Stend 3 hazistahili ndiyo ila bus kuwa nyingi ndo sahihi ili kuweza kumudu wingi wa abiria.Umesahau kwamba umeandika dar ni ndogo sana kuijengea stendi 3 ni matumizi mabaya ya pesa, hapo ilikuwa inamaanisha nini
Aisee wewe kama ni ofisa WA serikali hakuna mjinga kama wewe Hivi unajua KAZI ya Sensa ni nini ? Kuwa unataka ujue idadi ya watu ili iweje?Stendi tunaangalia eneo na si watu. Watu tutaaangalia idadi ya mabus kuweza kumudu uhitaji.
Mnataka kuharibu usafi wa jiji kwa kujaziwa vituo vya bus.Ndio vzr mkuu
Mkuu kukuongezea, hata hayo yanayojaza nje ya bila kufika stendi yana lipa in advance ushuru wa gari na ushuru wa wasafiri.Alafu punguza uongo magari mengi yanayo pita njia ya mbezi yanaingia stendi kushusha na kulipa izo ada zako ndo yanaendelea na safari.
Uwezo WA wapanda ndege na mabasi unalingana?Mbona kuna magari ya kuwachukua abiria wa ndege na kuwapeleka airport, au hilo hujui mzee wangu?
Ili kuwasogezea huduma mhimu zinahitajika kwa idadi ya watu na si kwa ukubwa wa eneo. Stendi tunaweka kwa kufuata ukubwa wa eneo na si wingi wa watu. Watu wengi wanahitaji idadi kubwa ya vyombo vya usafiri na si wingi wa stendiAisee wewe kama ni ofisa WA serikali hakuna mjinga kama wewe Hivi unajua KAZI ya Sensa ni nini ? Kuwa unatala ujue idadi ya watu ili iweje?
Nadhani inategemea na ukubwa wa stendi na umbali wanakotoka abiria hasa mpangilio wa mji ukojeStend 3 hazistahili ndiyo ila bus kuwa nyingi ndo sahihi ili kuweza kumudu wingi wa abiria.
Wenye.mabasi hawajalalamika ,Abiria hawajalalamika kuwa ni uchafu wewe unalalamika kama nani kibarua WA serikali mchovu kimaisha weweMnataka kuharibu usafi wa jiji kwa kujaziwa vituo vya bus.
Boss unataka uturudishe enzi za ujima kwamba huduma zote za usafiri zilundikwe stand na daiwaka wapokee abiria.Daladala zinatakiwa kupakia level seats ndiyo na pia bus inatakiwa isiwe na vituo vingi vya kushusha abiria zinaongeza msongamano mjini. Tumien fursa ya kushindilia kuongeza daladala nyingi na hivyo mtakuwa mmetengeneza ajira zaidi. Bus za mwendokasi Mpya zitakuja very soon.
πββοΈπβοΈπππππ€πKwani hapo mbezi hakuna watu wanaoishi hapo?
Hao ndio watapanda na kushuka hapo stendi kuu.
Au hakuna watu wanaosafiri wanaoishi Mbezi ?
Yaani basi la lindi limpitishe abiria nyumbani kwake Vikindu, na likamshushe Mbezi ilimradi tu anunue maji na tishu
Halafu aanze kutafuta usafiri mwingine wa kurudi Vikindu.
Kama hapo mbezi hakuna abiria wanaoishi hapo, basi aliyejenga hiyo stendi alikuwa mwehu.
Kwa hiyo jiji lenye watu milioni tano linahitaji stendi moja ya basi Kwa akili zako?Ili kuwasogezea huduma mhimu zinahitajika kwa idadi ya watu na si kwa ukubwa wa eneo. Stendi tunaweka kwa kufuata ukubwa wa eneo na si wingi wa watu. Watu wengi wanahitaji idadi kubwa ya vyombo vya usafiri na si wingi wa stendi
Vituo gani? Mabasi yanakuwepo kwenye ofisi zao. Mfano pale shekilango, zile ofisi pale zinaleta uchafu gani? Pako kimyaaa hakuna makelele ya stand.Mnataka kuharibu usafi wa jiji kwa kujaziwa vituo vya bus.
