Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hayo yote maji ila DewDrop ndio premium water hata serikalini wanayatumia😁😀 😀 Mimi nakunywa Dew na uhai kwasasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yote maji ila DewDrop ndio premium water hata serikalini wanayatumia😁😀 😀 Mimi nakunywa Dew na uhai kwasasa.
Mkuu, huku town mwendo wa ndani ya kontenaHuku kijijini kwetu niliwahi kusikia kuwa wanachimba mashimo na kuzifukia chini,sasa kwa huko mijini kwenu mwendo wa vi pavements sijui wanachimba wapi...
Mkuu. ebu tujuze huko kwenye karanga kuna utalaamu ganiMimi ndiszi hizosizitaki sio sababu ya kuzivundika hapana sio tamu............ mmetoka wenye karanga mmehamia kwenye ndizi. Ndizi ni rahisi sana kuiva jamani hata zikisafirishwa mpk ufika huku zishaanza kuiva
Tujuze basi, maana hatujuiWale mnaokula karanga za kukaanga mnajua zinavyokaangwa?
Nakwambia utakufa tu dadek hata kama nimuoga kias ganKafie mbele huko, kwanini hulali barabarani nikukanyage kwa gari kama we ni Jasiri wa kifo?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
maji ya kilimanjaro bado yapo?We mshamba kumbe hata maji huyajui, maji yenye chumvi kwa sasa ni "Kilimanjaro" pamoja na "Masafi" yale new model 😁😁😁
Kafie mbele huko, nyau wewe 😅Nakwambia utakufa tu dadek hata kama nimuoga kias gan
ebu picha ya za kijani mkuu hawa wahuni watatuuaKuna muuza genge aliniambia chukua hizi za kijani hizo mnazopenda zinaivishwa kwa chemical kwenye freezers.
Nakala kwa Dr. JanabiMuhimbili inazidi kupata wagonjwa kwa kujitakia.
Ndio ile mfe vizuri, maana mlikataa vya asili sasa mnataka vya supa maketi.Maganda ya ndizi ya siku hizi huwa yanatoa harufu. Tunalishwa madawa kila sehemu nyanya, mboga za majani, kuku😭
Nmeona Mwakaleli nmekumbuka mbali sana. Wasalimie sana Kandete,Lufilyo,Rwangwa etcHuku mwakaleli tunakula ndizi za asili kabisa hazina madawa Wala mbegu za kisasa, poleni mliopo mjini
😔AiseeNguruwe kulishwa ARV pombe chafu nyingine mpka zinatengenezwa na maji ya betri, kuku kuchanganyiwa uzazi wa mpango kwenye lishe yao , umri wa kuishi ni miaka 40 ukiwa mwenye nguvu 50🤔
Siku hizi kwa wakazi wa pwani na daresalam matunda mengi sio salama. Kiwangwa wanapulizia dawa kwenye mananasi yaive haraka. Unakuta nanasi nje limeiva ndani jeupe kama karatasi. Maembe pia hali kadhalika unakuta embe limeiva ukilila ni chachu kama bichi. Machhungwa n.k. Awamu hii hakuna ufatiliaji kwa iyo vitu feki ni vingi sana.Hii tetesi itazaa taharuki kubwa sana, kwa vyanzo vya uhakika vitakapo sema ndio itakuwa taarifa rasmi. Iko hivi
👇
Ndizi Mbichi zikiwasili DSM zikiwa mikononi mwa wawekezaji wa biashara hio huvundika kwa namna ya kuchovya kwenye maji yaliyowekwa vimiminika (chemicali) na hivyo ndizi kuiva ndani ya siku 2 masaa 48, japo wenyewe hao wahuni husema ndizi inaiva ndani siku 4 wakati hizo siku 4 ni utamaduni alisia wa ndizi kuiva kwa siku 4.
Hao wahuni inasemekana hutumia liquid za ethene na oxygen (not sure) mtajua wenyewe.
Na hapa Pro. Janabi ajitokeze kukemea na kusema kuhusu madhara ya huo uuaji.
Nasisitiza hii ni tetesi, japo ninayo video ya mwandishi aliyefanya utafiti na mahojiano na wahusika sipaswi kuweka hadi pale itakapokuwa viral na moderators wenyewe wataweka pasipo shaka.
Hii ndio mixer (Acetylene+ Calcium carbide+ water)
Chukua tahadhari ya dhati kabisa.
Kufa kufaana ndio uninja wa Waafrika.
Wadiz
Hizi ndizi sijui kwa nini mimi sina mzuka nazo kabisa. Kwanza ndizi kubwa kama dodoki, kwa sisi zanzibar tushazoea ndizi zetu za pukusa, sema ndio zinauzwa ghali.ebu picha ya za kijani mkuu hawa wahuni watatuua?
Mhhhh, kuna siku nilinunua yale maembe maboribo ya kukata, yameiva vizuri tu lkn yalikuwa machachu hatari hakuna aloyaweza kuyala. Siku hizi mambo ni mengi kwa kweli, zamani hatukuyaona haya, matunda mengine mengine yanaiva na mengine kufikia kuoza mtini.Siku hizi kwa wakazi wa pwani na daresalam matunda mengi sio salama. Kiwangwa wanapulizia dawa kwenye mananasi yaive haraka. Unakuta nanasi nje limeiva ndani jeupe kama karatasi. Maembe pia hali kadhalika unakuta embe limeiva ukilila ni chachu kama bichi. Machhungwa n.k. Awamu hii hakuna ufatiliaji kwa iyo vitu feki ni vingi sana.
nasikia baadhi wazanzibar wengi hawapendi kununua ndizi kutoka tanganyika?Hizi ndizi sijui kwa nini mimi sina mzuka nazo kabisa. Kwanza ndizi kubwa kama dodoki, kwa sisi zanzibar tushazoea ndizi zetu za pukusa, sema ndio zinauzwa ghali.