Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Kama wapewa huduma hawahutaji kwanini wao watoe inamaana mtoa huduma ambayo abiria hawaihitaji harafu mnalaumu kukosa wateja
Labda hukuelewa. Stand ni ya bus na abiria, lakini baadhi ya wenye ma bus wanapakia abiria nje na kushusha abiria nje ya stand, hiyo siyo sawa. Washushe abiria ndani na wapakie abiria ndani ya stand.

Tusifanye mambo shaghalabaghala kwa kigezo cha kuwakimbia wafanya biashara. Wanapokuwa hawatumii stand hata serikali inakosa mapato.

Swala la abiria kupata mahitaji yao ndani ya stand siyo lazima lakini ikitokea anahitaji huduma hiyo ndani ya stand, iwepo, na ipo. Sio kwamba wafanya biashara wanalazimisha abiria kutumia huduma zao, hapana.

Habiria halazimishwi kutumia choo cha kulipia kama hahitaji huduma ya choo, halazimishwi kununua maji kama hayahitaji. Ilia ikiwa atahitaji zitakuwepo na atalipia, na itakuwa fursa kwa wenye biashara hizo.

Sijui kama umeelewa?
 
Hao wajinga kweli, yani wanalazima abiria kushuka hapo wateseke ili wanunue tu crisps na maji yao, wengine wazee kabisa lakini hawana akili hata kidogo wamekimbia kulima kwao Tukuyu wamekuja Mbezi kugombea mia mbili mbili za abira.
 
Utaratibu ni ustaarabu, wafuate utaratibu ma bus yote yapakie na kushusha abiria ndani ya stand ya ma bus na siyo vinginevyo.
Yani mtu ametoka Kilimanjaro kupitia Bagamoyo Road na kwake ni Bunju aletwe mpaka Mbezi stendi ili tu anunue karanga zako au akojoe tu kwenye choo cha stendi halafu aanze kuhangaika tena mizigo yake kurudi Bunju, hizo zitakuwa akili au matope.
 
Yani mtu ametoa Kilimanjaro kupitia Bagamoyo Road na kwake ni Bunju aletwe mpaka Mbezi stendi ili tu anunue karanga zako au akojoe tu kwenye choo cha stendi halafu aanze kuhangaika tena mizigo yake kurudi Bunju, hizo zitakuwa akili au matope.
Mbona ndege huwa hamuombi mshushwe kwenu mnakubali kwenda airport? Utaratibu wa vituo ni muhimu sana, mkifanya shaghala baghala msilalamikie mfumo na utaratibu wa serikali.

Sasa Stand ya bus ya nini kama unaweza panda na kushuka popote?
 
Labda hukuelewa. Stand ni ya bus na abiria, lakini baadhi ya wenye ma bus wanapakia abiria nje na kushusha abiria nje ya stand, hiyo siyo sawa. Washushe abiria ndani na wapakie abiria ndani ya stand.

Tusifanye mambo shaghalabaghala kwa kigezo cha kuwakimbia wafanya biashara. Wanapokuwa hawatumii stand hata serikali inakosa mapato.

Swala la abiria kupata mahitaji yao ndani ya stand siyo lazima lakini ikitokea anahitaji huduma hiyo ndani ya stand, iwepo, na ipo. Sio kwamba wafanya biashara wanalazimisha abiria kutumia huduma zao, hapana.

Habiria halazimishwi kutumia choo cha kulipia kama hahitaji huduma ya choo, halazimishwi kununua maji kama hayahitaji. Ilia ikiwa atahitaji zitakuwepo na atalipia, na itakuwa fursa kwa wenye biashara hizo.

Sijui kama umeelewa?
Ondoeni porojo zenu hapa, mapata gani serikali inakosa wakati bus zote zinapitia hiyo stendi na zinalipa ushuru. Nyie wachache mmekosa tu wateja wa pipi na karanga zenu na mia mbili za kubeba mizigo sasa mnataka kusumbua wateja walio wengi wanaosafiri ili tu mgange njaa zenu.
 

Ila nchi hii ina viongozi wa ajabu sana, hapo unakuta waziri anayehusika kwa kushirikiana na timu Msoga, kwakua tu stendi ina jina la Magufuli, basi kubadilisha jina, ikashindikana baada ya mchezo wao kuwekwa mitandaoni.

