Kwa jinsi china, inavyotupa mikopo, nafuu, na kutujengea miundombinu, hao wa china huwezi kuwagusa,tukiwasumbua, tutaingia kwemye mtanziko wa kidiplomasia na china, na kwa ccm hii, Bora mwananchi afe,lakini sio kumsumbua mwekezaji,
Wachina,wahindi,Arabs, wanavunja sheria kibao, lakini nchi haiwezi kuwagusa,
Nakumbuka PM Majaliwa alienda kiwanda cha nguo urafiki, akakuta Hari mbaya ya kazi kwa wazawa, Mgeni analipwa 20M mzawa analipwa kama kibarua laki tatu! Akatoka povu weeee! Wapi hakuna kilichofanyika, miaka kumi imepita sasa!