πββοΈπβοΈπππππ€πKwenye soko huru na lenye ushindani, huwezi kulazimisha washindani wa kibiashara wafanye biashara kwa mbinu moja. Ndio maana stendi zipo nyingi, Kigamboni, magomeni, Urafiki, chanika etc. kulazimisha stendi iwe mmoja ni impracticable.
Mabasi yakisababisha msongamano mjini utasikia, bus zimegeuzwa kama daladala zinavituo vingi sana zinatuwekea jam mjini wkat stendi ipoππππππLakini sababu nyingine pia dar ni mkoa uliojaa watu wa lawama sana kila kitu unachofanya hawakitaki yaani hawana jema.
Akija mkuu wa mkoa mchapakazi hawamtaki wanamuona katili kwa sababu watu wanataka kuishi kimazoea lakini baadae kuishi kwao kimazoea kukisababisha maafa fulani pia wanageuka na kuanza kulaumu serikali ina viongozi wazembe hawafuatilii raia.
Mfano mzuri ni wale raia wanaoishi sehemu za mafuriko kama jangwani na msimbazi serikali huwa inawatahadharisha kuhama maeneo ya mabondeni hawasikii na huwa wanapewa viwanja nje ya mji wakaishi huko wanakataa na kubeza kwamba hawawezi kwenda kuishi kijijini.
Baadae mafuriko yakija wanasombwa na maji wanaanza kulaumu serikali tena kwamba haijali raia wake watu wanasombwa na maji hao wanaangalia tu.
Labda hukuelewa. Stand ni ya bus na abiria, lakini baadhi ya wenye ma bus wanapakia abiria nje na kushusha abiria nje ya stand, hiyo siyo sawa. Washushe abiria ndani na wapakie abiria ndani ya stand.
Tusifanye mambo shaghalabaghala kwa kigezo cha kuwakimbia wafanya biashara. Wanapokuwa hawatumii stand hata serikali inakosa mapato.
Swala la abiria kupata mahitaji yao ndani ya stand siyo lazima lakini ikitokea anahitaji huduma hiyo ndani ya stand, iwepo, na ipo. Sio kwamba wafanya biashara wanalazimisha abiria kutumia huduma zao, hapana.
Habiria halazimishwi kutumia choo cha kulipia kama hahitaji huduma ya choo, halazimishwi kununua maji kama hayahitaji. Ilia ikiwa atahitaji zitakuwepo na atalipia, na itakuwa fursa kwa wenye biashara hizo.
Sijui kama umeelewa?
Ukianza kusgusha hapo shekilango si boda na hiace nazo zinaanza kutega hapo hapo kula vichwa ulivyoshusha?Vituo gani? Mabasi yanakuwepo kwenye ofisi zao. Mfano pale shekilango, zile ofisi pale zinaleta uchafu gani? Pako kimyaaa hakuna makelele ya stand.
Tena haitakiwi iitwe stend kuu ya mabasi.
Inatakiwa iitwa stendi ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Kisha pawe na stand za Wilaya za aKinondoni,Ilala,Temeke na Kigamboni.
Yote ni kutanua wigo wa mapato na kuwapelekea huduma wananchi wanyonge.
Walitakiwa wajiuze palikua na sababu gani kujenga stend ya mkoa wa Pwani Kibaha halafu ya mkoa wa Dsm ijegwe Mita cha kutoka kibaha. Kwa nini stand ya mkoa wa Pwani isingejengee hata Kongowe au Mlandizi?
Ndio tayar vipo mkuu huna la kutufanyaMnataka kuharibu usafi wa jiji kwa kujaziwa vituo vya bus.
Ndiyo linahtaji stendi moja yenye uwezo wa kuhudumia bus 200. Mkiwekewa stendi nyingi mtaanza pia kulalamika, nifike stebndi ya kwanza ushuru, ya pili ushuru na ya 3 ushuru wakati zote nazifikia ndani ya nusu saa.Kwa hiyo jiji lenye watu milioni tano linahitaji stendi moja ya basi Kwa akili zako?