Hakuna kisicho cha kweli kwenye uzi huu.
Kwa tafiti zisizo rasmi nilizofanya, nimebaini karibu 90+ ya waTanzania wote bila kujali ni mshika dini za kigeni au laa, wanajihusisha na mambo ya kishirikina.
Unaweza muona mtu anajifanya mfuasi mzuri wa mambo mema yahusuyo dini za kigeni lakini ndani ana misukule yake imetulia au ana watalaam wake anaowapa nafasi ya kwanza.