Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
This time around, wateuliwe Wagalatia tupu.
Na tusisikie kelele kama ambavyo sisi tumekaa kimya.
Na tusisikie kelele kama ambavyo sisi tumekaa kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comrade, rudia kusoma aya ya mwisho, utaelewa tu.Natamani nielewe lakini nashindwa
Kwamba mama kawabutua kwakuwa ni wa dini yake?Comrade, rudia kusoma aya ya mwisho, utaelewa tu.
Ndo miye nashangaaTukishawafaham itasaidia nn au lengo lako lilikuwa nini.?
ASprin wewe una phd na una uelewa sana, elewa vivyo hivyo.Kwamba mama kawabutua kwakuwa ni wa dini yake?
Sawa mheshimiwa Jaji Mfawidhi Mwandamizi daraja la kwanza.ASprin wewe una phd na una uelewa sana, elewa vivyo hivyo.
Utasema viongozi wa msikiti.Hii ni nchi wacheni uwehu.Rais Samia Suluhu Hassan leo 7-11-2023 akiwa Marakesh Morocco amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Mungu airudishe Tanzania ile tulioijua miaka yote
Br kama mm tu,Mimi sijawahi kujua faida za mtu ninaefanana nae dini au kabila na siyo ndugu yangu aliye kitengo kwamba huko kufanana nae kunanisaidiaje kwenye mzunguko wangu wa maisha?
Kwanza hanijui,nikijipendekeza atanikataa nadhani faida zipo kwenye familia zao siyo sisi tusiowajua.
Vema kwa kuwa umekili hujawahi kujua, siku ukijua utashaangaa tabia halisi za asili za mwanadamu ikiwemo ile ya EgoismMimi sijawahi kujua faida za mtu ninaefanana nae dini au kabila na siyo ndugu yangu aliye kitengo kwamba huko kufanana nae kunanisaidiaje kwenye mzunguko wangu wa maisha?
Kwanza hanijui,nikijipendekeza atanikataa nadhani faida zipo kwenye familia zao siyo sisi tusiowajua.
Isihusishwe na udini kivipi wakati bodi imejaa shungi na balagashia. Hata kama hujui kusoma picha huoni?Rais Samia Suluhu Hassan leo 7-11-2023 akiwa Marakesh Morocco amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023
Waliokuwa Wajumbe wa Bodi hiyo ni:-
1. Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti),
2. Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki)
3. Mzee S. Mndewa (Mjumbe)
4. Fatuma S. Ikuja (Mjumbe)
5. Abdallah B. Katunzi (Mjumbe)
6. Rehema J. Khalid (Mjumbe
KATIBU MKUU WA WIZARA NI :- Mohamed Hamis Abdulla
Mkurugenzi wa TCRA ni. DKT JABIRI BAKARI.
Haikuwa na balance ya wajumbe. Ishmael alitoa yeye tuu akamuacha Izack mtupu. Bwana akachukizwa.
Je, ni kweli kama watu wanavyo nongona kuwa Miaka 6 kurudi nyuma mpaka Sasa nchi hii imeathiriwa sana na ukabila , udini na ujinsia?
Mungu airudishe Tanzania ile tulioijua miaka yote
Upo sahihi.Vema kwa kuwa umekili hujawahi kujua, siku ukijua utashaangaa tabia halisi za asili za mwanadamu ikiwemo ile ya Egoism
Huyu mwanamke anataka kuwaweka ndugu zake wazenji akiwa anatekeleza mpango wake anakutana na kikwazo cha udini. Wazenji badilisheni majina yenu tumieni hata ya kienyeji kama mtishamba, Nungwi, Kendwa etcRais Samia Suluhu Hassan leo 7-11-2023 akiwa Marakesh Morocco amevunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu amteue Mwenyekiti wa Bodi hiyo
Kwa mujibu taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Rais amefanya uamuzi kuanzia Novemba 7, 2023
Waliokuwa Wajumbe wa Bodi hiyo ni:-
1. Mhandisi Othman S. Khatib (Mwenyekiti),
2. Khalfan S. Saleh (Makamu Mwenyeki)
3. Mzee S. Mndewa (Mjumbe)
4. Fatuma S. Ikuja (Mjumbe)
5. Abdallah B. Katunzi (Mjumbe)
6. Rehema J. Khalid (Mjumbe
KATIBU MKUU WA WIZARA NI :- Mohamed Hamis Abdulla
Mkurugenzi wa TCRA ni. DKT JABIRI BAKARI.
Haikuwa na balance ya wajumbe. Ishmael alitoa yeye tuu akamuacha Izack mtupu. Bwana akachukizwa.
Je, ni kweli kama watu wanavyo nongona kuwa Miaka 6 kurudi nyuma mpaka Sasa nchi hii imeathiriwa sana na ukabila , udini na ujinsia?
Mungu airudishe Tanzania ile tulioijua miaka yote
Hayo ni matokeo ya ujumla jumla tu, prejudice, upendeleo na mengine kama hayo yanaathiri pakubwa jamii kuliko mtu mmoja mmoja. Angalia kule Uchina lile jimbo la Xinjiang Uyghur (XUAR) wanavyotendwa na Wachina na serikali ya Beijing. Sogea hapo Darfur Sudani uone upendeleo wa viongozi wa Dini flani dhidi ya Dini nyingine kupitia Janjaweed...mifano ipo mingi sana.Br kama mm tu,
Yan Magu tulikuwa tunatoka nae dhehebu moja, lakin ni je alinisaidia nini? Samia hatutoki nae dini moja, je amenisaidia nn?
Utaona wote tu wanafanya yale mambo basic kama taifa bila kujali dini zetu na wala hawanisaidii mimi kwa msingi wa dini
Mleta mada ni mdiniNatamani nielewe lakini nashindwa
Dini gani dada yangu?Mleta mada ni mdini