Phdum
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 1,322
- 3,278
Mkuu, mambo ni mengi saana sisi huku kwetu Kilombero kuna watu wanaivisha ndizi ndani ya siku moja tena kwa kutumia moshi tu ila sasa kiungulia chake dah.
Na kwa dunia ya sasa, kukwepa magonjwa ni shida saana sio kijijini sio mjini.
Mwezi uliopita nimefika kijijini nikakuta wanakijiji wote kwa sasa ambao ni wafugaji wanawachoma ng'ombe sindano ya booster ili ndani ya miezi mitatu tu anatoka umri wa ndama hadi dume kweli kweli na anauza hadi mil+ ng'ombe ambaye bei halisi ni laki mbili na nusu lakini wakanidokeza sio booster tu hadi ARV Wanalishwa daaah!
Njoo kwenye kuku sasaa ni madawa matupu.
Kwenye samaki niliwahi kufika kwenye kisiwa moja kinaitwa REMBA ni karibu na kisiwa cha Migingo (nadhani au ndio hiyo wenyeji watanirekebisha) nilioyashuhudia pale ni hatari. Kuna wavuvi wasio waaminifu hutumia kemikali kuvua samaki.
Kwenye mboga za majani napo siku hizi bila madawa hutoboi. Sisi enzi hizo wazee walikuwa wanaweka tu majivu kwenye mboga na mamb yanaenda fresh ila siku hizi dah.
So, hatuna pa kukimbilia.
Na kwa dunia ya sasa, kukwepa magonjwa ni shida saana sio kijijini sio mjini.
Mwezi uliopita nimefika kijijini nikakuta wanakijiji wote kwa sasa ambao ni wafugaji wanawachoma ng'ombe sindano ya booster ili ndani ya miezi mitatu tu anatoka umri wa ndama hadi dume kweli kweli na anauza hadi mil+ ng'ombe ambaye bei halisi ni laki mbili na nusu lakini wakanidokeza sio booster tu hadi ARV Wanalishwa daaah!
Njoo kwenye kuku sasaa ni madawa matupu.
Kwenye samaki niliwahi kufika kwenye kisiwa moja kinaitwa REMBA ni karibu na kisiwa cha Migingo (nadhani au ndio hiyo wenyeji watanirekebisha) nilioyashuhudia pale ni hatari. Kuna wavuvi wasio waaminifu hutumia kemikali kuvua samaki.
Kwenye mboga za majani napo siku hizi bila madawa hutoboi. Sisi enzi hizo wazee walikuwa wanaweka tu majivu kwenye mboga na mamb yanaenda fresh ila siku hizi dah.
So, hatuna pa kukimbilia.