Wameona waje na mbinu ya kutofanya ulazima kwa wamiliki wa ma bus kuhakikisha wanashushia abiria na mizigo yao pale stendi...... Ili stendi ijifie yenyewe taratibu..... Jambo la aibu na linalopaswa kukemewa na jambo hili linaendelea kuonyesha kwa namna gani nchi hii inaongozwa wajinga waliopewa nafasi. Hivi JPM angekua hai, kuna mmiliki wa ma bus angeivimbia serikali namna hiii??.

Alafu hapo kuna dola, dola hiii hiii tunayosema kila siku iko mafunzoni kuhakikisha jicho lake linamulika kwa masilahi mapana ya taifa. Nadhani moja ya sehemu inayoitaji kufumuliwa ni mfumo mzima wa dola, umejaa wapigania matumbo tu .

Enyi wavivu, wazembe, wala rushwa na mafisadi wakubwa, jina la John pombe Magufuli, hili halitakaa kufutika mioyoni wa taifa hili, historia itayasahau majina yenu pale tu mtakapokufa, lakini haitokaa kumsahau JPM.
 
Mbona ndege huwa hamuombi mshushwe kwenu mnakubali kwenda airport? Utaratibu wa vituo ni muhimu sana, mkifanya shaghala baghala msilalamikie mfumo na utaratibu wa serikali.

Sasa Stand ya bus ya nini kama unaweza panda na kushuka popote?
Umewahi kumuona mtu anashuka kwenye ndege halafu anaenda kugombania daladala? Umewahi kumuona mtu kwenye ndege anagombana na kondakta kisa buku?
 
Ondoeni porojo zenu hapa, mapata gani serikali inakosa wakati bus zote zinapitia hiyo stendi na zinalipa ushuru. Nyie wachache mmekosa tu wateja wa pipi na karanga zenu na mia mbili za kubeba mizigo sasa mnataka kusumbua wateja walio wengi wanaosafiri ili tu mgange njaa zenu.
Shukran
 

Ila nchi hii ina viongozi wa ajabu sana, hapo unakuta waziri anayehusika kwa kushirikiana na timu Msoga, kwakua tu stendi ina jina la Magufuli, basi kubadilisha jina, ikashindikana baada ya mchezo wao kuwekwa mitandaoni.

Wameona waje na mbinu ya kutofanya ulazima kwa wamiliki wa ma bus kuhakikisha wanashushia abiria na mizigo yao pale stendi...... Ili stendi ijifie yenyewe taratibu..... Jambo la aibu na linalopaswa kukemewa na jambo hili linaendelea kuonyesha kwa namna gani nchi hii inaongozwa wajinga waliopewa nafasi. Hivi JPM angekua hai, kuna mmiliki wa ma bus angeivimbia serikali namna hiii??.

Alafu hapo kuna dola, dola hiii hiii tunayosema kila siku iko mafunzoni kuhakikisha jicho lake linamulika kwa masilahi mapana ya taifa. Nadhani moja ya sehemu inayoitaji kufumuliwa ni mfumo mzima wa dola, umejaa wapigania matumbo tu .

Enyi wavivu, wazembe, wala rushwa na mafisadi wakubwa, jina la John pombe Magufuli, hili halitakaa kufutika mioyoni wa taifa hili, historia itayasahau majina yenu pale tu mtakapokufa, lakini haitokaa kumsahau JPM.
Naona hisia na mihemko tu hakuna hoja ya msingi ya kupinga mabas kupakia popote
 
Umewahi kumuona mtu anashuka kwenye ndege halafu anaenda kugombania daladala? Umewahi kumuona mtu kwenye ndege anagombana na kondakta kisa buku?
Mimi ni mmoja wapo, huwa nikishuka natembea mpaka kituo cha banana, na panda Daladala kwenda nyumbani.
 

Ila nchi hii ina viongozi wa ajabu sana, hapo unakuta waziri anayehusika kwa kushirikiana na timu Msoga, kwakua tu stendi ina jina la Magufuli, basi kubadilisha jina, ikashindikana baada ya mchezo wao kuwekwa mitandaoni.

