Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 1,105
- 765
Ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kushabikia hii kitu msichokijua. Kwa kuwa na hili soko la Ubungo, China wataongeza uwezo wao wa kuuza nje bidhaa zao za viwandani. Kwa kuwa bidhaa zao nyingi za viwandani zinategemea kwa kiasi kikubwa mali ghafi za mashambani na mali ghafi nyingine za kwao, soko la Ubungo pia litaongeza soko la mali ghafi zao kwenye viwanda vyao. Ongezeko hili la pamoja la bidhaa za viwandani na mali ghafi zitaongeza mara dufu nafasi za ajira kule China peke yake (kwa raia wa China na watu wengine wanaoishi China) mbali na kuongeza makusanyo ya kodi kwa serikali ya China. Utekelezaji wa sera ya viwanda ya nchi yetu umewekwa rehani! Sera ya kuanzisha na kuimarisha Export Processing Zones nayo iko mashakani. Kwa uchache kama soko hili litaongeza tani moja ya mauzo ya bidhaa za viwandani za China si chini ya nafasi za ajira laki moja zitatengenezwa kule China badala ya nafasi hizo kutengenezwa kwa ajili ya watanzania na hasa watanganyika. Tusubiri tuone! Aliyekuja na hili wazo la soko la Ubungo ameiweka rehani nchi yetu because it negates our country's industrialization policy. We are never too late.Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.
Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.
Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.
Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe
Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.
@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA
Tutatengeneza nafasi nyingi za ajira za viwandani kwa wachina badala ya watanzania kwa kushindwa kuwa na viwanda vya kutengeneza bidhaa hizo hizo hapa Tanzania. Kuna siku utaelewa badala ya kulewa!wachina wanalipa kodi wageni watakuja kununua bidhaa pesa itaimarika muungano daima
watakua wametusaidia sie tusioweza kufika huko china 😂 na tuliochoka kupigwa bhana me nnavyowasubiri kwa hamu
Mkuu mchina hauzi bidhaa kimachinga min oda kuanzia pisi 50 tena hiyo ni bidhaa moja no mchanganyiko huwezi kumkwepa mtu wa kariakoo kuja kwa hao wachina hapo ubongo ni faida zaidi kwa wafanyabiashara kariakooWahuni wa kkoo watafute kazi nyingine
Jumatatu kuna nini?Tuache kwanza tujiandae kisaikologia kwa matamko ya jumatatu
tunachanga tu mbona 😂😂😂kama watu wanachanga kariakoo kwa mchina hapo mbona easy tuNi soko la waagizaji wa mzigo mkubwa (jumla)...
Hili lapaswa kusimamiwa na govtAfu wachina wasigeuze TZ dampo la bidhaa zao hafifu.
Wewe chinga wa kariakoo tafuta kazi ya kufanyaMkuu mchina hauzi bidhaa kimachinga min oda kuanzia pisi 50 tena hiyo ni bidhaa moja no mchanganyiko huwezi kumkwepa mtu wa kariakoo kuja kwa hao wachina hapo ubongo ni faida zaidi kwa wafanyabiashara kariakoo
Govt ipi ndugu unayoongelea??Hili lapaswa kusimamiwa na govt
Kariakoo hujaijua vizuri bado. Kariakoo ni habari nyingine ni soko kubwa mno, linaweza kuwa ndo soko kubwa la bidhaa mbali mbali east and central africa. Kwa population tu kariakoo ina watu wengi kuliko sehemu yoyote africa mashariki na katiHili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.
Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.
Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.
Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe
Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.
@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA