Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Halafu kodi nyingi sana siyo za Wafanyabiashara.
Wao ni mawakala tu kwa niaba ya serikali lakini bado hawataki kulipa kodi mpaka kwa mbinde!
Mfano VAT, PAYE, n.k siyo hela zao lakini bado kulipa ni kwa shuruti [emoji848][emoji848][emoji848]
Bongo bahati nzuri.
Wao ni mawakala tu kwa niaba ya serikali lakini bado hawataki kulipa kodi mpaka kwa mbinde!
Mfano VAT, PAYE, n.k siyo hela zao lakini bado kulipa ni kwa shuruti [emoji848][emoji848][emoji848]
Bongo bahati nzuri.