Wameona waje na mbinu ya kutofanya ulazima kwa wamiliki wa ma bus kuhakikisha wanashushia abiria na mizigo yao pale stendi...... Ili stendi ijifie yenyewe taratibu..... Jambo la aibu na linalopaswa kukemewa na jambo hili linaendelea kuonyesha kwa namna gani nchi hii inaongozwa wajinga waliopewa nafasi. Hivi JPM angekua hai, kuna mmiliki wa ma bus angeivimbia serikali namna hiii??.

Alafu hapo kuna dola, dola hiii hiii tunayosema kila siku iko mafunzoni kuhakikisha jicho lake linamulika kwa masilahi mapana ya taifa. Nadhani moja ya sehemu inayoitaji kufumuliwa ni mfumo mzima wa dola, umejaa wapigania matumbo tu .

Enyi wavivu, wazembe, wala rushwa na mafisadi wakubwa, jina la John pombe Magufuli, hili halitakaa kufutika mioyoni wa taifa hili, historia itayasahau majina yenu pale tu mtakapokufa, lakini haitokaa kumsahau JPM.

Tena haitakiwi iitwe stend kuu ya mabasi.
Inatakiwa iitwa stendi ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Kisha pawe na stand za Wilaya za aKinondoni,Ilala,Temeke na Kigamboni.
Yote ni kutanua wigo wa mapato na kuwapelekea huduma wananchi wanyonge.

Walitakiwa wajiuze palikua na sababu gani kujenga stend ya mkoa wa Pwani Kibaha halafu ya mkoa wa Dsm ijegwe Mita cha kutoka kibaha. Kwa nini stand ya mkoa wa Pwani isingejengee hata Kongowe au Mlandizi?


Ila nchi hii ina viongozi wa ajabu sana, hapo unakuta waziri anayehusika kwa kushirikiana na timu Msoga, kwakua tu stendi ina jina la Magufuli, basi kubadilisha jina, ikashindikana baada ya mchezo wao kuwekwa mitandaoni.

Wameona waje na mbinu ya kutofanya ulazima kwa wamiliki wa ma bus kuhakikisha wanashushia abiria na mizigo yao pale stendi...... Ili stendi ijifie yenyewe taratibu..... Jambo la aibu na linalopaswa kukemewa na jambo hili linaendelea kuonyesha kwa namna gani nchi hii inaongozwa wajinga waliopewa nafasi. Hivi JPM angekua hai, kuna mmiliki wa ma bus angeivimbia serikali namna hiii??.

Alafu hapo kuna dola, dola hiii hiii tunayosema kila siku iko mafunzoni kuhakikisha jicho lake linamulika kwa masilahi mapana ya taifa. Nadhani moja ya sehemu inayoitaji kufumuliwa ni mfumo mzima wa dola, umejaa wapigania matumbo tu .

Enyi wavivu, wazembe, wala rushwa na mafisadi wakubwa, jina la John pombe Magufuli, hili halitakaa kufutika mioyoni wa taifa hili, historia itayasahau majina yenu pale tu mtakapokufa, lakini haitokaa kumsahau
 
Labda hukuelewa. Stand ni ya bus na abiria, lakini baadhi ya wenye ma bus wanapakia abiria nje na kushusha abiria nje ya stand, hiyo siyo sawa. Washushe abiria ndani na wapakie abiria ndani ya stand.
Acha kukariri ujinga, Dar es Salaam nzima ya watu zaidi ya milioni tano haiwezi kuwa na kituo kimoja tu cha bus za mikoani. Mtu ametoka Lindi na anaishi Mbagala aje kushushiwa Mbezi! Huo utakuwa ujinga wa karne
 
kurasa zote nimesoma sijaona aliyeongelea sababu za mabasi kukwepa stendi ya mkoa
Mabasi hayakwepi stendi ya Mkoa, mabasi karibia yote huwa lazima yanapita hapo kuchukua au kushusha abira, hao vilaza walioshindwa kufikria njia nyingine za kuishi zaidi ya kuchuuza bidha stand wanachotaka ni kwamba mabasi yote ya Dar yaanzie na kuishia hapo stendi tu.
 
Back
Top Bottom