Yani miafrika ni matahira yawe yamesoma au hayajasoma,yani una nchi kila bus lina Ofisi yake linashusha wanapotaka wao halafu kuna majitu yanaona ni sawa eti kisa tu sijui wengine wanaishi Bunju mara Mbagala.
Hivi huu uzezeta utakwisha lini jamani,kuna maana gani ya kujenga hizi stendi za mabasi sasa?? Ukienda pale manzese hadi magomemi ni Ofisi tu za mabasi-Ofisi zimekuwa kama taka taka utadhani hakuna Serikali.
Ukija Dodoma Kimbinyiko,Shabibihi,Satco,BM,Machame, na mengine mengi kila basi inaofisi na parking zake ya nini huku stendi zimejengwa na kuwekewa Ofisi.