Guy of gisbon
JF-Expert Member
- Apr 22, 2024
- 564
- 803
umenikumbusha matunda kuivia sambani. Yaani unaingia shamban unasikia harufu ya ndizi mbivu unaitafta mpaka unaipata. Hizi ndizi tunanunua gengeni hata harufu nzuri huisikiiMhhhh, kuna siku nilinunua yale maembe maboribo ya kukata, yameiva vizuri tu lkn yalikuwa machachu hatari hakuna aloyaweza kuyala. Siku hizi mambo ni mengi kwa kweli, zamani hatukuyaona haya, matunda mengine mengine yanaiva na mengine kufikia kuoza mtini.