Wafanyabiashara wa Kenya waanza kulia

Wafanyabiashara wa Kenya waanza kulia

Kila siku watu wanakufa njaa huko Kunya-Land. Kwashakoo na utapiamlo vimetamalaki kwa watoto wa Turkana.

We shupaza shingo hapa wakati nduguzo wanajifia kibudu kwa maradhi ya lishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
And what percentage of Kenyans live in Turkana? When was the last death recorded? Were the survivors saved by Tanzanian food. Cyclic arguments
 
Hivi wewe unazungumza nini?, wacha kujiaibisha aisee, Kenya hainunui zaidi ya 10% ya mazao ya wakulima, sanasana ni mikoa michache ya kaskazini mwa Tanzania ndio huuza mazao yao Kenya, kumbuka mikoa inayozalisha chakula kwa wingi Tanzania ipo kusini mwa Tanzania, ambayo hawauzi Kenya.

Tafadhali jaribu kujielimisha kwanza kabla ya kujibu, Kenya sio miongoni mwa masoko tunayotegemea, hata tusipouza bado masoko tuliyonayo hatuwezi kukidhi mahitaji yake, WFP wenyewe wanaweza kununua Chakula chote kinachozalishwa katika mikoa hiyo ya kaskazini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwelezee huyo jamaa naona anatetea ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think you guys have a crazy notion that Kenyans must depend on your food to survive. Nahisi huwa hamtembei
Wakenya mashindano ya riadha yamesitishwa ulimwenguni sijui mtaenda wapi kukimbia, ha ha ha. Mtachanganyikiwa muda si mrefu.
 
ingawa mm sio mkenya ila watanzania nahisi aliotulaani sio wa dunia hii: 70% of tanzanians wanategemea kilimo, watu wa mpakani wanapenda sana kuuza kenya kwa sababu ya good price, kwa tz bei ni mbaya sana, sasa hawa 70% utawalipa wewe ama? sioni sababu ya kuanza kuweka mada za kukomeshana, kenya ni moja ya soko letu la ni vema tukaacha haya malumbano, iv unajua kabla ya kenya kuanza kununua tanzania walikua wananunua mfano maindi kutoka mexico?
We unadhani mexico ni kama kwenda tu kariakoo hata kwa mguu unaweza kwenda??
 
We unadhani mexico ni kama kwenda tu kariakoo hata kwa mguu unaweza kwenda??


ivi unajua unawaskia wewe, they can make any decision hata kama ni stupid! the point ni kwamba kuna watu watapoteza sana ajira zao haswa wa mipakani na mda huo hautakua unawasaidia chochote
 
We unadhani mexico ni kama kwenda tu kariakoo hata kwa mguu unaweza kwenda??
If we need Mexican maize today we getit from international waters. The consignment would land this very week
 
Mda c mrefu hawa kenge wa humu watakua wanapiga debe humu wakitoka hapo wanapenda kula mchuzi usio na kitunguu wala nyanya, matunda yataliwa na waheshimiwa tu wao wataishia kuona maganda maana hiyo bei yake hawataweza kumudu
Wambie supu na chapati ni mlo wa watanzania maskini kabisa hapa Tanzania.
 
And what percentage of Kenyans live in Turkana? When was the last death recorded? Were the survivors saved by Tanzanian food. Cyclic arguments
Kenya kifurushi chenu cha wiki tu tunajua na wale nzige pamoja na mafuriko lazima mje mnatembelea magoti kuomba chakula Tanzania
 
Stupid ndo maana skonga nilikuwa nawapga sana hawa kunyaland pipo yani upstairs ujinga tu. You are not Tz level despite umaskini wetu. Level ya kunyaland ni Ug na Kigali ndo mbishane kisange
Maji maji and Kinjeketile Ngwale was the most dumbest rebellion and leader respectively in the world. How on earth did Kinjeketile Ngwale cheated his followers that bullets can turn to water? Mau Mau on the other hand was one of the brightest movements in the continent, they made their own guns and grenades. They didn't believe in stupid faith like maji maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom