Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Tunashuhudia teuzi mbali ila akiteuliwa muislamu hao jamaa Qur an haikuwahi kusema vizuri ,hivi karibu ntaanza kujitenga na hao jamaa wana chuki za asili kabisa .HAKIKA UMESEMA KWELI KABISA,WAGALATIA NCHI HII NI KANSA SANA KATIKA KILA NYANJA NA KILA SEKTA,WAO UTAALAM WAO WANAOJUA VYEMA NI WIZI NA UFISADI TUH
Anayetakiwa kuzuia wizi ni maza ambaye ni wa Ijumaa au naye ni mgalatia?
Siyo kweli, Rostam na JK ni wagalatia?NYINYI NI SIKIO LA KUFA NDANI YA TAIFA HILI,SHERIA YA KUPIGA VITANZI IKIJA JIANDAENI WAGALATIA,TUNAPIGA VITANZI WOOTE MAJIZI WAKUBWA NYIE
Makamba, Bashe, Ummy, Aweso, JK, Rostam, Riziwani nao ni wagalatia?Kijana bado mdogo sana hujui lolote😅😅Magufuli alikuwa anapigwa chenga ,katumbua mpaka kachoka.
Raisi hana uwezo huo na mengi hayajui watu wanamzunguka ndio maana kuna mlolongo wa watendaji kila sehemu ,kila mtu na majukumu yake.
UOZO WA VYETI FAKE NA WATUMISHI HEWA UPO SINCE NYERERE YUKO MADARAKANI HADI ALIPOFIKA MAGUFULI NA KUWAUMBUA,
DOES IT MATTER RAIS GANI YUKO MADARAKANI ??KWANI WAKATI MKAPA YUKO MADARAKANI WATUMISHI HEWA NA WATU WENYE VYETU FAKE HAWAKUWAPO??I KNOW HAPO HOJA YAKO NI KWAMBA UNATAKA KUMWANGUSHIA HILO JUMBA KIKTWETE KAMA RAIS ALIEMPA KIJITI MAGUFULI,BUT THANKS NA HEKO KWA MAGUFULI MAANA KAWASHUGHULIKIA KISAWA SAWA WAGALATIA WENZAKE KWENYE SAKATA LILE,WHO KNOWS MAY BE KIKWETE ANGEANZA KULIAMSHA NAO WANGEANZA KULIA LIA NA KUSEMA OOOH MDINIII MDINII KISA ANAWANYOOSHA,SASA PALE WALIKOSA PA KUKIMBILIA N COZ MAGUFULI NI MGALATIA MWENZAO WANGEMFANYA KITU GANI??
NA HIYO HAIONDOI HOJA MEZANI JUU YA NAMNA GANI WAGALATIA MMEKUWA MNALITIA TAIFA HILI HASARA TOKA ENZ ZA UHURU HADI HIVI SASA,USOMI PEKEE AMBAO NYINYI MNAUFAHAM VIZURI NA KATIKA KULIIBIA TAIFA HILI TUH
Makamba, Bashe, Ummy, JK, Rostam ni wagalatia?SASA NYINYI MNAZUILIKA KWA WIZI WAGALATIA??NYINYI KILA ZAMA ZIKIJA HUO UGONJWA WENU WA UFISADI UNAKUWA KAMA KIRUSI CHA CORONA,KINA MUTATE TUH NA KUTAFUTA LOOPHOLES ZINGINE,MFANO HOSPITAL YA BUGANDO HAPO MWANZA PAMOJA NA KWAMBA SERIKALI INAWEKA FEDHA NYINGI ZA RUZUKU KUMBE FEDHA ZINACHUKULIWA TUH NA WAJANJA NA KUKIMBIZA NAZO MAKANISANI,WAJA LAANA SANA
umbeya tu hana jipyaTukishawafaham itasaidia nn au lengo lako lilikuwa nini.?
