Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Update. Vurugu Namanga wafanya biashara watanzania wanalia hasara. CCM oyee.
tunaelewa mauchungu na povu lazma zitolewe, mjifungie na hizo chakula zenu mnadhani mnatufanyia favour
mtaelewa kua adui sio 'kenya' au 'mabeberu'
Ur idiotUshauri wa bure . Nunua mazao kwa bei mbaya kumlinda mkulima. Truth is uwezo huna ni kelele tu na kujipiga kifua.
Kabla ya kuandika unapaswa uwe umefanya utafiti japo kidogo sana. Tanzania soko lake kubwa ni nchi za SADC, yaani Commoro, DRC, Zambia, Malawi, Zimbabwe, Namibia na hizi nchi za EA, yaani Rwanda na Uganda. Soko la Kenya halizidi 10% ya "market share ".Umefanya mpango upi kuhakikisha wakulima wa vitunguu na matunda hawapati hasara ya kuazo mazoa yao kutokana na kukosa soko. Je unayo mapango wa kufidia hasara? Kusema na kutenda vitu viwili tofauti.
USA inapoiwekea vikwazo vya biashara Iran, kwani huwa hizo bidhaa Iran inapewa bure?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vikonzi vimeshaanza kumuwasha,wataachia tu muda si mrefu...Hawa Wakenya ndio njia pekee ya kuwatia akili. Na bado huu ni mwanzo tu, tutaheshimiana.
MY TAKE
Ushauri wangu watakapokuja kuomba chakula JPM ahakikishe chakula kinatolewa Mpanda na kusafirishwa kwa treni (the just rehabilitated MGR) mpaka Mwanza halafu ferry wagons (MV Umoja) mpaka Kisumu then watajijua from there onwards kama kwa kutumia their MGR au la? Halafu mbele waweke bango Food relief program with love from People of Tanzania!
Kenya hawana chakula wala matunda, eti wanafunga mpaka wa Tanzania.
Alafu wakenya mnasema sana kinjeketile hivi nyie mau mau war iliwafanya niniHamna uwezo. Mkiskia the name Kenya Kinjeketile Ngwale coils his tail behind the legs. Kama mko na uwezo mbona Kiparangoto asiamue to na atangaze Kua amefunga border.
Maji maji and Kinjeketile Ngwale was the most dumbest rebellion and leader respectively in the world. How on earth did Kinjeketile Ngwale cheated his followers that bullets can turn to water? Mau Mau on the other hand was one of the brightest movements in the continent, they made their own guns and grenades. They didn't believe in stupid faith like maji maji.Alafu wakenya mnasema sana kinjeketile hivi nyie mau mau war iliwafanya nini
Labda panadolKenya mtakosa
1)Mahindi
2)Michele
3)Legumes
4)Onions
5)Fruits
6)Cotton
7)Paper
8)Timber
9)Fertilizers
10)Cattle
11)Transformers(Electric)
12)Cooking gas
13)Wheat
Tanzania tutakosa bidhaa gani muhimu toka Kenya?, Tafadhali zihorodheshe.
Sent using Jamii Forums mobile app
its chakula chetu!Tunaweza kununua chakula kutoka nchi 50 za Afrika na zaidi ya nchi 100 duniani. Tanzania sio nchi pekee inayozalisha chakula duniani. Kwanza chakula zenu mbovu tu.
Wapatanisheni kwanza Uhuru na Ruto haha ha ha ha ha hatunaelewa mauchungu na povu lazma zitolewe, mjifungie na hizo chakula zenu mnadhani mnatufanyia favour
mtaelewa kua adui sio 'kenya' au 'mabeberu'
Utanyimaje mtu kitu na huna pesa?Tony254: ikiwa mnashindwa bei ya mnavyozalisha kwenu mtaweza huko kwingine? Hua mnasusa hivo hivo baadae mnajirudisha kwetu sisi tuliojaaliwa ardhi kubwa acha tulime ninyi mtakula tu sisi hatutowanyima chakula hatuna roho mbaya kama yenu
Sent from my iPhone using JamiiForums