Wafanyabiashara Kariakoo wameiomba serikali iwaondoe raia kigeni (Wachina) wanaofanya umachinga

Wafanyabiashara Kariakoo wameiomba serikali iwaondoe raia kigeni (Wachina) wanaofanya umachinga

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,185
Reaction score
37,239
Wafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja.

Wakiongea na EATV, wanasema kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kwani wengine wamekuwa wakisimama nje ya maduka na kuchukua namba za wateja na kuwapeleka kwenye maduka yao.

Soma Pia: Dar: Raia wa China wageuka machinga, Wananchi washitushwa

Source: EATV

My Take: Wafanyabiashara wa Tanzania wana tamaa sana.....wanataka faida kubwa sana.....kitu cha 3,000/= wanaweza kukuuzia 30,000/= Mchina abakie kariakoo tupate nafuu wanunuzi.
 
Nchi nyingi za kiafrika zimejaa wachina na bidhaa zao fake! , hapo tena tusahau viwanda vyetu vya ndani kukua...
Kulinda viwanda vya ndani kwa nchii iliyojaa mafisad ni ujinga! Imagine sukari inayotoka nje inabei nafuu kuliko inayozalishwa ndani,

Kuna umuhimu gani sasa kulinda viwanda vya ndani? Ili iweje?
 
Wafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja.

Wakiongea na EATV, wanasema kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kwani wengine wamekuwa wakisimama nje ya maduka na kuchukua namba za wateja na kuwapeleka kwenye maduka yao.

Source
EATV

My Take
Wafanyabiashara wa Tanzania wana tamaa sana.....wanataka faida kubwa sana.....kitu cha 3,000/= wanaweza kukuuzia 30,000/= Mchina abakie kariakoo tupate nafuu wanunuzi.
Naunga mkono hoja ...wachina wabaki ili kuamsha bongo za wafanya biashara wazawa maana ni goigoi wanao taka faida kubwa.
 
Zikitangulia bidhaa duni kupindukia za machina, mchaga na mkinga wakawa wanagombana wao Kwa wao ndidi ya bidhaa.
Sasa amekuja machina choko kwa kivuli cha mwekezaji, naona mchaga na mkinga wanagombana nae.
Serikali iko pale inasikilizia.
Ndio maana US na kwingineko serikali zimeshtuka zinafukuza machoko
 
Kulinda viwanda vya ndani kwa nchii iliyojaa mafisad ni ujinga! Imagine sukari inayotoka nje inabei nafuu kuliko inayozalishwa ndani,

Kuna umuhimu gani sasa kulinda viwanda vya ndani? Ili iweje?
Sio sukari pekee. Bidhaa nyingi zinazozqlishwa nchini zina bei ya juu mno halafu hata sio kwamba zina ubora kivile.
 
Kulinda viwanda vya ndani kwa nchii iliyojaa mafisad ni ujinga! Imagine sukari inayotoka nje inabei nafuu kuliko inayozalishwa ndani,

Kuna umuhimu gani sasa kulinda viwanda vya ndani? Ili iweje?
Inashangaza sana.
Sukari inatoka Brazil bei poa, lakini sukari chafu ya Morogoro inauzwa bei mbaya kisha unaletewa ushawishi wa kulinda viwanda.
Stupid 🙄🙄
 
Back
Top Bottom