DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 561
- 900
sio fake vinaletwa kulingana na uwezo wetu wa kununua.Nchi nyingi za kiafrika zimejaa wachina na bidhaa zao fake! , hapo tena tusahau viwanda vyetu vya ndani kukua...
viwanda vyetu vinaweza vikazalisha ila havina mpango mkakati kwenye soko hapo ndotunakopigwa chenga ya mwili