DOKEZO Wafanyabiashara wa ndizi mbivu Dar huchovya kwenye kemikali ili kuziivisha ndani ya muda mfupi. Afya za watu hatarini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
umenikumbusha matunda kuivia sambani. Yaani unaingia shamban unasikia harufu ya ndizi mbivu unaitafta mpaka unaipata. Hizi ndizi tunanunua gengeni hata harufu nzuri huisikii
 
Mwezi uliopita nimekunywa maji ya kopo hapa Dar yana chumvi kama ya kisimani.

Ni ya kampuni moja kubwa tu! Wachakachuaji wapo kila sehemu
Unashangaa chumvi kwenye maji ila kuingia uvinza aah!
 
Hizi ndizi kwanza kwa muonekano wake tu zinatia mashaka
 
Huku kijijini kwetu niliwahi kusikia kuwa wanachimba mashimo na kuzifukia chini,sasa kwa huko mijini kwenu mwendo wa vi pavements sijui wanachimba wapi...
Wanaziweka kwenye shimo na wanawasha Moto ili kuzifukishia moshi kwa masaa mawili halafu Kesho yake zinatolewa na zitaanza kutoa rangi, hii inaitwa kupigwa Moto.
 
Isipokuwa usifunje Sheria za nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…