Wafanyabiashara wa Kariakoo jiandaeni kisaikolojia kutokana na kituo cha biashara kinachojengwa pale Ubungo

Wafanyabiashara wa Kariakoo jiandaeni kisaikolojia kutokana na kituo cha biashara kinachojengwa pale Ubungo


Pamoja na kwamba Chalamila ameeleza vizuri baadhi ya mambo, posting hii haina uhusiano na mada ya uanzishwaji wa soko la Ubungo.

Hata hivyo kati ya mambo yanayolalamikiwa kwa siku nyingi na wafanyabiashara ni Service Levy.

Mantiki ya Sevice Levy haijawahi kuelezwa na kueleweka hata kidogo. Kodi hii hutozwa kwa mauzo ghafi na ni kati ya kodi zinazo zorotesha "capital build up au capital accumulation" miongoni mwa wawekezaji watanzania kitu ambacho kingeweza kuhamasisha uwekezaji zaidi na kuongeza fursa za ajira kwa watu wetu.
 
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA

PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Kariakoo utapeli na udalali mwingu, mara migomo.

Wanawashawishi wafanyabiashara kutoka nchi jirani wanunue bila risiti, wakikamatwa wanawaruka. Acha mchina aje
 
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA

PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Litawezekana only km hakuna utitiri wa ushuru otherwise saving itakua ndogo sana Kwa aliopo kkoo na ubungo
 
Kariakoo ni muunganiko wa mitaa, ni kamji kadogo. Kituo cha ubungo ni kama ukumbi hauwezi ua biashara ya Kariakoo labda mtu asiyeijua Kariakoo ndio atakubali.

Zile block walizojenga na fremu zinavyolingana sio za kuua biashara ya Kariakoo. Na sidhani kama Ubungo watauza jumla, hata wakiuza jumla mbongo mwenye hiyo elfu tisini ya kununua TV uchwara hawezi uziwa moja.
Acheni kujilisha upepo
Picha tafadhali
 
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA

PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Mlioko dar sisi wa mikoani tunaomba hao masupplier wa kichina wakitia maguu mtusaidie kupata mawasiliano nao
 
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA

PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Kuna wachina juzi nimewaona huku kwetu wanazunguka na begi za shule kwenye maduka ya jumla kutafuta masoko walikuwa na mbongo ndio anawaongoza siku kadha hapo nyuma niliwaona pia alikuwa mchina mmoja na huyo manzi nikajua labda manzi kaopoa tu mchina anajilia vyake kumbe bhana na kuna biashara hapo ndani juzi ndio nimesanuka baada ya kuona wako na mabegi kwenye toroli
 
Ushindani lazima uwepo wafanyabiashara wa kariakoo walibweteka sana. Vishoka wamekuwa wengi. Tushukuru hao wachina wamejenga Tanzania, wangejenga Kenya au Zambia?
 
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA

PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Stop misled, pale ubungo patakuwa ni soko la ununuzi bidhaa China, wenye mitaji ndio watakaofanya biashara pale, wewe wa chini mambo yatakuwa yale yale tu, PALE UBUNGO ZAIDI PATAKUWA NI PAHALA PA UHAKIKA PA KUAGIZIA MIZIGO KUTOKA KWENYE SOURCE ZA UHAKIKA CHINA, SECTOR ZOTE ZITAFANYA KAZI KAMA KAWAIDA, MUNGU ASAIDIE MRADI HUU UANZE MAPEMA IWEZEKANAVYO
 
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA

PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Huwa nashabgazwa na statement kama hizi. Nchi za watu masoko kama KKO yapo sehemu mbali mbali na kila mtu anafanya biashara kwa uwezo wake

KKO haiwezi kuja ku slow down , hizo kampuni unazosema ambazo zinaingiza mizigo zipo TZ miakq mingi saana….. na hakuna kilichoharibika
Wanaopaswa kuwa na hofu ni Hilo soko , sio kko. Je litapata Acceptability? Kuna masoko mengi yamejengwa na watu wakahofia KKO ita slow don …. Haijawahi kuwa hivo

Hofu ni hilo soko…. Watu wanaweza kuchukua ma frame halaf wakawa wanasinzia tu humo ndani

Pia prices zao I bet zitakuwa ni changamoto…… frame zinauzwa bei juu:… usitegemee prices zitakuwa kama za machimbo ya KKO
 
Back
Top Bottom