Wafanyabiashara Stendi ya Magufuli wataka mabasi yote yashushe na kupakia abiria hapo stendi ili wapate wateja

Vile vizimba viliuzwe kwa Bei kubwa sana kama vile ni Fremu ya Dubai Airpot pale.
 
Enyi wavivu, wazembe, wala rushwa na mafisadi wakubwa, jina la John pombe Magufuli, hili halitakaa kufutika mioyoni wa taifa hili, historia itayasahau majina yenu pale tu mtakapokufa, lakini haitokaa kumsahau JPM.
Angalia hili sukuma gang lilivyofura! Mungu wa Chato kafa. Kaa kwa kutulia.

Uchaguzi ujao hata wabunge wa maeneo yenu watatoka huku mjini. Anatumwa mtu kuja kuvuta fomu huko, kura za maoni hata akiwa wa mwisho anapitishwa na watoto wa mjini kuwa mgombea. Halafu atatangzwa kwa nguvu ya dola.

Sukuma gang mwafwa!
 
Kwa hiyo na ndege zifuate abiria walipo? Kuna haja gani ya kutumia pesa nyingi kujenga stendi??
NB: Arusha mbaki na stendi yenu maana tumeona hazina umhimu.
Utafiti gani ulifanyika kabla ya kuijenga hio stendi ? Kufanya mambo kwa pupa hakuwezi kuleta faida. Unajenga SGR kwenda Mwanza wakati makontena mengi yanayoingia bandarini yanaelekea Congo na Zambia. Reli zilianza kujengwa kusafirisha watu au bidhaa ?Kuna maamuzi siasa inabidi iwekwe pembeni.
 
 
Mzee jiongeze ili biashara yako iende lakini sio kulazimisha mabasi yote yashushe magufuli
 
Mzee tafuta location nyingine pale ni stand ya abiria na sio soko
 
Mwenye huo uwezo alikuwa JPM tu
 
Nami nimesema ni stand ya Bus, na sikusema liwe soko. Walioweka masoko ndio waliharibu, ila kuna bidhaa ndogo ndogo zikiwa bus stand siyo mbaya. kama maji ya kunywa, toilet paper, pipi , soda na kadhalika.
Hapana pale hapatakiwi kuuzwa chochote zaidi ya ticket ndo maana Leo mnataka watu wapate shida kisa wewe uuze maji na tissue
 
Hapana pale hapatakiwi kuuzwa chochote zaidi ya ticket ndo maana Leo mnataka watu wapate shida kisa wewe uuze maji na tissue
Kama kuna watu kunahitajika huduma muhimu, kama maji,soda na tissue paper. Huwezi kuwa na stand ukose huduma kwa wasafiri. Yani wajenge majengo ya abiria, waache kujenga vyoo, na wasiweke maeneo ya kutupa taka, au vinywaji baridi.
 
Mfano kashusha abiria wote pale stendi anafuata Nini? Kama ni Kodi za serikali tayari ziko kwenye tiketi serikali imeshapata Kodi zake za abiria waliokata tiketi

Serikali inapungukiwa Nini? Kama ushuru wa kuingia stendi basi wawambie tu wenye mabasi wawalipe hata Kwa mwezi watawalipa hawana shida badala ya kupoteza muda kuwa basi lazima liingie upate ushuru ni kuwaambia tu mabasi yote ya mikoa yanayoanzia Dar lazima yalipe ushuru wa stendi ya Magufuli watalipa na kukiwa na abiria watapita hapo wawachukue au kushusha lakini ushuru ulishaingia.
 
Acheni ujinga. Mimi Ni mhaya, kila Mara nasafiri kwenda kwetu (usiniulize nakwenda kufanya Nini)
Hapa Dar naishi Ubungo national housing. Unataka kuniambia nikifika Mbezi saa Saba usiku niliache Basi nililokuja nalo liende tupu urafiki, Mimi na mikungu yangu ya ndizi Bukoba na suitcase yangu ya pesa nyingi nianze kutafuta Bajaj au nisubiri kukuche nipande mwendo Kasi? What type of reasoning is that?
Mwenye Basi amekubali kunipeleka urafiki bure, hata anaye fikiria kutumia sehemu ya haja kubwa hawezi kuwacha Basi liende tupu kisa apande mwendokasi.
Mara moja moja watanzania mu reason kutumia vichwa, tigo kazi yake Ni kupitishia mavi sio kufikiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…