Wafanyabiashara Arusha wafunga maduka kwa muda usiojulikana

Naamini Kama CDM wangekuwa wanaongoza serikali haya mambo ya kodi zisizoeleweka zisingekuwepo kwa wananchi,hebu fikiri mara kodi mara tozo za miamala mara kodi za majengo kwenye luku mara bei ya mazao ya petroli hazieleweki mara bei ya mafuta ya kula haieleweki,hata haijulikani kama kuna bunge such wacko likizo
 
Sijui ni mwandishi wa aina gani wewe ,Hujasema Kodi gani imepandishwa pango,leseni,au TRA???

Pia Hujasema awali ilikuwa shilinngi ngapi na Sasa imepanda ngapi ?

Ujinga mwingine ni kuoanisha wafanya biashara na Chadema duh! Akili hizi![emoji848]
 
Wamachinga kusema ukweli walikuwa wanaichafua miji badala ya kuleta muonekano wa usafi na ustaarabu. Wanapika juu ya mitaro na wanamwaga mabaki ya chakula katikati ya miji.

Ni sawa wanajikimu kimaisha lakini mpangilio wa mji unapotea kabisa.
 
Kwani wamelazimishwa kulipa kodi? Halmashauri ya jiji ni mwenye nyumba kwa maana ya kwamba yeye ndiye anayechukua kodi anayoona kwamba itamlipa am kumrudishia gharama za uwekezaji aliouweka katika kuyajenga maduka hayo na kupande mwingine wafanyabiadhara ni mpangaji ambaye anapaswa kumlipa mwenye nyumba kodi yake ili na yeye awe huru kuifanya biashara yake

sasa hapa kufunga ama kugoma kugungua biashara ili umlazimishe mwenye nyumba akukubalie ulipe kodi unayotaka wewe siyo sawa cha msingi ni kwwmba ikiwa mwenye nyumba ama chumba unachofanyia biashara amekutoza kodi ya pango kubwa na ikawa wewe inakushinda kwa sababu unazoona kwamba haitakulipa basi unapaswa kuiacha nyumba hake ili wewe ukapange kwa mwenye nyumba mwingine na ambaye kodi yake itakuwa na ahueni na hapo mwenye nyumba naye amtafute mpangaji mwingine ambaye atakubaliana na kodi yake ama ikimshinda nyumba yake kumpata mpangaji mwenye kumlipa kodi anayoitaka basi pengine anaweza kuwa na hiyari ya kushusha kodi ama vinginevyo bila yankulazimishwa na mpangaji

Hapa hawa wapangaji wanadeka na kuigomea serikali kwa sababu ni serikali kwa sababu kwa watu binafsi huwa wanalipa kodi ama wanaacha pango wazi ili mwenye nyumba atafute wmpangaji hivyo na huku kwenye halmashauri ifanyike hivyo hivyo maana hii ni biashara kama biashara nyingine yeyote.
 
Wamachinga kusema ukweli walikuwa wanaichafua miji badala ya kuleta muonekano wa usafi na ustaarabu. Wanapika juu ya mitaro na wanamwaga mabaki ya chakula katikati ya miji.

Ni sawa wanajikimu kimaisha lakini mpangilio wa mji unapotea kabisa.
USafi wa miji unaendana na uchumi wa mtu Moja moja kuondoa machinga mtaa ni ngumu sana watarudi wote
 
Kodi ni kodi hata ukijua ni kodi gani itakusaidia nini?
Aliyeleta hii habari kaileta ili itusaidie nini ?

Ili kujua kama Sheria imekiukwa au kama kuna haki imepindishwa lazima ujue aina ya Kodi, Kama ni TRA (hii haiwezekani ipande kinyemela) kama ni Kodi kulingana na bylaws za sehemu husika au kama ni Kodi ya Pango ? na limepanda kulingana na sehemu husika / majirani wengine wanalipaje na demand ipo vipi...

Bila kujua hayo habari haijakamilika (Kodi ya Maduka hii sentensi haileti maelezo yaliyokamilika)
 
Ukishajua utaindoa?
 

Wewe kimba! Kama kodi ya maduka imepanda kwa 100% je ni kwa Chadema tu?? CCM au vyama vingine imebaki ilipokuwa? Na ni nani hasa aliyewaondoa wamachinga na kupandisha kodi husika, Chadema???

Nina masikitiko kwa mumeo na wanao kuwa na mke na mama wa aina hii!! Kwa hakika hutazalisha wana bora kuliko mwenyewe!!
 
Labda maduka ya mumeo ndio yamefungwa,bladifaken wahed
 
Madiwani wa mchongo viti maalum,baraza la mchongo
 
Simlikuwa mnasema Magufuri aliua biashara kwa kubambika watu kodi,sasa imekuwaje tena? Kweli Magufuri alisingiziwa kwa mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…