Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zitumie barabara gani bongo na foleni hizi? barabara ka rift valley bana!
Na wolper gari wapi siku hizi?
Mbona wengine wanayo hapo mjini?
Huyo naye anamiliki Prado kama ya diamond na mini Cooper, na yeye ndo wale wale akina wema, bora johar kajikamua na mark x yake
Huyo naye anamiliki Prado kama ya diamond na mini Cooper, na yeye ndo wale wale akina wema, bora johar kajikamua na mark x yake
wanayo lakin hawaendi nayo mbali mkuu!
hamna hata mmoja anae generate rout ya one thousand kilometres and above as a single journey!
kwanini wanaishia masaki na mbezi beach?
kwanini hatuwaoni kwenye foleni za ubungo mbagala? kwani hizo sio barabara?
Na masogange anamiliki ipi kweli?
Sasa kwani celebrities si wanatakiwa wakae huko Masaki na Oyster Bay. Celebrity gani atakaa Uswazi?
kwani wao hawana wa kuwatembelea huku ukabwelani?
btw, gari ulizozitaja naamini zina injin capacity kubwa sana!
najua zina uwezo wa kutembea mwendo mkali, sasa kwa jinsi hii, ina maana gari hizi zinakuwa 'under utilised'!!
kama unavyojua kwa gari kama vx v8, unavyokwenda kasi sana ndivyo unavyopunguza fuel consumption..
kwanini basi wasiwe wanajitoa kuja huku mikoani basi kwa personal trips?
Wanaacha kuwataja wakina shilole kutwa wanakata mauno jukwaan wapate riziki unawaweka hao makahaba, kwa na huyo ommy dimpoz hilo gari kahongwa, msinipandishe mashetani nikaropoka na mengine apa
Binadamu huyo ata mkokoteni hana, halafu naomba uache kunichimba, maana najijua
Namaanisha hapo ni filamu za ukweliukweli ndizo zinawapa possesion ya magari......Note....POSSESION sio OWNERSHIP.....Investors wako makini!
Gari anayoendesha wema ndiyo anayomiliki shilole tena shilole kanunua kwa pesa yake , yupo wapi johari na mark x yake?, ray na Prado yake?, mnaacha kutaja watu wanaohangaika kwa majasho yao mnawataja hao makahaba...
we mjanja eenh! uwezo wako wa kufikiri niliusoma toka mwamzo!
mawazo yako yako kibarazani barazani saaana!
jivunie kuwa na papuchi...
Heeheeee.....Acha tu......
Hahhahhaha halafu Warumi ile inshu tulikua tunaisubiri mim na wewe ya yule mtu kununuliwa vifaa baada ya wiki mbili imefikia wapi
Nimeuliza la mwisho tu kaka yangu
Mark x n 15m hiyo 30m unapata mawili n hyo vx 130m hata ukienda yard zipo bei hiyo, hiyo benz y wolper hata auze movie miaka 10 hanunui labfa auze mbuye