Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

HAKIKA UMESEMA KWELI KABISA,WAGALATIA NCHI HII NI KANSA SANA KATIKA KILA NYANJA NA KILA SEKTA,WAO UTAALAM WAO WANAOJUA VYEMA NI WIZI NA UFISADI TUH
Tunashuhudia teuzi mbali ila akiteuliwa muislamu hao jamaa Qur an haikuwahi kusema vizuri ,hivi karibu ntaanza kujitenga na hao jamaa wana chuki za asili kabisa .

Yaani wao wanaangalia jina kama ni muislamu basi wanaanza chuki.
 
Kijana bado mdogo sana hujui lolote😅😅Magufuli alikuwa anapigwa chenga ,katumbua mpaka kachoka.

Raisi hana uwezo huo na mengi hayajui watu wanamzunguka ndio maana kuna mlolongo wa watendaji kila sehemu ,kila mtu na majukumu yake.
Makamba, Bashe, Ummy, Aweso, JK, Rostam, Riziwani nao ni wagalatia?
 
UOZO WA VYETI FAKE NA WATUMISHI HEWA UPO SINCE NYERERE YUKO MADARAKANI HADI ALIPOFIKA MAGUFULI NA KUWAUMBUA,

DOES IT MATTER RAIS GANI YUKO MADARAKANI ??KWANI WAKATI MKAPA YUKO MADARAKANI WATUMISHI HEWA NA WATU WENYE VYETU FAKE HAWAKUWAPO??I KNOW HAPO HOJA YAKO NI KWAMBA UNATAKA KUMWANGUSHIA HILO JUMBA KIKTWETE KAMA RAIS ALIEMPA KIJITI MAGUFULI,BUT THANKS NA HEKO KWA MAGUFULI MAANA KAWASHUGHULIKIA KISAWA SAWA WAGALATIA WENZAKE KWENYE SAKATA LILE,WHO KNOWS MAY BE KIKWETE ANGEANZA KULIAMSHA NAO WANGEANZA KULIA LIA NA KUSEMA OOOH MDINIII MDINII KISA ANAWANYOOSHA,SASA PALE WALIKOSA PA KUKIMBILIA N COZ MAGUFULI NI MGALATIA MWENZAO WANGEMFANYA KITU GANI??

NA HIYO HAIONDOI HOJA MEZANI JUU YA NAMNA GANI WAGALATIA MMEKUWA MNALITIA TAIFA HILI HASARA TOKA ENZ ZA UHURU HADI HIVI SASA,USOMI PEKEE AMBAO NYINYI MNAUFAHAM VIZURI NA KATIKA KULIIBIA TAIFA HILI TUH
Mkuu,naendelea kukusihi, fikiri kabla ya kuandika. Unaweza kudhani unatetea watu wa dini yako kumbe unawatumhukiza matopeni.

Bado hujatoa majibu kuhusu ulichokiita wizi wa fedha za umma za escrow, wakati zinachotwa mkuu wa nchi na mlinzi mkuu wa mali za umma alikuwa nani?

Kama vyeti feki na watumishi hewa viliwekwa wazi na kuumbuliwa na Magufuli ambaye ni Mgalatia kama unavyodai wewe, kwanini asipongezwe mgalatia na alipokea kijiti kutoka kwa mtu wa dini yako ambaye aliwaacha watumishi hewa waendelee kuitafuna nchi?

Ufisadi na uchafu wa aina yoyote ile hauna dini, labda kwa mtu kama wewe uliyeamua kuivaa dini yako na kusafisha watu wa dini yako huku ukiwachafua watu wa dini nyingine. Hilo limekutia upofu na utaendelea kubaki na upofu.
 
SASA NYINYI MNAZUILIKA KWA WIZI WAGALATIA??NYINYI KILA ZAMA ZIKIJA HUO UGONJWA WENU WA UFISADI UNAKUWA KAMA KIRUSI CHA CORONA,KINA MUTATE TUH NA KUTAFUTA LOOPHOLES ZINGINE,MFANO HOSPITAL YA BUGANDO HAPO MWANZA PAMOJA NA KWAMBA SERIKALI INAWEKA FEDHA NYINGI ZA RUZUKU KUMBE FEDHA ZINACHUKULIWA TUH NA WAJANJA NA KUKIMBIZA NAZO MAKANISANI,WAJA LAANA SANA
Makamba, Bashe, Ummy, JK, Rostam ni wagalatia?
 

