Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

Wafahamu Wajumbe wa Bodi ya TCRA iliyovunjwa

Mtoto unazalia mwaka 2001 unajua nn😅😅ndio maana nakuambia tulia usome ,acha ushabiki maandazi.

Kaangalie bodi zote maana ni ishu za private ..
Hiyo elimu uliyo nayo ndio inakuambia kuwa composition za bodi za taasisi za serikali ni siri!! Unasema hivyo wakati hapa kuna majina na picha za wajumbe wa bodi iliyotenguliwa! Siku nyingine tafakari kwanza kabla hujazungumza upuuzi humu ndani.
Amandla....
 
Nasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake

MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA

Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo

Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023

Waliokuwa Wajumbe wa Bodi ni Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti), Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki), Mzee S. Mndewa (Mjumbe), Fatuma S. Ikuja (Mjumbe), Abdallah B. Katunzi (Mjumbe) na Rehema J. Khalid (Mjumbe)


View attachment 2808520
Hawa ni viongozi wa madrasa au Baraza la msikiti wa Idrisa
by Mpaji Mungu
 
Labda bodi husika ina mswala na lazima utumike kabla ya vikao.
Maana unaangalia vigezo unakosa sababu
 
Kutambua/kunyambua/Kuvumbua au kwa neno lingine Kufunua ukweli au uhalisia wa mtu kupitia Uso ni kipawa/kipaji. Si rahisi kufundishwa.
Oh My word! Sikutegemea jibu hili.

Yaani unataka kuniambia hata mwenye kipaji cha kulenga shabaha hawezi kufafanua namna anavyoweza kulenga na kupatia shabaha. Mimi najua mlenga shabaha anaweza. Na asipoweza kufafanua, pasina shaka, najua huyo ni mbinafsi hataki wengine wajue na anaweza kuwa na nia ovu ya kuwanyima ujuzi wa kuwasaidia wenzake nao wapige hatua katika nyanja yoyote ile.

Sasa kwa upande wako kuna unafuu, maana umesema si rahisi kufundishwa. Kwa maneno mengine inawezekana. Kwa hiyo, kwa nia njema hiyo hiyo yakutaka kutoa ushirikiano katika kutoa elimu ya kutambua uwezo wa creativity ya mtu kupitia sura yake; naomba uanze kutoa hiyo elimu utakapo kwama nina ahidi kutoa ushirikiano wa hali na mali katika kutafuta wa kukusaidia.

Natanguliza shukrani.
 
Hivyo vidot kwenye mapaji ya uso vinaondoa creativity

Vidot ni ishara kwamba hao watu ni wachamungu,ni watu wa IBADA,

WAKIKAA MAJITU NA ROZALI ZAO SHINGONI HAPO KAMA KENGELE WANACHOWAZA WAO NI POMBE NA KITI MOTO TUH,HAWAFAI WAIMBA KWAYA
 
Hiyo elimu uliyo nayo ndio inakuambia kuwa composition za bodi za taasisi za serikali ni siri!! Unasema hivyo wakati hapa kuna majina na picha za wajumbe wa bodi iliyotenguliwa! Siku nyingine tafakari kwanza kabla hujazungumza upuuzi humu ndani.
Amandla....
Ndio maana nakuambia dogo tulia na usome ,angalua soma nilichoandika utaelewa😅😅.
Nimekuambia kasome kila taasisi ni siri maana zipo kweny website zao ,nenda kasome then uje .


Maana sina mda wa kuleta picha za watu ni privacy ya mtu ,yaani nileta picha na majina yao na taasisi kwa umri wangu si sahihi .

Wewe nenda Kaangalie mashirikq kibao ya umma .

Shirika nililoanza kufanya kazi bodi ni ya wagalatia watupu na alikuja mkurugenzi muislamu wakati ya Magufuli ....Sina mda wa kuangalia dini ya mtu yeyote safi.
 
AAH WAPI,WAPATE KWA QUALIFICATIONS??

ENHE TUELEZE KAMA WAMEPATA KWA QUALIFICATIONS WANALIFANYIA NINI TAIFA ZAIDI YA WIZI NA UFISADI??

MNA LAANA WAGALATIA,TAIFA HILI LIMEKUWA MASKINI SHAURI YENU NYINYI WAGALATIA,MNACHOJUA NI KUIBA NA KUKIMBILIA KUTOA SADAKA KANISANI KWA BABA PAROKO,ETI FUNGU LA KUMI,FUNGU LA KUMI KWA WIZI WA MALI YA UMMA??
Ukweli ni kwamba huo ugalatia umejikita katika elimu na maendeleo kote duniani. Ndo maana zaidi ya 80% ya nchi zilizoendelea ni asili ya ugalatia. Jiulize kwa nini mataifa ya wagalatia yanaongoza kwa maendeleo. Jibu swali na fanya uchambuzi badala ya kulalamikia mifumo ya kidini tu.
 
ndiyo,sasa ukitaka waendelee kukaa wagalatia waibe???
Jana kupitia kipindi cha Clouds FM mida ya asubuhi, watangazaji walikuwa wanajadili habari za magazeti ya hiyo jana, na moja ya habari ilikuwa ni mjadala juu ya Taarifa ya CAG.

