Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
KweliAfrika ishakubali kuwa jalala, hatuna uwezo wa kuwagomea Wachina na vitu vyao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KweliAfrika ishakubali kuwa jalala, hatuna uwezo wa kuwagomea Wachina na vitu vyao.
Serikali ya Tanzania nitatizo hasa katika suala la ajira/biashara na uwekezaji. Ndio maana hapo juu umesema ilaumiwe TBS, na mimi nakueleza tatizo sio TBS bali Serikali. TBS uwezo wao uko chini hawana vifaa Bora vya kukagua ubora wa bidhaa ndio maana vifaa feki vimejaa.Tumia akili japo kidogo, toka lini serikali haijawahi kuwa tatizo?
Serikali ya Ghaddaffi Libwa, kila kitu kilikuwa bue, mpaka mahari za kuon wanapewa na serikali, bado ikaonekana ni tatizo.
Ushindwe wewe uisingizie serikali?
Bei rahisi ndiyo vizuri, halafu nijuavyo mimi kwenye upinzani ndiyo kunakuwa na biashara pia ushindani husababisha uboreshaji wa hudumaWafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja.
Wakiongea na EATV, wanasema kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kwani wengine wamekuwa wakisimama nje ya maduka na kuchukua namba za wateja na kuwapeleka kwenye maduka yao.
Soma Pia: Dar: Raia wa China wageuka machinga, Wananchi washitushwa
Source: EATV
My Take: Wafanyabiashara wa Tanzania wana tamaa sana.....wanataka faida kubwa sana.....kitu cha 3,000/= wanaweza kukuuzia 30,000/= Mchina abakie kariakoo tupate nafuu wanunuzi.
Wafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja.
Wakiongea na EATV, wanasema kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kwani wengine wamekuwa wakisimama nje ya maduka na kuchukua namba za wateja na kuwapeleka kwenye maduka yao.
Soma Pia: Dar: Raia wa China wageuka machinga, Wananchi washitushwa
Source: EATV
My Take: Wafanyabiashara wa Tanzania wana tamaa sana.....wanataka faida kubwa sana.....kitu cha 3,000/= wanaweza kukuuzia 30,000/= Mchina abakie kariakoo tupate nafuu wanunuzi.
Tusipowekeza, kwenye utafiti, uundaji, utengenezaji na kusomesha wataalam wa viwanda, tutakuwa dampo na soko kwa wote duniani. Ataondoka mchina, bado hatuna viwanda vyetu lazima tuende nchi zingine kukusanya kuja kutupia kwetu. Wakati wa Nyerere tulikuwa na viwanda zaidi ya 400 tukaviuwa tukavifanya maghala ya kuhifadhia takataka za nchi zingine.Wafanyabiashara Soko la Kariakoo, wameiomba Serikali kuwaondoa raia wa kigeni ambao wamekuwa wakiuza bidhaa rejareja kwa bei ya chini hali inayopelekea raia wa nchini kukosa wateja.
Wakiongea na EATV, wanasema kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kwani wengine wamekuwa wakisimama nje ya maduka na kuchukua namba za wateja na kuwapeleka kwenye maduka yao.
Soma Pia: Dar: Raia wa China wageuka machinga, Wananchi washitushwa
Source: EATV
My Take: Wafanyabiashara wa Tanzania wana tamaa sana.....wanataka faida kubwa sana.....kitu cha 3,000/= wanaweza kukuuzia 30,000/= Mchina abakie kariakoo tupate nafuu wanunuzi.
Tumekubali wenyewe kuwa mazezeta ambapo tunatumia bidhaa ambazo hatuzizalishi tena zinatoka huko huko china, (we consume what we do not produce)Kweli
Hawa wanakimbia ushindaniSubiri dawa ikuingie, upate wajomba wa kichina.
Kwanini tusiwe na viwanda vyetu tena pamba tunayo bora iwe hivyo ndipo tutapata akiliKiuchumi ni bora wazawa wauze kwa bei kubwa wananchi wa kawaida wataumia ila mwisho wa siku mzunguko wa biashara na hela utabaki nchini na ile faida ya wafanyabiashara itatumika kwenye shughuli nyingine za kiuchumi ndani ya nchi. Haohao wakipata faida kubwa ndio watasaidia wengine, wataajiri, watahonga, watalipa ada, watanunua nyama, watafuga na kulima, watanunua simenti na mbao wajenge.
Ni bora hivyo kuliko Wachina waje na bei ndogo zaidi, waue soko la wazawa na viwanda vya ndani kisha faida yote waipeleke kwao huku wazawa ndani wakibaki vibarua. Singapore ina gharama kubwa za kuishi na sio nchi maskini, Burundi ina gharama ndogo sana za kuishi na biashara zao zinapata faida kidogo mno ila bado ni maskini wa kutupwa.
Namibia wana biashara zina faida na zina bei kuliko sisi ila wana maisha mazuri kutuzidi.
exactly mostly wanafanya research, unakuta mchina anatembeza chupi anakaa rotana hotel,Nadhani pia hao wachina hawauzi ilimradi kuuza wanafanya market research yao na kupeleka report zao kwa waliowatuma ..ndo mana kila kukicha bidhaa za kichina zinaongezeka
Wanazalishia hapa hapa lakini chapa ni made in china.Tumekubali wenyewe kuwa mazezeta ambapo tunatumia bidhaa ambazo hatuzizalishi tena zinatoka huko huko china, (we consume what we do not produce)
Upo sahihi mkuu,shida ni gharama za uzalishaji,baada ya kutengeneza bidhaa unakutana na Kodi.Malighafi ni shida, mfano hebu jaribu kutengeneza sabuni au sukari mwenyewe uone gharama utakayoingia halafu uone mche mmoja au kilo ya sukari utaiuza sh? Lazima bei itakuwa juu.