Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Alafu punguza uongo magari mengi yanayo pita njia ya mbezi yanaingia stendi kushusha na kulipa izo ada zako ndo yanaendelea na safari.
Mkuu kukuongezea, hata hayo yanayojaza nje ya bila kufika stendi yana lipa in advance ushuru wa gari na ushuru wa wasafiri.

Walalamikaji wanaona uchaguzi unakaribia wanaanza kutengeneza mtafaruku usio na kichwa wala miguu!
 
Aisee wewe kama ni ofisa WA serikali hakuna mjinga kama wewe Hivi unajua KAZI ya Sensa ni nini ? Kuwa unatala ujue idadi ya watu ili iweje?
Ili kuwasogezea huduma mhimu zinahitajika kwa idadi ya watu na si kwa ukubwa wa eneo. Stendi tunaweka kwa kufuata ukubwa wa eneo na si wingi wa watu. Watu wengi wanahitaji idadi kubwa ya vyombo vya usafiri na si wingi wa stendi
 
Boss unataka uturudishe enzi za ujima kwamba huduma zote za usafiri zilundikwe stand na daiwaka wapokee abiria.

Siku hizi kuna safari za usiku na abiria ni wengi, tiketi zinakatwa hadi mtandaoni kupitia simu, mabasi yanasafirisha mizigo n.k Mambo ni chap chap nowdays watu hawataki gharama zisizo na msingi.

Stand iwe kituo ambacho mabasi yanapita ila si lazima abiria wote wafuate mabasi hapo ili kupata huduma, kufanya hivyo ni kupotezeana muda na gharama zisizo na ulazima na tulishatoka huko.
 
πŸ™‹β€β™‚οΈπŸ“βœοΈπŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™
 
Ili kuwasogezea huduma mhimu zinahitajika kwa idadi ya watu na si kwa ukubwa wa eneo. Stendi tunaweka kwa kufuata ukubwa wa eneo na si wingi wa watu. Watu wengi wanahitaji idadi kubwa ya vyombo vya usafiri na si wingi wa stendi
Kwa hiyo jiji lenye watu milioni tano linahitaji stendi moja ya basi Kwa akili zako?
 
Kwenye soko huru na lenye ushindani, huwezi kulazimisha washindani wa kibiashara wafanye biashara kwa mbinu moja. Ndio maana stendi zipo nyingi, Kigamboni, magomeni, Urafiki, chanika etc. kulazimisha stendi iwe mmoja ni impracticable.
πŸ™‹β€β™‚οΈπŸ“βœοΈπŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™
 
Mabasi yakisababisha msongamano mjini utasikia, bus zimegeuzwa kama daladala zinavituo vingi sana zinatuwekea jam mjini wkat stendi ipo
 

Hiyo stendi ipo wilaya ya Ubungo.
Temeke, Kinondoni, Ilala, Kigamboni hawana stendi ya Mabasi ya Mkoani.
Hivyo utaratibu wa sasa uendelee lakini iwe kwa sharti kuwa magari yote yatakayopotia barabara ya chalinze ambapo kuna halmashauri ya Ubungo basi yaingie Stendi ya Magufuli.

Umeelewa
 
Vituo gani? Mabasi yanakuwepo kwenye ofisi zao. Mfano pale shekilango, zile ofisi pale zinaleta uchafu gani? Pako kimyaaa hakuna makelele ya stand.
Ukianza kusgusha hapo shekilango si boda na hiace nazo zinaanza kutega hapo hapo kula vichwa ulivyoshusha?
 

Ndio nilikuwa namjibu mwingine hivi kumbe umekwisha tangulia kusema.
Unamawazo kama yangu
 
Kwa hiyo jiji lenye watu milioni tano linahitaji stendi moja ya basi Kwa akili zako?
Ndiyo linahtaji stendi moja yenye uwezo wa kuhudumia bus 200. Mkiwekewa stendi nyingi mtaanza pia kulalamika, nifike stebndi ya kwanza ushuru, ya pili ushuru na ya 3 ushuru wakati zote nazifikia ndani ya nusu saa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…