Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

Habarini wakuu?? Mimi naulizia Chimbo la mazulia kwa bei ya jumla, msaada wenu tafadhari.
 
wadau nawasalimu nilikuwa naomba msaada wa chimbo la toys za watoto hizi
 
Wakuu naomba anaejua chimbo la simu za jumla Nairobi
 
Anaeuza hizi karatasi na wino za selphy canono cp1000 ink.
Ninazihitaji, ofa yangu ni Tsh50, 000 box moja nahitaji box 10.
Kama unazo nifuate pm.
 
ingia mchikichi ukitokea msimbazi
mtaa wa kwanza kushoto hauna lami ingia
unaitwa mtaa manyema
ndiyo mtaa una maduka mengi ya saa
lkn ukitokea mtaa wa
nenda kushoto kwako napo kuna maduka kama mawili
yanauzwa saa za jumla
kama hiyo haitoshi
unaweza ukaufuata uo mtaa wa mchikich moja kwa moja
mpaka ukutane na barabara ya udongo
ukishaanza kuingia hiyo barabara ya udongo
angalia kushoto na kulia kuna maduka kama matatu yanauzwa saa za jumla
pia kuna baadhi ya vichochoro kulia kwako pia kuna maduka ya saa
 
saa angalia post ya juu ya post hii
maduka ya suit
inahitaji
kufuatilia kidogo ili kujua unachohitaji wewe kinapatikana duka gani
 
saa angalia post ya juu ya post hii
maduka ya suit
inahitaji
kufuatilia kidogo ili kujua unachohitaji wewe kinapatikana duka gani
Habari mkuu wapi naweza pata kpti za korea za mtumba kwa belo? Pia ilala boma nguo za mtumba wanafungua belo kila jumatatu au kilasiku? Natanguliza shukrani mkuu
 
Habari mkuu wapi naweza pata kpti za korea za mtumba kwa belo? Pia ilala boma nguo za mtumba wanafungua belo kila jumatatu au kilasiku? Natanguliza shukrani mkuu
Maduka ya mtumba ya jumla yapo mengi na yapo maeneo maeneo tofauti tofaut ila kwa uwingi zaidi yapo mtaa wa lindi yaani unafika mpaka mnazi mmoja stand kisha ufuate mtaa wa lindi kama unaelekea huko utayaona maduka mengi sana ya mtumba ukifika waulize wale vijana wanabeba beba yale mabaro wanayo nunua watu utawakuta nje ya maduka hao watakuelekeza vzr duka linalouza bidhaa hiyo kuhusu ilala sifahamu ratiba yake.
 
Asante sana mkuu ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…