Mtangazaji mmoja alieleza kuwa zamani wazee wa Pwani hawakuwa na tamaa ya kumiliki mali kwa maana ya majumba, magari, nakadhalika. Wakatolea mfano, kuwa waliwahi kumtembelea mzee mmoja ambaye aliwahi kushika nyazifa za juu serikalini. Walipofika kwake walishangaa ukwasi wa kawaida aliokuwa nao ukizingatia vyeo alivyokuwa navyo kabla ya kustaafu serikalini.

Sijui nasomeka sawa sawa...!? Au nishushe voliumu ya sauti?
 
Ukweli ni kwamba huo ugalatia umejikita katika elimu na maendeleo kote duniani. Ndo maana zaidi ya 80% ya nchi zilizoendelea ni asili ya ugalatia. Jiulize kwa nini mataifa ya wagalatia yanaongoza kwa maendeleo. Jibu swali na fanya uchambuzi badala ya kulalamikia mifumo ya kidini tu.

WELL AND GOOD,SASA WAGALATIA NYINYI SHIDA NI NIN??NCHI HII UMEME SHIDA,MAJI VIJIJIN NA MIJINI SHIDA,ELIMU NGAZI ZOOTE SHIDA,MIUNDOMBINU BARA BARA SHIDA,MKIULIZWA OOOH NYINYI NI WASOMI NYINYI NI WASOMI,SASA USOMI WENU WAGALATIA NYINYI UKO WAPI??

HEBU TUELEZENI,WAGALATIA NYINYI MSIO NA AKILI KAMA HAO WENZENU NI WAGALATIA WA WAPI??
 
Vidot ni ishara kwamba hao watu ni wachamungu,ni watu wa IBADA,

WAKIKAA MAJITU NA ROZALI ZAO SHINGONI HAPO KAMA KENGELE WANACHOWAZA WAO NI POMBE NA KITI MOTO TUH,HAWAFAI WAIMBA KWAYA
Nishakuambia ninyi ni vichwa panzi.. unachukiaje chakula anachokula mtu mwingine?.. ishi maisha yako
 
😅😅Hao jamaa wana chuki yaani acha tu , tuishi nao maana hata madhehebu yao hawasali kanisa moja.
NA WALIVYO NA EGO NA PRIDE SASA UTADHANI KUNA CHA MAANA WANAKIFANYA NDANI YA TAIFA HILI...

UKIWAONA NA SUTI ZAO UTADHANI WATU WA MAANA KUMBE WAIZI TUH SHENZ HAWA,TAIFA LINAZIDI KUWA MASKINI WAO KAZI WANAYOJUA NI KUIBA TUH
 
NA WALIVYO NA EGO NA PRIDE SASA UTADHANI KUNA CHA MAANA WANAKIFANYA NDANI YA TAIFA HILI...

UKIWAONA NA SUTI ZAO UTADHANI WATU WA MAANA KUMBE WAIZI TUH SHENZ HAWA,TAIFA LINAZIDI KUWA MASKINI WAO KAZI WANAYOJUA NI KUIBA TUH
😅😅😅Watu wajinga kabisa hawajielewi.
 
Ndio maana nakuambia dogo tulia na usome ,angalua soma nilichoandika utaelewa😅😅.
Nimekuambia kasome kila taasisi ni siri maana zipo kweny website zao ,nenda kasome then uje .


Maana sina mda wa kuleta picha za watu ni privacy ya mtu ,yaani nileta picha na majina yao na taasisi kwa umri wangu si sahihi .

Wewe nenda Kaangalie mashirikq kibao ya umma .

Shirika nililoanza kufanya kazi bodi ni ya wagalatia watupu na alikuja mkurugenzi muislamu wakati ya Magufuli ....Sina mda wa kuangalia dini ya mtu yeyote safi.
Wewe ndio uliyesema kuwa bodi kama hizo zipo. Ukiambiwa uzitaje unakuwa na kigugumizi. Kama huna muda wa kuangalia dini za watu ulijuaje kuwa bodi lako lilikuwa na wagalatia watupu? Mimi sikukuambia ulete picha. Nimesema taja jina la shirika moja tu umeshindwa.

Amandla....
 
Nishakuambia ninyi ni vichwa panzi.. unachukiaje chakula anachokula mtu mwingine?.. ishi maisha yako

KWANI UONGO??NYINYI MNACHOWAZA NI WIZI,POMBE NA KULA KITI MOTO TUH WAGALATIA

USOMI MMESOMEA KUKARIRI VITU NA KUJA KUIBIA TAIFA,HAMNA TIJA WALA UBUNIFU WOWOTE NDANI YA UTUMISHI WA TAIFA HILI,NI WA KUPIGA VITANZI TUH NYINYI
 
Back
Top Bottom