Sikupata dear, any idea?Ulipata?
Mkuu mimi nataka chimbo la rasta
Mimi pia naomba kujua hilo chimboMkuu mimi nataka chimbo la rasta
Kama mtu anatoka roba lote si itakuwa na punguzo pia mkuuMzimbazi naona wanakuaga na punguzo kutokana na idadi unazochukua,,
Mpka leo unaweza nipeleka machimbo ya viatu vya kikeInawezekana wenyeji wako hawapajui hiyo machimbo.We sema unataka upelekwe? Ukihitaji nichek 0714306015 upelekwe
Nairobi mitaa ipiKariakoo ilishanishinda nairobi ndo mpango mzima
Brother naomba unipm contact zakoGot you,,,kwa hiyo mchina VICTAN wa mchikichi ndo sometimes anasupply hadi kwa hao wenye maduka ya Msimbazi na Muhonda,....km ni hivyo mchina atakua cheeper zaidi ya hawa wa mhonda,,,,,,
Naenda next week kufanya survey na baada ya kupata bei nzur nachukua mzigo,,,,nikifanikiwa aisee unidai chupa moja ya Wine km unatumiaga,,,,asante saaaana
Kitchen part, ukipata nijuze tafadhali.Machimbo ya magauni ya wamama kkoo wapi mkuu hasa yale kwa ajili ya sendoff
Poa ila mimi niliyaona shimoni yapo mengi bei ipo juuKitchen part, ukipata nijuze tafadhali.
Mkuu kwema? Mimi pia nina uhitaji wa simu ndogo hzo tecno,itel,guava,kgtel na viwa...nitaingia dsm muda wowote so pls ntaomba msaada wako ukiweza unipeleke maduka hayo ya jumla huko agrey strtNipo dar
Ilala bomani V/S mwenge wapi nguo kaliNenda ilala kuanzia saa 11:30 alfajir mida hiyo ndio mawinga utakutana nao mida hiyo ndio nguo zinauzwa rahisi
Ilala ndo baba Lao. Ukiona nguo mwenge au popote pale ujue zimetoka ilala. Mida ya SAA kumi na nusu hadi kumi na moja alfajiri ndo yanakatwa ma balo.