WAKUU WA IDARA NA VITENGO

FOCUS MAKOYE SAHANI - Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Huduma

MACHIBYA MASANJA - Kaimu Mkurugenzi wa Ujenzi na Miundombinu

HERIEL EMMANUEL - Mkurugenzi wa Uhandisi Mitambo

TITTO MATESHI - Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Umeme

NEVER DAIMON - Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Biashara

AMINA MORSAD LUMULI - Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala

EMANUEL BALELE - Mkurugenzi wa Fedha na Uhasibu

SENZIGE KISENGE - Mkurugenzi wa TEHAMA

VICENT TANGOH - Mkurugenzi wa Sheria

NZEYIMANA DYEGULA - Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji

REGINALD MALELE - Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi

STELLA GASPER - Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

JAMILA MBAROUK - Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano

NELSON NTEJO - Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Reli

PETER MATHEW - Mganga Mkuu Hospitali ya Reli

DAMAS MWAJANGA - Mkuu wa Chuo cha Reli Tanzania

HIYO MIGALATIA HAPO,HAKUNA CHA MAANA WANACHOFANYA HAPO ZAIDI ZAIDI YA WIZI NA UFISADI TUH,MNAPENDA SANA CHOKO CHOKO ILI HALI NCHI HII IMEFIKA HAPA KUTOKANA NA UOZO WENU NA WIZI TUH
Ni ccm sio sisi
 
Isihusishwe na udini kivipi wakati bodi imejaa shungi na balagashia. Hata kama hujui kusoma picha huoni?
😁😁😁😁 Bongo ukiwa na siteresi ni za kujitakia tu. Hata kama wangekuwa Wagalatia ingesaidia nini? Wangeweza kupunguza gharama za mabando? Wangeruhusu VPN ili watu waendelee kupumua bila woga?😳😳😳😳

Screenshot_20231109_132235_Chrome.jpg
Screenshot_20231109_132241_Chrome.jpg
Screenshot_20231109_132247_Chrome.jpg
Screenshot_20231109_132251_Chrome.jpg
Screenshot_20231109_132256_Chrome.jpg
Screenshot_20231109_132259_Chrome.jpg
 
Nasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake

MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA

Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo

Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023

Waliokuwa Wajumbe wa Bodi ni Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti), Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki), Mzee S. Mndewa (Mjumbe), Fatuma S. Ikuja (Mjumbe), Abdallah B. Katunzi (Mjumbe) na Rehema J. Khalid (Mjumbe)


View attachment 2808520
Waislamu watupu ,khaaa
 
Haki ya Mungu umewaza kama mimi. Kabla ya kusoma comment yako nilitaka niandike hizo sura hakuna hata moja ya matumaini ya kufanya la maana.

Kuna kipindi nyuso za watu huonyesha uwezo wao pia wa kufanya mambo.
Serious yani.. naona kuna shida hapo.
 
Mkuu naomba darasa la kujua sura ya mtu ambaye na uwezo wa creativety
Kutambua/kunyambua/Kuvumbua au kwa neno lingine Kufunua ukweli au uhalisia wa mtu kupitia Uso ni kipawa/kipaji. Si rahisi kufundishwa.
 
Hapo kwa wanawake, ni issues za AFFIRMATIVE ACTION ili kuongeza uwepo/uwakilishi wa jinsia ya kike kwenye hizo fursa. Vipi, unataka tutumie principles hizo hizo ili kubalansi udini?
unafahamu kuwa hapa Tanzania kuna wasio na dini, na pia kuna wenye dini mbali na uislam na ukristo?
Tukitaka kubalansisha mpaka kwa dini zote, tutafika wapi kama taifa?
Waislamu wao wanachojua mtanzania hasipo kuwa muislamu basi atakuwa mkristo.
 
Nimevutiwa na hii comment yako.

Nipe tathimini ya hii picha yangu.
Sina hakika kama ni ww exactly but huu uso unaonesha ni namna gani mtu huyu ni mtu wa furaha na mara nyingi watu wa aina hii ya nyuso ni Wasanii hasa wa Muziki.. refer papa wemba etc ni very creative na mara nyingi wana uwezo wa kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja (Multitasking).
 
Mbona bodi nyingi zimejaa wagalatia kama TEC hamjasema kitu udini unawasumbua na roho mbaya.

WAKUU WA IDARA NA VITENGO

FOCUS MAKOYE SAHANI - Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Huduma

MACHIBYA MASANJA - Kaimu Mkurugenzi wa Ujenzi na Miundombinu

HERIEL EMMANUEL - Mkurugenzi wa Uhandisi Mitambo

TITTO MATESHI - Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Umeme

NEVER DAIMON - Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Biashara

AMINA MORSAD LUMULI - Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala

EMANUEL BALELE - Mkurugenzi wa Fedha na Uhasibu

SENZIGE KISENGE - Mkurugenzi wa TEHAMA

VICENT TANGOH - Mkurugenzi wa Sheria

NZEYIMANA DYEGULA - Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji

REGINALD MALELE - Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi

STELLA GASPER - Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

JAMILA MBAROUK - Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano

NELSON NTEJO - Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Reli

PETER MATHEW - Mganga Mkuu Hospitali ya Reli

DAMAS MWAJANGA - Mkuu wa Chuo cha Reli Tanzania
 
Back
Top Bottom