Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha porojo mkuu
hii sio kwamba watu hawawezi fika kariakoo na kuelekea katika duka fulani
Wewe sema hayo maduka ni yapi na location yake
 
Machimbo yameisha mbona baadhi ya maswali hayajibiwi

Mungu Ibariki Tz - MITz
 

Oya hebu nipe chimbo ta t-shirt Manga whole sale
 
Wadau nahitaji kujua chimbo kariakoo ambapo naweza kupata saa za kike na kiume kwa bei ya jumla kabisaaa. Pia chimbo ambalo naweza kupata suit accessories mfano tai, suspenders, socks, pocket squares n.k kwa bei ya jumla. Naombeni msaada wa kuelekezwa tafadhali
 
Saa karikakoo mtaa wa mchikichi kuna maduka makubwa wanauza saa kwa bei nafuu sana...ww ukifika mchikichi jirani na msikiti wa mtoro ulizia maana maduka mengine yako kwa ndani....yanahitaji kuelekezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…