King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mwezi uliopita nimekunywa maji ya kopo hapa Dar yana chumvi kama ya kisimani.
Ni ya kampuni moja kubwa tu! Wachakachuaji wapo kila sehemu
Itakuwa Hills tu ndiyo yana ladha ya chumvi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwezi uliopita nimekunywa maji ya kopo hapa Dar yana chumvi kama ya kisimani.
Ni ya kampuni moja kubwa tu! Wachakachuaji wapo kila sehemu
Hii ya Sumbawanga pia niliwahi sikia miaka zaidi ya 10 sasa imepita.Siyo Dar pekee. Kuna binti aliwahi nisimulia kwamba ndicho walichokuwa wanakifanya huko Sumbawanga.
Boss wake ambaye ndo alikuwa na store, ilikuwa akishapata ndizi mbivu tokea Mbeya, alikuwa anazichovya kwenye dawa, then after a day anawauzia wale wamama wenye mabeseni na vibanda vya rejareja. Miaka kama 6 hivi iliyopita.
Kama hili lilitokea Swax, vipi DAR?
Na hata kampuni moja hivi kubwa sana Dar wanahusika na hii issue code yao ni nyepesi sana(siwezi wataja) . Na sifa ya hizi ndizi ukakasi wake zinapoliwa huwa hauishi wote ndani yake.Kuna macontainer ya kuivisha ndizi zitakuwa story tu za kahawa hizi.
Sio kweli wengi huivisha kwenye makontena maalumu tena zinaiva SI zaidi ya siku tatu Sasa kwanini wachovye kwenye kemikali?Hii nimewahi kuisikia. Duh nitakuwa mhanga wa kwanza maana mimi nikila wali lazima ndizi mbivu iwepo.
Nasikia ni zile za rangi ya kama njano sijui
Dsm ni hatari.Hii nimewahi kuisikia. Duh nitakuwa mhanga wa kwanza maana mimi nikila wali lazima ndizi mbivu iwepo.
Nasikia ni zile za rangi ya kama njano sijui
Kuna macontainer ya kuivisha ndizi zitakuwa story tu za kahawa hizi.
SIo kweli.Hii nimewahi kuisikia. Duh nitakuwa mhanga wa kwanza maana mimi nikila wali lazima ndizi mbivu iwepo.
Nasikia ni zile za rangi ya kama njano sijui
Mkuu samahani unaweza nipatia namba zakeUwongo ni uwongo ni uwongo! Nawatetea mara tatu.
Iko hivi:
Kuna jamaa mmoja pale ubungo maziwa ana contena za futi 40 kama nne kaziwek pamoja.
Hizi kontena kavuta umeme ka isa halali wa 3face na kafunga mota (mashine ya kupuliza joto) kama AC. Ndani ya kontena zote.
Mle ndani huyu bwana ananunuaga ndizi mikoani kote kwenye masoko, ameajiri vijana wengi sana kazi yao ni kukata hizi ndizi vichane vichane na kuzipanga ndani kwenye kontena mle hadi zinajaa mwanzo mwisho chini hadi juu, haya mashine alofunga yana geji (asilimia anazoseti kupiliza joto ndani mle )akipanda ndizi mbichi leo jioni akiwasha kesho yake zote zimeiva pamoja haijalishi zimekomaa au hazijakomaa vizuri zote zinaiva kiwango sawa.
Jamaa kwa sasa ana magari bodaboda toyo hadi vikirikuu vya kusuply mzigo wake sehemu mbali mbali.
Hata wewe ukienda kununulia hapo u aruhusiwa au kupeleka ndizi zako unapigiwa mahesabu ya garama kuivisha.
Hivyo huyu jamaa kwa sasa soko amelipatia na anaendelea.
Huu uwongo wako sijui tetesi sio kweli nitamtetea maana tushaenda hapo na tukaona anavyoivisha.
Ila hizi ndizi tatizo lake zikishatolewa kwenye mashine haziwi na utamu wake tena ule wa asili sukari i apungua.
Namba sina ila ukienda ubungo maziwa ukiulizia wanakovundika ndizi, unapelekwaMkuu samahani unaweza nipatia namba zake
Hujajibu swali kajitatakia kivipi? Unaweza kusema watu wasinywe juisi za madukani, wasile mbivu za sokoni,Je mchele, nyama, samaki ,maharage, unga, maziwa ambavyo na wewe pia pengine unatumia una uhakika viko salama?Nyie mnaimba iyena iyena huku mnasubiria kujulishwa mnachowekewa?
Hivi unajua juisi za embe za ile kampuni ni nini mnawekewa?
Mnafikiri mnawekewa maembe?