Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vile vizimba viliuzwe kwa Bei kubwa sana kama vile ni Fremu ya Dubai Airpot pale.
Ila nchi hii ina viongozi wa ajabu sana, hapo unakuta waziri anayehusika kwa kushirikiana na timu Msoga, kwakua tu stendi ina jina la Magufuli, basi kubadilisha jina, ikashindikana baada ya mchezo wao kuwekwa mitandaoni.
Wameona waje na mbinu ya kutofanya ulazima kwa wamiliki wa ma bus kuhakikisha wanashushia abiria na mizigo yao pale stendi...... Ili stendi ijifie yenyewe taratibu..... Jambo la aibu na linalopaswa kukemewa na jambo hili linaendelea kuonyesha kwa namna gani nchi hii inaongozwa wajinga waliopewa nafasi. Hivi JPM angekua hai, kuna mmiliki wa ma bus angeivimbia serikali namna hiii??.
Alafu hapo kuna dola, dola hiii hiii tunayosema kila siku iko mafunzoni kuhakikisha jicho lake linamulika kwa masilahi mapana ya taifa. Nadhani moja ya sehemu inayoitaji kufumuliwa ni mfumo mzima wa dola, umejaa wapigania matumbo tu .
Enyi wavivu, wazembe, wala rushwa na mafisadi wakubwa, jina la John pombe Magufuli, hili halitakaa kufutika mioyoni wa taifa hili, historia itayasahau majina yenu pale tu mtakapokufa, lakini haitokaa kumsahau JPM.
Angalia hili sukuma gang lilivyofura! Mungu wa Chato kafa. Kaa kwa kutulia.Enyi wavivu, wazembe, wala rushwa na mafisadi wakubwa, jina la John pombe Magufuli, hili halitakaa kufutika mioyoni wa taifa hili, historia itayasahau majina yenu pale tu mtakapokufa, lakini haitokaa kumsahau JPM.
Hamia BurundiHaya mambo magumu kwa kweli.
Baba ndevu, mama ndevu na mtoto ndevu kama ukoo wa Kambale.
Utafiti gani ulifanyika kabla ya kuijenga hio stendi ? Kufanya mambo kwa pupa hakuwezi kuleta faida. Unajenga SGR kwenda Mwanza wakati makontena mengi yanayoingia bandarini yanaelekea Congo na Zambia. Reli zilianza kujengwa kusafirisha watu au bidhaa ?Kuna maamuzi siasa inabidi iwekwe pembeni.Kwa hiyo na ndege zifuate abiria walipo? Kuna haja gani ya kutumia pesa nyingi kujenga stendi??
NB: Arusha mbaki na stendi yenu maana tumeona hazina umhimu.
Ni akili za yule mpumbavu na mshamba jiweKwa hiyo na ndege zifuate abiria walipo? Kuna haja gani ya kutumia pesa nyingi kujenga stendi??
Siku zote biashara haitakiwi kutegemea Stendi, bali stendi ndio inapaswa kutegemea biashara yako, shida ni hawa wafanyabiashara walidanganywa na ccm
Nimepita hapo stendi zaidi ya mara 50 lakini sikuwahi kununua chochote, hii ni kwa sababu si lazima abiria kununua kitu hapo stendi, sasa wanacholilia ni nini?
Mzee ile ni stand na sio soko tafuta aina nyingine ya biashara au hamia sokoniSgr nayo iwe inafuata abiria. Mkuu utaratibu lazima uwepo na upo kila nchi. Hiyo ya mabus kufata abiria sio sahihi ni kulazimisha tu
Mzee jiongeze ili biashara yako iende lakini sio kulazimisha mabasi yote yashushe magufuli
Ila nchi hii ina viongozi wa ajabu sana, hapo unakuta waziri anayehusika kwa kushirikiana na timu Msoga, kwakua tu stendi ina jina la Magufuli, basi kubadilisha jina, ikashindikana baada ya mchezo wao kuwekwa mitandaoni.
Wameona waje na mbinu ya kutofanya ulazima kwa wamiliki wa ma bus kuhakikisha wanashushia abiria na mizigo yao pale stendi...... Ili stendi ijifie yenyewe taratibu..... Jambo la aibu na linalopaswa kukemewa na jambo hili linaendelea kuonyesha kwa namna gani nchi hii inaongozwa wajinga waliopewa nafasi. Hivi JPM angekua hai, kuna mmiliki wa ma bus angeivimbia serikali namna hiii??.
Alafu hapo kuna dola, dola hiii hiii tunayosema kila siku iko mafunzoni kuhakikisha jicho lake linamulika kwa masilahi mapana ya taifa. Nadhani moja ya sehemu inayoitaji kufumuliwa ni mfumo mzima wa dola, umejaa wapigania matumbo tu .
Enyi wavivu, wazembe, wala rushwa na mafisadi wakubwa, jina la John pombe Magufuli, hili halitakaa kufutika mioyoni wa taifa hili, historia itayasahau majina yenu pale tu mtakapokufa, lakini haitokaa kumsahau JPM.
Mzee tafuta location nyingine pale ni stand ya abiria na sio sokoUtaratibu ni ustaarabu, wafuate utaratibu ma bus yote yapakie na kushusha abiria ndani ya stand ya ma bus na siyo vinginevyo. Kila siku tunalalamikia teuzi za rais, ni kwa sababu ya upuuzi kama huu.
