Wafanyabiashara wa Kariakoo jiandaeni kisaikolojia kutokana na kituo cha biashara kinachojengwa pale Ubungo

Wafanyabiashara wa Kariakoo jiandaeni kisaikolojia kutokana na kituo cha biashara kinachojengwa pale Ubungo

Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA
Hakuna hicho kitu unless umeijuq KKO kwa kuhadithiwa. Tena pale Ubungo, it is not even a strategic place. Hakuwezi kuwa na biashara pale . Ni suala la muda. Bora hata wangeenda kujenga Mbagala

Zunguka Tanzania nzima. Utajiri upo KKO na replacement yake haiwezi kuja kutokea

Kwanza hayo masehemu yatakuwa kama ni ya kishua fulan and that is the biggest failure . KKO hadi mchoma mahindi hakosi 20K’per day ukalinganishee na magofu ya ubungo

Ninahaiika ww ni mtu wa ofisin au unaishi nje ya mji
 
GQsSw3_XsAAK9rZ.jpeg
 
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA

PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Kadhalika watapunguza safari za wageni nchini kwao
 
Hata wafanya biashara wanapenda bei za bidhaa ziwe nafuu kwa wananchi . Ila bei za bidhaa huwa zinapanda kwa sababu ya kodi za hovyo hovyo . Na wananchi wasichokijua kodi zikiwa juu , wanao umia ni wananchi wenyewe , bidhaa itapanda bei ili mfanyabiashara asipate hasara .
 
Acheni kushabikia hii kitu msichokijua. Kwa kuwa na hili soko la Ubungo, China wataongeza uwezo wao wa kuuza nje bidhaa zao za viwandani. Kwa kuwa bidhaa zao nyingi za viwandani zinategemea kwa kiasi kikubwa mali ghafi za mashambani na mali ghafi nyingine za kwao, soko la Ubungo pia litaongeza soko la mali ghafi zao kwenye viwanda vyao. Ongezeko hili la pamoja la bidhaa za viwandani na mali ghafi zitaongeza mara dufu nafasi za ajira kule China peke yake (kwa raia wa China na watu wengine wanaoishi China) mbali na kuongeza makusanyo ya kodi kwa serikali ya China. Utekelezaji wa sera ya viwanda ya nchi yetu umewekwa rehani! Sera ya kuanzisha na kuimarisha Export Processing Zones nayo iko mashakani. Kwa uchache kama soko hili litaongeza tani moja ya mauzo ya bidhaa za viwandani za China si chini ya nafasi za ajira laki moja zitatengenezwa kule China badala ya nafasi hizo kutengenezwa kwa ajili ya watanzania na hasa watanganyika. Tusubiri tuone! Aliyekuja na hili wazo la soko la Ubungo ameiweka rehani nchi yetu because it negates our country's industrialization policy. We are never too late.
Acha uoga maendeleo hayakwepeki
 
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA

PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Lilishaelezwa na inafahamika Kkoo inatakiwa kufa.
 
Hakuna hicho kitu unless umeijuq KKO kwa kuhadithiwa. Tena pale Ubungo, it is not even a strategic place. Hakuwezi kuwa na biashara pale . Ni suala la muda. Bora hata wangeenda kujenga Mbagala

Zunguka Tanzania nzima. Utajiri upo KKO na replacement yake haiwezi kuja kutokea

Kwanza hayo masehemu yatakuwa kama ni ya kishua fulan and that is the biggest failure . KKO hadi mchoma mahindi hakosi 20K’per day ukalinganishee na magofu ya ubungo

Ninahaiika ww ni mtu wa ofisin au unaishi nje ya mji
Huyo ni mshamba na muoga
 
Hili Soko la China linalojengwa pale Ubungo Msilichukulie poa kabisa mchina atauwa Biashara nyingi sana kuanzia za hawa Niagize china hadi Hawa Silent ocean ambao wanasafirisha mizigo ya watz kutoka china kuileta Tz maana China atakuwa na kampuni zake mwenyewe za usafirishajiusafirishaji na hakutakuwa tena na watu wengi wanaoenda chimbo china wakati wachina wenyewe wakefika hapa so watu wataishia hapo ubungo.

Dhumuni La Mchina pale ni kutambulisha na kuuza Bidhaa zake zote Afirca mashariki kwa bei ya china yaani badala ya kusema ngoja niende nikanunue china wachina wenyewe utakutana nao pale kwa bei zile zile za China.

