Eeh vinalipa ukituma na dar express ni sawa vinafikaKumbee, now I know. Thanks mkuu kwa kunipa hiyo tip. I will explore further with her on this.
Hivi Makenzie ndo yana soko zaidi huko eeh? maana huwa ananiagiza aina hiyo tu.
Na mpakani siku hizi wanasumbua sana? Mie huwa namtumia kwa Dar Express na mzigo unafika poa tu.
-Kaveli-
Huko nguo za kike na kiume naleta mana huku rahisi, huko nachukua vitenge na pochi mana huku ndo hamnaIt seems kuna bidhaa ambazo ni bei nafuu unazipata Nai kuleta Tz... na kuna bidhaa ni bei nafuu unazipata Dar kupeleka Kenya.
Information is Power. Hata kama bado mtu hauna mtaji na una nia ya Biashara, kusanya taarifa sahihi kwanza. Right info! Right info! Right info! kwanza before you jump-in to play the game.
-Kaveli-
Huko nguo za kike na kiume naleta mana huku rahis...huko nachukua vitenge na pochi mana huku ndo hamna
Kabisa ukiwa na mtaji hukos chakula kwa kwel na sikuiz si lazima duka unauza onlineSafi sana dada'ake. Endelea kupiga mishe. Bizna za kufanya zipo kibao, ila tatizo kwa vijana tulio wengi ni kukosa mtaji na taarifa sahihi za soko.
-Kaveli-
We mkali aseeNgoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah! .
Asante wangu mana ata mimi nikikua natamani sana nijue wanako jumua vitu.Ngoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!
Ooh poa, ya kaz unajua hawa makonda wao ndo dill zao kuvusha ata ukipiga tu akajua dill hana shida
Msaada dada wa huko Nairobi, nina mtaji wa 1,000,000Kariakoo ilishanishinda Nairobi ndo mpango mzima
Unatosha sana inategemea unataka kununua nini.Msaada dada wa huko Nairobi. nina mtaji wa 1,000,000
Nimetamani aisee
Viatu nai ni Mchina vingine tu, kama vya kike Dar vipo vingi na vizur zaid japo uku navyo wanatoa Kampala vizur na DarNai viatu vya aina zote vinapatikana maeneo gani na bei zake zikoje? Quality ni kama za Wachina Kariakoo au?
BlessedNgoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!
Asante. Kwa experience yako, wapi bora kwa kununua viatu kati ya Dsm, Nai na UgandaViatu nai ni mchina vingine tu. Kama vya kike Dar vipo vingi na vizur zaid japo uku navyo wanatoa Kampala vizur na Dar
Kwa kwel jmn twenzetu tu hakuna namna.Sisy July, twen'zetu Nai tukapige pesa. 🙂
-Kaveli-
Mi sio mchuuzi ila ww una roho nzur blessedNgoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!