Mkuu wa mkoa yupo, Mkuu wa wilaya yupo, Mkurugenzi yupo, afisa biashara wa mkoa na wilaya wapo, wachumi wa mkoa na wilaya wapo, Askari polisi na askari wa usalama barabarani wapo, kwanini bus lipakie abiria nje au kushusha abiria nje ya stand iliyojengwa kwa madhumuni hayo?
Wahusika wasimamie au watumbuliwe waje wengine wenye nia na kazi hizo.
Hapo nyuma tulilalamikia ndege binafsi kutua kila mahali biula taarifa wala ukaguzi, viwanja vya ndege vimepanuliwa na mamlaka husika walisimamia hili, bandari bubu zilizokuwa zikiingiza vitu vya magendo kama sukari na bidhaa zingine, tulilalamika mamlaka zikashughulikia, sasa kwanini hawa wa mamlaka za usafirishaji wasishughulikie hili la buses na abiria?
Tusipende vitu vya shaghalabaghala, tujenge tabia za kufuata taratibu sisi wenyewe, tunaposhindwa mamlaka husika zisimamie turudi kwenye mstari ndiyo majukumu yao. Na kama waliopewa dhamana hizo wameshindwa na watumbuliwe tu.
Na kama hii ndiyo sababu ya kutumbua watu basi atumbue asubui na jioni na ikiwezekana kila siku mpaka tupate watendaji wanaoelewa majukumu yao.
Nchi zilizoendelea zinatushinda kwasababu wao raia wao kwanza wanapenda utaratibu, na mamlaka zao zina enforce sheria zilizowekwa. Kama ni kutupa uchafu kwenye ndoo wote watatupa uchafu kwenye ndoo, na atakayefanya tofauti anachukuliwa hatua, hapa kwetu watu wanatetea ujinga.
Stand imejengwa kwa madhumuni gani, ikiwa kila mtu atafanya anavyopenda? Miafrika tuone aibu, hivi ni vitu vidogo tujielekeze wenyewe, tusisubiri kusukumwa.
Vijana wanakimbilia south Afrika na Ulaya, au Amerika kupata fursa, sasa bila utaratibu huku nani angeenda?
Nasi tujifunze matumizi mazuri ya akili na vitu , Stand ya bus, ma bus yote yangie stand, na abiria wote washukie stand na kupanda ma bus stand, kama ilivyo kwa ndege, habiria hupanda na kushukia airport na buses iwe hivyo.
Tuache hizi tabia tuendelee.
Mwenye huo uwezo alikuwa JPM tuAngalia hili sukuma gang lilivyofura! Mungu wa Chato kafa. Kaa kwa kutulia.
Uchaguzi ujao hata wabunge wa maeneo yenu watatoka huku mjini. Anatumwa mtu kuja kuvuta fomu huko, kura za maoni hata akiwa wa mwisho anapitishwa na watoto wa mjini kuwa mgombea. Halafu atatangzwa kwa nguvu ya dola.
Sukuma gang mwafwa!
Wanataka kugeuza stendi kuwa sokoMzee ile ni stand na sio soko tafuta aina nyingine ya biashara au hamia sokoni
Nami nimesema ni stand ya Bus, na sikusema liwe soko. Walioweka masoko ndio waliharibu, ila kuna bidhaa ndogo ndogo zikiwa bus stand siyo mbaya. kama maji ya kunywa, toilet paper, pipi , soda na kadhalika.Mzee tafuta location nyingine pale ni stand ya abiria na sio soko
Hapana pale hapatakiwi kuuzwa chochote zaidi ya ticket ndo maana Leo mnataka watu wapate shida kisa wewe uuze maji na tissueNami nimesema ni stand ya Bus, na sikusema liwe soko. Walioweka masoko ndio waliharibu, ila kuna bidhaa ndogo ndogo zikiwa bus stand siyo mbaya. kama maji ya kunywa, toilet paper, pipi , soda na kadhalika.
Kama kuna watu kunahitajika huduma muhimu, kama maji,soda na tissue paper. Huwezi kuwa na stand ukose huduma kwa wasafiri. Yani wajenge majengo ya abiria, waache kujenga vyoo, na wasiweke maeneo ya kutupa taka, au vinywaji baridi.Hapana pale hapatakiwi kuuzwa chochote zaidi ya ticket ndo maana Leo mnataka watu wapate shida kisa wewe uuze maji na tissue
Mfano kashusha abiria wote pale stendi anafuata Nini? Kama ni Kodi za serikali tayari ziko kwenye tiketi serikali imeshapata Kodi zake za abiria waliokata tiketiBinafsi nashauri hi!! Bus lazima ipite stendi husika, then inaweza kuendelea na ruti za ofsini kwake. Kutokupita kabisa si suala la kushabikia, huko ni kutumia pesa za watanzania ovyo. Na vitu kama stendi vinawapa ajira watanzania wengi sasa mkigeuza kuwa magofu wale walioko pale wakaibe??
Halafu hivyo vizimba vilikuwa vinatolewa kwa kujuana na majina na connectionVile vizimba viliuzwe kwa Bei kubwa sana kama vile ni Fremu ya Dubai Airpot pale.