Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Hawa ndiyo hupandisha hata bei za bando kulinda maadili ya uislamu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] 8la hangaya kituko sana aisee!
Yani yeye mtu akiwa na sigda tu anakula teuzi
wote islamicNasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake
MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023
Waliokuwa Wajumbe wa Bodi ni Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti), Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki), Mzee S. Mndewa (Mjumbe), Fatuma S. Ikuja (Mjumbe), Abdallah B. Katunzi (Mjumbe) na Rehema J. Khalid (Mjumbe)
View attachment 2808520
hata "ukijinyamazia", ulaji kama hao waliokuwa wamepewa hupati, ng'o.Mhhh!! Ngoja nijinyamazie zangu kimya.
Hapo majina yote yangekuwa ya wakristo isingekuwa ishu hata kidogo na mambo ya udini yasingekuwepo. Ingejadiliwa hoja na sio dini lakini madam ni waislamu basi tatizo ni diniWalikua wajumbe wa bodi ya tcra au wajumbe wa baraza la msikiti?
Unapolitizama na kuliweka hivi ulivyo liweka ni kama unasaidiana na hao hao wanaotudidimiza sasa.Rais Samia Suluhu Hassan leo 7-11-2023 akiwa Marakesh Morocco amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023
Waliokuwa Wajumbe wa Bodi hiyo ni:-
1. Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti)
2. Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki)
3. Mzee S. Mndewa (Mjumbe)
4. Fatuma S. Ikuja (Mjumbe)
5. Abdallah B. Katunzi (Mjumbe)
6. Rehema J. Khalid (Mjumbe
KATIBU MKUU WA WIZARA NI :- Mohamed Hamis Abdulla
Mkurugenzi wa TCRA ni. DKT JABIRI BAKARI.
Haikuwa na balance ya wajumbe. Ishmael alitoa yeye tuu akamuacha Izack mtupu. Bwana akachukizwa.
Je, ni kweli kama watu wanavyo nongona kuwa Miaka 6 kurudi nyuma mpaka Sasa nchi hii imeathiriwa sana na ukabila , udini na ujinsia?
Mungu airudishe Tanzania ile tulioijua miaka yote
Sasa nawe unajiona kuwa tofauti kwa lipi, na hao unaowazungumzia hapa. Tena inaonyesha wewe ni mbovu zaidi ya wao.Hapo majina yote yangekuwa ya wakristo isingekuwa ishu hata kidogo na mambo ya udini yasingekuwepo. Ingejadiliwa hoja na sio dini lakini madam ni waislamu basi tatizo ni dini
Ila nyinyi ndugu zetu wakristo mna shida mahala japo sio wakristo wote lakini kuna tatizo mahala..
Nan kaanzisha udini? Kamuulize Nyerere kuua mikoa ya waislamu na jiulize kwa nn watu wanatumia namba kweny mitihani??Aliyeanzisha udini mwambie
Hayo ni matangopori mliyolishwa na Mohamed Said.Nan kaanzisha udini? Kamuulize Nyerere kuua mikoa ya waislamu na jiulize kwa nn watu wanatumia namba kweny mitihani??
An amazing Co- incidenceNasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake
MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023
Waliokuwa Wajumbe wa Bodi ni Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti), Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki), Mzee S. Mndewa (Mjumbe), Fatuma S. Ikuja (Mjumbe), Abdallah B. Katunzi (Mjumbe) na Rehema J. Khalid (Mjumbe)
View attachment 2808520
Wavaa kobaz mkipewa ubwabwa mnalegeeeeeea,pumbavu kabisaWAABUDU SANAMU NI NANI BAINA YANGU NA YAKO??
NYINYI SI NDIO AMBAO MMECHONGA SANAMU LA YESU NA MAMA YAKE MARIA KISHA MKAWATUNDIKA UCHI HUKO MAKANISANI NA KILA SIKU MNAOMBA KWA KUTAZAMA HAYO MASANAMU NA KUTAKA MSAADA KWAO??
