Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hii tetesi itazaa taharuki kubwa sana, kwa vyanzo vya uhakika vitakapo sema ndio itakuwa taarifa rasmi. Iko hivi
👇
Ndizi Mbichi zikiwasili DSM zikiwa mikononi mwa wawekezaji wa biashara hio huvundika kwa namna ya kuchovya kwenye maji yaliyowekwa vimiminika (chemicali) na hivyo ndizi kuiva ndani ya siku 2 masaa 48, japo wenyewe hao wahuni husema ndizi inaiva ndani siku 4 wakati hizo siku 4 ni utamaduni alisia wa ndizi kuiva kwa siku 4.
Hao wahuni inasemekana hutumia liquid za ethene na oxygen (not sure) mtajua wenyewe.
Na hapa Pro. Janabi ajitokeze kukemea na kusema kuhusu madhara ya huo uuaji.
Nasisitiza hii ni tetesi, japo ninayo video ya mwandishi aliyefanya utafiti na mahojiano na wahusika sipaswi kuweka hadi pale itakapokuwa viral na moderators wenyewe wataweka pasipo shaka.
Hii ndio mixer (Acetylene+ Calcium carbide+ water)
Chukua tahadhari ya dhati kabisa.
Kufa kufaana ndio uninja wa Waafrika.
Wadiz
👇
Ndizi Mbichi zikiwasili DSM zikiwa mikononi mwa wawekezaji wa biashara hio huvundika kwa namna ya kuchovya kwenye maji yaliyowekwa vimiminika (chemicali) na hivyo ndizi kuiva ndani ya siku 2 masaa 48, japo wenyewe hao wahuni husema ndizi inaiva ndani siku 4 wakati hizo siku 4 ni utamaduni alisia wa ndizi kuiva kwa siku 4.
Hao wahuni inasemekana hutumia liquid za ethene na oxygen (not sure) mtajua wenyewe.
Na hapa Pro. Janabi ajitokeze kukemea na kusema kuhusu madhara ya huo uuaji.
Nasisitiza hii ni tetesi, japo ninayo video ya mwandishi aliyefanya utafiti na mahojiano na wahusika sipaswi kuweka hadi pale itakapokuwa viral na moderators wenyewe wataweka pasipo shaka.
Hii ndio mixer (Acetylene+ Calcium carbide+ water)
Chukua tahadhari ya dhati kabisa.
Kufa kufaana ndio uninja wa Waafrika.
Wadiz