Maana yake Mchina anakuja kuuwa kwa zile Biashara za Kona Kona unakuta Tv inch 32 inanunuliwa china kwa sh 80,000 ikifika bongo udalali ule wa Niagize china au watu wanaoziagiza China huko, hadi ikufikie we wewe ni sh 25000 hadi 300000.

Sasa wachina pale watakuja kuleta balaa kwa bei zao kitonga, Hili jambo silifurahii Ila kiuchumi sijui litakuwaje, Hapo kariakoo wateja wao wakubwa ni Wazambia, Wacongo, wamalawi , wa Zimbabwe

Na wazee wa kkkoo huwa hawapendi wacongo na wazmbabwe wawafaham wachina au wajue machimbo ili wauze , sasa mchina kaja wenyewe hapo ubungo Muda utaongea.

@🪈WAUZAJI WA VIFAA VYA UMEME NDIO WAWE MAKINI SANA

PIA SOMA
- Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa kuchukua maduka kwenye soko la Kimataifa la Biashara linalojengwa Ubungo na EACLC
Accept a new challenges
 
Acha uoga maendeleo hayakwepeki
Ni kweli maendeleo hayakwepeki ila watanzania na hasa watanganyika wanahitaji nafasi nyingi za ajira na hasa za viwandani kama sera ya ajira na sera ya viwanda za nchi yetu zinavyosema. Na kwa njia hiyo ndiyo nchi itakuwa inaelekea kwenye maendeleo ya kweli na tunayoyatamani siyo haya unayofikiria.
Soko la Kariakoo ni kubwa sana na linahudumia nchi nyingi jirani. Badala ya kuwa na Task Force ya kukusanya kodi kutoka kwa wachuuzi wa Kariakoo serikali yetu iione hiyo kama fursa au motisha wa kusimamia ujenzi wa viwanda nchini (hata kwa njia ya PPP) vya kuzalisha bidhaa hizo hizo kwa sababu soko lipo tena kubwa tu. Wachina wanatushangaa sana sisi! Sijui tukoje! Hata hii fursa kweli serikali yetu hawaioni! Basi kupitia posting za namna hii wajifunze na wachukue hatua badala ya kushabikia uanzishaji wa masoko kama hilo la Ubungo yatakayotengeneza fursa lukuki za ajira kwao China (na nchi zingine) badala ya hapa kwetu Tanzania.
 
Ni kweli maendeleo hayakwepeki ila watanzania na hasa watanganyika wanahitaji nafasi nyingi za ajira na hasa za viwandani kama sera ya ajira na sera ya viwanda za nchi yetu zinavyosema. Na kwa njia hiyo ndiyo nchi itakuwa inaelekea kwenye maendeleo ya kweli na tunayoyatamani siyo haya unayofikiria.
Soko la Kariakoo ni kubwa sana na linahudumia nchi nyingi jirani. Badala ya kuwa na Task Force ya kukusanya kodi kutoka kwa wachuuzi wa Kariakoo serikali yetu iione hiyo kama fursa au motisha wa kusimamia ujenzi wa viwanda nchini (hata kwa njia ya PPP) vya kuzalisha bidhaa hizo hizo kwa sababu soko lipo tena kubwa tu. Wachina wanatushangaa sana sisi! Sijui tukoje! Hata hii fursa kweli serikali yetu hawaioni! Basi kupitia posting za namna hii wajifunze na wachukue hatua badala ya kushabikia uanzishaji wa masoko kama hilo la Ubungo yatakayotengeneza fursa lukuki za ajira kwao China (na nchi zingine) badala ya hapa kwetu Tanzania.
Huoni ni fursa pia kwa wafanya biashara wa mikoani kuja kufunga mzigo ubungo?
 
Accept a new challenges
Nobody is refusing new challenges here. All what we are saying is that the market that Kariakoo business people serve is huge such that, based on this fact only, it is feasible to put up factories here in Tanzania for producing the same products instead of allowing the celebrated Ubungo market type that exports job opportunities that would otherwise have been available to our people here to China! We all need, as a country, to understand the economics involved here. Chinese are really amazed by our inaction despite the massive market that is ready to buy the industrial products from local factories and in turn generate job opportunities for our people here.
 
Back
Top Bottom