Ni ccm sio sisiWAKUU WA IDARA NA VITENGO
FOCUS MAKOYE SAHANI - Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Huduma
MACHIBYA MASANJA - Kaimu Mkurugenzi wa Ujenzi na Miundombinu
HERIEL EMMANUEL - Mkurugenzi wa Uhandisi Mitambo
TITTO MATESHI - Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Umeme
NEVER DAIMON - Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Biashara
AMINA MORSAD LUMULI - Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala
EMANUEL BALELE - Mkurugenzi wa Fedha na Uhasibu
SENZIGE KISENGE - Mkurugenzi wa TEHAMA
VICENT TANGOH - Mkurugenzi wa Sheria
NZEYIMANA DYEGULA - Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji
REGINALD MALELE - Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
STELLA GASPER - Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
JAMILA MBAROUK - Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano
NELSON NTEJO - Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Reli
PETER MATHEW - Mganga Mkuu Hospitali ya Reli
DAMAS MWAJANGA - Mkuu wa Chuo cha Reli Tanzania
HIYO MIGALATIA HAPO,HAKUNA CHA MAANA WANACHOFANYA HAPO ZAIDI ZAIDI YA WIZI NA UFISADI TUH,MNAPENDA SANA CHOKO CHOKO ILI HALI NCHI HII IMEFIKA HAPA KUTOKANA NA UOZO WENU NA WIZI TUH
😁😁😁😁 Bongo ukiwa na siteresi ni za kujitakia tu. Hata kama wangekuwa Wagalatia ingesaidia nini? Wangeweza kupunguza gharama za mabando? Wangeruhusu VPN ili watu waendelee kupumua bila woga?😳😳😳😳Isihusishwe na udini kivipi wakati bodi imejaa shungi na balagashia. Hata kama hujui kusoma picha huoni?
Waislamu watupu ,khaaaNasikia Rais kavunja Bodi ya TCRA. Naona hawa hapa ndio walikua Wajumbe wake
MAWASILIANO: BODI YA TCRA YAVUNJWA
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023
Waliokuwa Wajumbe wa Bodi ni Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti), Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki), Mzee S. Mndewa (Mjumbe), Fatuma S. Ikuja (Mjumbe), Abdallah B. Katunzi (Mjumbe) na Rehema J. Khalid (Mjumbe)
View attachment 2808520
Si mwaka huu 😅😅😅ebu fuatulia huko mwanzo .Makamba, Bashe, Ummy, Aweso, JK, Rostam, Riziwani nao ni wagalatia?
hapo ndo mama anapofeli,wajumbe wamejiteua utasema viongozi wa madrasa.
Mbona bodi nyingi zimejaa wagalatia kama TEC hamjasema kitu udini unawasumbua na roho mbaya.Walikua wajumbe wa bodi ya tcra au wajumbe wa baraza la msikiti?
Serious yani.. naona kuna shida hapo.Haki ya Mungu umewaza kama mimi. Kabla ya kusoma comment yako nilitaka niandike hizo sura hakuna hata moja ya matumaini ya kufanya la maana.
Kuna kipindi nyuso za watu huonyesha uwezo wao pia wa kufanya mambo.
Kutambua/kunyambua/Kuvumbua au kwa neno lingine Kufunua ukweli au uhalisia wa mtu kupitia Uso ni kipawa/kipaji. Si rahisi kufundishwa.Mkuu naomba darasa la kujua sura ya mtu ambaye na uwezo wa creativety
Waislamu wao wanachojua mtanzania hasipo kuwa muislamu basi atakuwa mkristo.Hapo kwa wanawake, ni issues za AFFIRMATIVE ACTION ili kuongeza uwepo/uwakilishi wa jinsia ya kike kwenye hizo fursa. Vipi, unataka tutumie principles hizo hizo ili kubalansi udini?
unafahamu kuwa hapa Tanzania kuna wasio na dini, na pia kuna wenye dini mbali na uislam na ukristo?
Tukitaka kubalansisha mpaka kwa dini zote, tutafika wapi kama taifa?
Nimevutiwa na hii comment yako.
Nipe tathimini ya hii picha yangu.
Sina hakika kama ni ww exactly but huu uso unaonesha ni namna gani mtu huyu ni mtu wa furaha na mara nyingi watu wa aina hii ya nyuso ni Wasanii hasa wa Muziki.. refer papa wemba etc ni very creative na mara nyingi wana uwezo wa kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja (Multitasking).
Mbona bodi nyingi zimejaa wagalatia kama TEC hamjasema kitu udini unawasumbua na roho mbaya.