Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
- Thread starter
-
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23]Rayvanny mnyakyusa - kuvaa nguo za marangi kama bati
😂😂😂😂😂😎😎 Cjui kwanini akili imefikiria uzi wa Tunda kuliwa kimasihara!
Rayvanny mnyakyusa - kuvaa nguo za marangi kama bati
Kama ilivyo ada ya kabila lake kuvaa namna hiyoKulikuwa kuna haja gan ya kutaja kabila lake [emoji3][emoji3]
Ahahahahahahah! Dadaangu huyo ujue!!!Umemsahau lady jd identity yake kwenye kila video anakuwa na kiuno kigumu kama jiwe
Ahaaaaaaaa ndo umshauri afanye mazoezi ya nyonga tuone miuno,au wakurya desturi yao sio kunyongaAhahahahahahah! Dadaangu huyo ujue!!!
jamaan kikwete kaimba nyimbo ganJux nae tumbo wazi kawaida
Ben pol miwan mda wote
Kikwete kuchekacheka
Ngoma Nagwa kuvaa vipensi
jamaan kikwete kaimba nyimbo gan
Kwani wasanii ni waimbaji tujamaan kikwete kaimba nyimbo gan
DahCherokee d ass video zake nyingi lazima apige goti au atembee kama mbuzi
Inasemekana Rayvanny siyo Mnyakyusa. Ni Msafwa.Rayvanny mnyakyusa - kuvaa nguo za marangi kama bati