warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mmh weye....mwenzetu umepanic bhana....ila maka.......ba nao wanahangaika kwa jasho...sio kazi rahisi...narudia tena...Sio kazi rahisi...Sema sina uhakika na UMILIKI kwa upande wao....
Pia please tutupie picha ya gari ya Shishi.....
aaaah aaah eti siyo kazi rahis, unaweza kuwa sahihi kiasi chake , wanaudhi kudanganya umma kuhusu maisha yao, wema hajawah kumilik gari la kununua kwa pesa yake , achilia mbali ile rav 4 aliyopata kwenye umiss, shilole wanamuonaga tahira mwenzao ana nyumba na gar la maana