Wewe bhana acha haya maviingereza yako. Kwanza hata sikuelewi.And what percentage of Kenyans live in Turkana? When was the last death recorded? Were the survivors saved by Tanzanian food.
Miaka 60 Kunyaland haiwezi kutengeneza toothpaste?Kupenda kuficha vichwa vyenu kwenye mchanga ndio kinachowaponza.
true boss ttz ushabiki umekuwa mwngiKama mpaka umefungwa si watatafuta alternatives, alternatives ni nyingi sana
Kwanza itakua a blessing in disguise kwa wakulima wakenya kwa kua hao wafanyibiashara watalazimika kununua kwao..wamekua wakikimbilia Tanzania na uganda kwa kuwa vitu ni cheap huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani huyoKuna mjinga wa kikunya dk chache zilizopita alicoment humu eti tukifunga mpaka tutatoa wapi sabuni na mafuta ila naona amegundua ameandika ujinga akaona aifute tu [emoji23]
Haya ni kati ya mafuta yanayo ongoza kwa kutumiwa kwa sasa.
Aliyewafundisha kuhusu hivyo vita aliwadanganyaMaji maji and Kinjeketile Ngwale was the most dumbest rebellion and leader respectively in the world. How on earth did Kinjeketile Ngwale cheated his followers that bullets can turn to water? Mau Mau on the other hand was one of the brightest movements in the continent, they made their own guns and grenades. They didn't believe in stupid faith like maji maji.
Cha kuchekesha ni kwamba hata zile Colgate ni manufactured in Thailand [emoji23]Miaka 60 Kunyaland haiwezi kutengeneza toothpaste?
Mkenya ukishaandika ugoko unajiona uko mbinguni. Nyang'au mnavyojiona wazungu mnachekesha.If we need Mexican maize today we getit from international waters. The consignment would land this very week
Sasa hutengeneza nn hawa wapuuzi maana hata Bata ni kampuni ya Canada, Blueband Unilevel kampuni ya Holland! KQ yenyewe tangu KLM ijiondoe kampuni inazidi kuporomoka kwa speed ya ajabu!Cha kuchekesha ni kwamba hata zile Colgate ni manufactured in Thailand [emoji23]
Huyo uliyemquote hapo [emoji23]
Hawa ni kupiga mushene tu [emoji23]Sasa hutengeneza nn hawa wapuuzi maana hata Bata ni kampuni ya Canada, Blueband Unilevel kampuni ya Holland!
mushene ndo nini babu?Hawa ni kupiga mushene tu [emoji23]
Mushene ni udaku, umbea [emoji23]mushene ndo nini babu?
Wataaluma Leo na kesho watavuna. Njaa inasubiri.Kama mpaka umefungwa si watatafuta alternatives, alternatives ni nyingi sana
Kwanza itakua a blessing in disguise kwa wakulima wakenya kwa kua hao wafanyibiashara watalazimika kununua kwao..wamekua wakikimbilia Tanzania na uganda kwa kuwa vitu ni cheap huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya mtakosa
1)Mahindi
2)Michele
3)Legumes
4)Onions
5)Fruits
6)Cotton
7)Paper
8)Timber
9)Fertilizers
10)Cattle
11)Transformers(Electric)
12)Cooking gas
13)Wheat
Tanzania tutakosa bidhaa gani muhimu toka Kenya?, Tafadhali zihorodheshe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mna whitedent miaka mingi sana iliyopita na bado mna import colgate[emoji23][emoji23]