Wafanyabiashara Kariakoo wameiomba serikali iwaondoe raia kigeni (Wachina) wanaofanya umachinga

Benki za kibongo bila collateral ya maana kama hati ya kiwanja kilicho location nzuri na ndani yake kuna nyumba, apartment, gesti,lodge, hoteli, shule, sheli, kiwanda e.t.c, utazungushwa kama mwehu.
 
mbona rahisi wamachinga wa kariakoo msuse muwakomoe hao wachina nendeni guangzhou
 
Kaka unaongelea kukopi technolojia huko mbali sana hata local brand zetu tunaziundermine tunazipiga vita kisa hazina ubora badala ya kuangalia namna ya kuzisuport na kuwajengea uwezo wenzetu waliothubutu kufanya hivyo, kuna siku niliona kwenye taarifa ya habari kakamatwa mwamba moja anakiwanda bubu cha kutengeneza Mafuta ya Mawese nilishangaa sana, unafikiri watengeneza bidhaa feki China serikali yao haiwaoni kuna la kujifunza hapo
 
Ingekuwa ni nchi nyingine wangemfadhili zaidi ili awe na kiwanda complete cha kutengenezea mafuta ya kula.
 
Ingekuwa ni nchi nyingine wangemfadhili zaidi ili awe na kiwanda complete cha kutengenezea mafuta ya kula.
Ni kweli kabisa kila jambo huzaliwa utambaa, utembea kisha huanza kukimbia sasa sisi tunataka tulukie stage ya kukimbia kabla ya kutambaa, ukiangalia namna tunavyomtafasili Muwekezaji ni yule anakuja na mabilioni hawa wadogo wadogo kwetu ni kama Waharifu tu unafikili mjasiliamali mdogo atasogeaje
 
Nikipengele hiki mkuu. Mawinga ni waizi kwa ufupi. Wao hawana chao ila ndio wanaharibu bei sokoni na wanajua kuterget wateja wapya ukiwa mwenyewe hawana shida na ww mgeni sasa
 
Sisi sio wachina kwa vitu vingi ila tunaweza kujifunza kwa wachina wamewezaje japo kazi nzito kweli kweli kwa sababu itahusisha mambo mengi

Nikuulize swali umewahi kufanya kazi na wachina ?
Nimefanya kazi nao kabla ya kwenda chuo. Ni wachapakazi ila pia wanapewa support na serikali na wao wenyewe wanapeana support huku.

Casino zinazomilikiwa na Wachina hapa bongo wanaenda Wachina hawaendi za Kihindi, logistics companies za Wachina wanatumia Wachina hawatumii sijui Silent Ocean. CCECC hiyo hapo ni ya serikali inakuja shindana na hawa wazawa wenye mtaji hata 50 billion hawana.

Bila ulinzi hata mabeki tatu watatoka China.
 
Waache ujinga wamachinga wa tz wamejaa tamaa sana acha wawanyooshe tu hakuna namna
 
Habari zenu ndugu

Kwa anaehitaji kutembea/kutalii Zanzibar anitafute

Zanzibar ni njema atakae aje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…