Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #61
Kaka tuchati.......Naona Sigida tupu, dah ila jamani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka tuchati.......Naona Sigida tupu, dah ila jamani!
Watu wanafungua code ngumu kweli,Utasikia ooh udini mara ooh uzanzibari n.k.Mhhh!! Ngoja nijinyamazie zangu kimya.
Unakosea. Umuhimu wa kuwa na watu wa dini tofauti ni kuongeza uwezo wa bodi kuangalia ishu kutoka pande zote. Ukiwa na waislamu na wakristu Bodi itaweza kuelewa namna uamuzi wao unaweza kuwagusa watu wa dini hizo. Ni kama vile uwepo wa wanawake unaleta "lived experience" ya wanawake katika bodi. Diversity ni muhimu sana katika taasisi yeyote.Kuwaza kubalansi kila nafasi kwa kuangalia majina ya kijihad au kigalatia NDIO UDINI wenyewe.
Mimi sioni shida kama wateuliwa wote wana majina ya kihindi tu au kiarabu tu au kizungu tu au kimatumbi tu. Muhimu ni kuwa vigezo vya dini havikuangaliwa wakati wa kuteua bali weledi, uwezo na sifa za kitaaluma pekee.
After all sio kila John Smith ni mkristo wa kweli na sio kila Shabani Masoud ni mwisiam wa kweli.
Wewe ulio uona si ungeweka link yake humu ili kila mmoja wetu azione hizo CV? Mimi nikitafuta na kuzikosa nitaona kama vile unadanganya wakati inawezekana kuwa utafutaji wangu una walakin. Tuwekee hiyo link tumalize ubishi.Upo Uzi mwingine humu ndani unaowaongelea hao wajumbe utafute uone CV zao.
Kuvunja ndiyo udini au!?Kama siyo udini ni nini?
Tufanye hivyo kwa Baraza la mawaziri,makatibu wakuu wizara,wakuu wa mikoa,wilaya,ras,das,ded..yaani Kama wa dini Fulani ni wengi basi wapunguzww wateuliwe wa dini nyingine nao wawe wengiThis time around, wateuliwe Wagalatia tupu.
Na tusisikie kelele kama ambavyo sisi tumekaa kimya.
wivu tuHao walikuwa wajumbe wa Bakwata Taifa na siyo TCRA.
Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi pamoja na kuvunja Bodi ya TCRA soma post #22Wewe ulio uona si ungeweka link yake humu ili kila mmoja wetu azione hizo CV? Mimi nikitafuta na kuzikosa nitaona kama vile unadanganya wakati inawezekana kuwa utafutaji wangu una walakin. Tuwekee hiyo link tumalize ubishi.
Amandla...
haya laivunja sasa, hahahahhaaa wacha tuone wagalatiaWatu wanafungua code ngumu kweli,Utasikia ooh udini mara ooh uzanzibari n.k.
Ndiyo TCRA ilikuwa haiendelei walitaka kujenga msikiti kabisaAhahaha, kumbe ni akina Osman, fatuma,mzee, khalifa;
Shirika lazima lifeli
Kwaivo ni Wazenji wote?Faida ya muungano [emoji22]
Kwamba!Mhhh!! Ngoja nijinyamazie zangu kimya.
Mkatoliki huyu ndo mambo aliyofuzu darasani😀😀Kaka tuchati.......
Nasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake
MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023
Waliokuwa Wajumbe wa Bodi ni Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti), Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki), Mzee S. Mndewa (Mjumbe), Fatuma S. Ikuja (Mjumbe), Abdallah B. Katunzi (Mjumbe) na Rehema J. Khalid (Mjumbe)
View attachment 2808520
Kwenye udini tukisema tuchunguze na Mafisadi tukuka wa dini hizo utakuta wenzetu hao wanaunafuu kiasi😁😁😁😁😁Watu wanafungua code ngumu kweli,Utasikia ooh udini mara ooh uzanzibari n.k.
Rais Samia Suluhu Hassan leo 7-11-2023 akiwa Marakesh Morocco amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023
Waliokuwa Wajumbe wa Bodi hiyo ni:-
1. Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti),
2. Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki)
3. Mzee S. Mndewa (Mjumbe)
4. Fatuma S. Ikuja (Mjumbe)
5. Abdallah B. Katunzi (Mjumbe)
6. Rehema J. Khalid (Mjumbe
KATIBU MKUU WA WIZARA NI :- Mohamed Hamis Abdulla
Mkurugenzi wa TCRA ni. DKT JABIRI BAKARI.
Haikuwa na balance ya wajumbe. Ishmael alitoa yeye tuu akamuacha Izack mtupu. Bwana akachukizwa.
Je, ni kweli kama watu wanavyo nongona kuwa Miaka 6 kurudi nyuma mpaka Sasa nchi hii imeathiriwa sana na ukabila , udini na ujinsia?
Mungu airudishe Tanzania ile tulioijua miaka yote