Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wakati stendi iko ubungo mabasi yalikuwa yanapakia na kushusha vituo vingi tu vya njiani.Mbona wakati stendi ipo ubungo mlikuwa mkienda na mizigo yenu!? Mbona ilivyokuwa kisutu na kisha mnazi mmoja mlikuwa mkienda stendi na mizigo yenu??
Mbona mabasi yalikuwa yakishusha na kupakia hapo stendi?