ThnkingAloud
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 546
- 564
Kwani viwanda hivyo hivyo vikiwa Tanzania wafanyabiashara hao unaowasema watazuiwa?Huoni ni fursa pia kwa wafanya biashara wa mikoani kuja kufunga mzigo ubungo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani viwanda hivyo hivyo vikiwa Tanzania wafanyabiashara hao unaowasema watazuiwa?Huoni ni fursa pia kwa wafanya biashara wa mikoani kuja kufunga mzigo ubungo?
Kariakoo utapeli na udalali mwingu, mara migomo.Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.
Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.
Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.
Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe
Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.
@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA
PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Litawezekana only km hakuna utitiri wa ushuru otherwise saving itakua ndogo sana Kwa aliopo kkoo na ubungoHili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.
Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.
Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.
Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe
Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.
@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA
PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
umaskini wa akili ni tatizo kubwaWahuni wa kkoo watafute kazi nyingine
Picha tafadhaliKariakoo ni muunganiko wa mitaa, ni kamji kadogo. Kituo cha ubungo ni kama ukumbi hauwezi ua biashara ya Kariakoo labda mtu asiyeijua Kariakoo ndio atakubali.
Zile block walizojenga na fremu zinavyolingana sio za kuua biashara ya Kariakoo. Na sidhani kama Ubungo watauza jumla, hata wakiuza jumla mbongo mwenye hiyo elfu tisini ya kununua TV uchwara hawezi uziwa moja.
Acheni kujilisha upepo
Mlioko dar sisi wa mikoani tunaomba hao masupplier wa kichina wakitia maguu mtusaidie kupata mawasiliano naoHili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.
Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.
Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.
Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe
Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.
@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA
PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Kuna wachina juzi nimewaona huku kwetu wanazunguka na begi za shule kwenye maduka ya jumla kutafuta masoko walikuwa na mbongo ndio anawaongoza siku kadha hapo nyuma niliwaona pia alikuwa mchina mmoja na huyo manzi nikajua labda manzi kaopoa tu mchina anajilia vyake kumbe bhana na kuna biashara hapo ndani juzi ndio nimesanuka baada ya kuona wako na mabegi kwenye toroliHili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.
Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.
Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.
Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe
Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.
@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA
PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Stop misled, pale ubungo patakuwa ni soko la ununuzi bidhaa China, wenye mitaji ndio watakaofanya biashara pale, wewe wa chini mambo yatakuwa yale yale tu, PALE UBUNGO ZAIDI PATAKUWA NI PAHALA PA UHAKIKA PA KUAGIZIA MIZIGO KUTOKA KWENYE SOURCE ZA UHAKIKA CHINA, SECTOR ZOTE ZITAFANYA KAZI KAMA KAWAIDA, MUNGU ASAIDIE MRADI HUU UANZE MAPEMA IWEZEKANAVYOHili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.
Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.
Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.
Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe
Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.
@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA
PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Huwa nashabgazwa na statement kama hizi. Nchi za watu masoko kama KKO yapo sehemu mbali mbali na kila mtu anafanya biashara kwa uwezo wakeHili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.
Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.
Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.
Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe
Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.
@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA
PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC