DOKEZO Wafanyabiashara wa ndizi mbivu Dar huchovya kwenye kemikali ili kuziivisha ndani ya muda mfupi. Afya za watu hatarini

DOKEZO Wafanyabiashara wa ndizi mbivu Dar huchovya kwenye kemikali ili kuziivisha ndani ya muda mfupi. Afya za watu hatarini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mimi ndiszi hizosizitaki sio sababu ya kuzivundika hapana sio tamu............ mmetoka wenye karanga mmehamia kwenye ndizi. Ndizi ni rahisi sana kuiva jamani hata zikisafirishwa mpk ufika huku zishaanza kuiva
Mkuu. ebu tujuze huko kwenye karanga kuna utalaamu gani
 
Maganda ya ndizi ya siku hizi huwa yanatoa harufu. Tunalishwa madawa kila sehemu nyanya, mboga za majani, kuku😭
 
Nguruwe kulishwa ARV pombe chafu nyingine mpka zinatengenezwa na maji ya betri, kuku kuchanganyiwa uzazi wa mpango kwenye lishe yao , umri wa kuishi ni miaka 40 ukiwa mwenye nguvu 50🤔
😔Aisee
 
Hii tetesi itazaa taharuki kubwa sana, kwa vyanzo vya uhakika vitakapo sema ndio itakuwa taarifa rasmi. Iko hivi
👇

Ndizi Mbichi zikiwasili DSM zikiwa mikononi mwa wawekezaji wa biashara hio huvundika kwa namna ya kuchovya kwenye maji yaliyowekwa vimiminika (chemicali) na hivyo ndizi kuiva ndani ya siku 2 masaa 48, japo wenyewe hao wahuni husema ndizi inaiva ndani siku 4 wakati hizo siku 4 ni utamaduni alisia wa ndizi kuiva kwa siku 4.

Hao wahuni inasemekana hutumia liquid za ethene na oxygen (not sure) mtajua wenyewe.

Na hapa Pro. Janabi ajitokeze kukemea na kusema kuhusu madhara ya huo uuaji.

Nasisitiza hii ni tetesi, japo ninayo video ya mwandishi aliyefanya utafiti na mahojiano na wahusika sipaswi kuweka hadi pale itakapokuwa viral na moderators wenyewe wataweka pasipo shaka.

Hii ndio mixer (Acetylene+ Calcium carbide+ water)

Chukua tahadhari ya dhati kabisa.

Kufa kufaana ndio uninja wa Waafrika.

Wadiz
Siku hizi kwa wakazi wa pwani na daresalam matunda mengi sio salama. Kiwangwa wanapulizia dawa kwenye mananasi yaive haraka. Unakuta nanasi nje limeiva ndani jeupe kama karatasi. Maembe pia hali kadhalika unakuta embe limeiva ukilila ni chachu kama bichi. Machhungwa n.k. Awamu hii hakuna ufatiliaji kwa iyo vitu feki ni vingi sana.
 
Siku hizi kwa wakazi wa pwani na daresalam matunda mengi sio salama. Kiwangwa wanapulizia dawa kwenye mananasi yaive haraka. Unakuta nanasi nje limeiva ndani jeupe kama karatasi. Maembe pia hali kadhalika unakuta embe limeiva ukilila ni chachu kama bichi. Machhungwa n.k. Awamu hii hakuna ufatiliaji kwa iyo vitu feki ni vingi sana.
Mhhhh, kuna siku nilinunua yale maembe maboribo ya kukata, yameiva vizuri tu lkn yalikuwa machachu hatari hakuna aloyaweza kuyala. Siku hizi mambo ni mengi kwa kweli, zamani hatukuyaona haya, matunda mengine mengine yanaiva na mengine kufikia kuoza mtini.
 
Hizi ndizi sijui kwa nini mimi sina mzuka nazo kabisa. Kwanza ndizi kubwa kama dodoki, kwa sisi zanzibar tushazoea ndizi zetu za pukusa, sema ndio zinauzwa ghali.
nasikia baadhi wazanzibar wengi hawapendi kununua ndizi kutoka tanganyika?
 
Back
Top Bottom