Wafanyabiashara wa Kenya waanza kulia

Wafanyabiashara wa Kenya waanza kulia

Maji maji and Kinjeketile Ngwale was the most dumbest rebellion and leader respectively in the world. How on earth did Kinjeketile Ngwale cheated his followers that bullets can turn to water? Mau Mau on the other hand was one of the brightest movements in the continent, they made their own guns and grenades. They didn't believe in stupid faith like maji maji.
Aliyewafundisha kuhusu hivyo vita aliwadanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It seems Kenya has an idea to have part this 250g of posho!

 
Cha kuchekesha ni kwamba hata zile Colgate ni manufactured in Thailand [emoji23]
Sasa hutengeneza nn hawa wapuuzi maana hata Bata ni kampuni ya Canada, Blueband Unilevel kampuni ya Holland! KQ yenyewe tangu KLM ijiondoe kampuni inazidi kuporomoka kwa speed ya ajabu!
 
Good work Kenyan police, kamata wote. Leo rungu lazima ifanye kazi😂😂

 
Ut
Kama mpaka umefungwa si watatafuta alternatives, alternatives ni nyingi sana
Kwanza itakua a blessing in disguise kwa wakulima wakenya kwa kua hao wafanyibiashara watalazimika kununua kwao..wamekua wakikimbilia Tanzania na uganda kwa kuwa vitu ni cheap huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Wataaluma Leo na kesho watavuna. Njaa inasubiri.
Ethiopia another boader hawana chakula.
Somalia mpaka umefungwa.
 
Back
Top Bottom