Bitran (Palestine [emoji1193])
NB halafu anaibuka Mtu huko na Streka lake la USHELISHELI ambalo linakimbia huku limefumba macho ANAKWAMBIA WANAFUZU MAKUNDI HUKO LUUUZAAA CUP
Kwani Mmesahau Jwaneng Waliwatolea Wapi? [emoji848]
View attachment 3079436
Awana wajezaji wa ku compete kimataifa, kwa msimu huu musahau tu, mna average player wengi Sana.Simba wana vijana wenye nguvu na kasi, (drive and energy)