KAMA HIYO HAITOSHI MENGINE MNAYAVAA HADI SHINGONI MWENU.SASA NANI MUABUDU SANAMU KATI YANGU MIMI NA WEWE KAFIRI??
Nchi hii katiba inayotufaa ni katika ya Lebanon, zamu kwa zamu.This time around, wateuliwe Wagalatia tupu.
Na tusisikie kelele kama ambavyo sisi tumekaa kimya.
Mbona kuna wasomi wazuri sana waislam,mbona kuna matajiri nchi hiiSWALI LAKO JIBU NI SIMPLE TUH,TOKEA NCH HII IPATE UHURU SI MLIONA MFUMO KRISTO NDIYO SLOGAN YA KUENDESHA NCHI HII??
SI MLIJIONA KUWA NYINYI NI WASOMI NA SISI WATU WA MADRASA HATUNA KITU TUNAJUA??SI MLIONA NYINYI NDIE WENYE WELEDI WA KUONGOZA KILA TAASISI HIZI ZA UMMA NA SERIKALI KWA UJUMLA??
HAYA SASA TUELEZENI,NYINYI MNAOJIITA WASOMI MMELIFIKISHA WAPI TAIFA HILI??
KWANI KIPIMO CHA USOMI WENU HASA NI KIPI?KUIBA NA UFISADI??
Kazi kweli kweliHa ha ha haaaa!
THE BIG SHOW na kauli mbiu yake ya "gesi haitoki 'ntwara' hata kwa 'nrija wa pen"
Hapa JF tumeona mengi... ha ha ha hhaaaa!
Tena watawala wa kikristo huwa wana wa favour sana mbonaSWALI LAKO JIBU NI SIMPLE TUH,TOKEA NCH HII IPATE UHURU SI MLIONA MFUMO KRISTO NDIYO SLOGAN YA KUENDESHA NCHI HII??
SI MLIJIONA KUWA NYINYI NI WASOMI NA SISI WATU WA MADRASA HATUNA KITU TUNAJUA??SI MLIONA NYINYI NDIE WENYE WELEDI WA KUONGOZA KILA TAASISI HIZI ZA UMMA NA SERIKALI KWA UJUMLA??
HAYA SASA TUELEZENI,NYINYI MNAOJIITA WASOMI MMELIFIKISHA WAPI TAIFA HILI??
KWANI KIPIMO CHA USOMI WENU HASA NI KIPI?KUIBA NA UFISADI??
Lete vya Zuchu na Baba levo ndio vya maana kwako wewe na Bilionaire kekemanHaswaa
Ukute wengi wao ni waZenjiWaliokuwa Wajumbe wa Bodi hiyo ni:-1. Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti)
2. Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki)
3. Mzee S. Mndewa (Mjumbe)
4. Fatuma S. Ikuja (Mjumbe)
5. Abdallah B. Katunzi (Mjumbe)
6. Rehema J. Khalid (Mjumbe
KATIBU MKUU WA WIZARA NI :- Mohamed Hamis Abdulla
Mkurugenzi wa TCRA ni. DKT JABIRI BAKARI.
kumbe mama hayuko nchini,
Tumeona majina yaoNasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake
MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023
Waliokuwa Wajumbe wa Bodi ni Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti), Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki), Mzee S. Mndewa (Mjumbe), Fatuma S. Ikuja (Mjumbe), Abdallah B. Katunzi (Mjumbe) na Rehema J. Khalid (Mjumbe)
View attachment 2808520
Dogo tulia kanyonye ...Mikoa iliyokuwa mchumi mkubwa na kuifilisi kwa ujinga wake eti ujamaa na nyokwe!Hayo ni matangopori mliyolishwa na Mohamed Said.
Nyerere hakuua mikoa unayoita ya waislam (sijui unafikiri ni mikoa ipi ya waislam) na namba za mtihani hazikuanzishwa na mpiga dili Kighoma Malima. Ila najua ndio mliishaaminishwa na Moh Said.