Ulishawahi kuona mtu anagombana na daladala ili awahi airport? Uelewe uchumi wa nchi kwanza kabla ya kugomba. Pia kama mnataka wekeni stand kila barabara ya kutoka nche ya mji. Msitese watu wakutanike sehemu Moja kama kumbikumbi.Miji inakua lazima kuwe na transit route enyi wenye vichwa vigumu. Mbona mtu akiwa anasafiri kwa ndege anatoka kibaha kuwahi ndege ya saa nane usiku na halalamiki? Acheni uvivu wa kulala. Kuna ajabu gani hapo la kuamka mapema mbona bar mnakesha 😂️😂️😂️😂️