Sean Paul
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,330
- 3,289
Too good wala hawaweki joto, bali baridi. Maana containers zenyewr tayari zina joto. Containers zimefungwa ma freezer kwa ajili ya kuset baridi around 15°C inside na ndizi huiva siku 4 mpaka 6.Ndizi inavundikwa na joto kama inkubeta wanavyofanya ,mambo ya kuweka kemikali ni uzushi....
Ndizi mbichi hata ukiiweka ndani tu ndani ya siku tatu inaiva yenyewe siyo mpaka mashine ,kwenye viwanda wanaongeza joto ili iive kwa uharaka.
Dawa inayowekwa kwenye maji kazi yake ni kuzipa ndizi rangi ya kuvutia. Rangi ya manjano iliyokolea imvutie mlaji wala si dawa ya kuivisha ndizi. Na dawa hiyo unaweza iweka hata wewe unayeivisha ndizi kwenye mtungi wako nyumbani. Unamwagia au kuchovya tu kichana then unaacha hapo. Wala haina madhara yoyote kwa sababu dawa ile haipenyi kuingia ndani ya chakula ndani.