Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Utasikia hiki dar 3000😅😅😅nyie ndio mnakuja kutupandishia vitu bei ondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasikia hiki dar 3000😅😅😅nyie ndio mnakuja kutupandishia vitu bei ondoka
Dar lita bei gani?Maziwa lita 5 ni elfu 10
Mbeya vitu ni cheap sana nilipo fika kwa mara ya kwanza nilidhani nawatapeli watoa huduma kumbe wapo sawa kabisa alafu watu wa Mbeya sio warushi wala sio watu wa tamaaNilinunua travotor Kwa nzuri Sana kabwe Kwa 20000 nimefika Dodoma chuoni nikauza Kwa 40000 tena Kwa kuliliwa.
Duuuuu hii mpyaaaa.Nilinunua chips kavu za buku jero mbeya wakanijazia chips kwenye ndoo kubwa ya lita 20
,😂hapa umezidisha mashuduNilinunua chips kavu za buku jero mbeya wakanijazia chips kwenye ndoo kubwa ya lita 20
Ndoa maana wanaitwa green city.ni mkoa uliobarikiwa kuwa na mvua nyingi,mazao mengi ya kila namna.ukiishi Mbeya ukashindwa kujenga basi nenda kwa mganga.hata bidhaa za ujenzi bado ni chini.Niko mkoa wa mbeya hasa shughuli zangu zilizonileta nazifanyia mbeya mjini na Tukuyu.
Hizi bei ndogo za vyakula wanazouza zimenifanya nijiulize hawa watu faida wnazipataje.
Mfano
Kande la mahindi mabichi na maharage wanauza sh 500,wakati dar mara ya mwisho kula kande niliuziwa 2,000/=
Wali nyama bei ni 1,500/= Dar ni 3,000/=
Wali maharage ni 1,000/= wakt dar ni 2,000/=
Chips kavu bei ni 1,000/= za kushiba wanakuambia 1,500/= hizo za kushiba mwanaume wa dar hawezi kuzimaliza coz ni sahani inajaa fully.
Kitimoto kilo ni elfu 9,wakt Dar nimeacha 12,000/=
Parachichi kubwa ni 500/=
Viazi mviringo debe ni elfu 9.
Michele debe ni elfu 35.
Mahindi debe ni elfu 12.
Nyama ya ng'ombe nimeona hapo uyole bucha flani wameandika kilo ni elfu 7 wakt dar bei nimeacha ni elfu 12
Supu ya ng'ombe na ndizi tatu ni 1,500/=
Kichane cha ndizi mbivu ni elfu 1.
Maziwa lita 5 ni elfu 10
Mafuta ya alizeti lita 5 ni elfu 25
Hawa watu faida wanazipataje?
Dar ni dar na Mbeya ni.mbeya Acha ushambaNiko mkoa wa mbeya hasa shughuli zangu zilizonileta nazifanyia mbeya mjini na Tukuyu.
Hizi bei ndogo za vyakula wanazouza zimenifanya nijiulize hawa watu faida wnazipataje.
Mfano
Kande la mahindi mabichi na maharage wanauza sh 500,wakati dar mara ya mwisho kula kande niliuziwa 2,000/=
Wali nyama bei ni 1,500/= Dar ni 3,000/=
Wali maharage ni 1,000/= wakt dar ni 2,000/=
Chips kavu bei ni 1,000/= za kushiba wanakuambia 1,500/= hizo za kushiba mwanaume wa dar hawezi kuzimaliza coz ni sahani inajaa fully.
Kitimoto kilo ni elfu 9,wakt Dar nimeacha 12,000/=
Parachichi kubwa ni 500/=
Viazi mviringo debe ni elfu 9.
Michele debe ni elfu 35.
Mahindi debe ni elfu 12.
Nyama ya ng'ombe nimeona hapo uyole bucha flani wameandika kilo ni elfu 7 wakt dar bei nimeacha ni elfu 12
Supu ya ng'ombe na ndizi tatu ni 1,500/=
Kichane cha ndizi mbivu ni elfu 1.
Maziwa lita 5 ni elfu 10
Mafuta ya alizeti lita 5 ni elfu 25
Hawa watu faida wanazipataje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najamaa yangu aliendaga mbeya miaka fulani hivi.
Jamaa ndio ilikua first time kutimba mbeya, amefika jioni akatoka kwenda kula chips, akaagiza chipsi za buku 2.
Alipofika alikuta vijana watatu, kila mmoja yupo bize na mambo yake, aliposema tu nipe chipsi za buku 2 unaambiwa kila mtu akaacha alichokua anafanya wakaanza kumtazama jamaa huku wanaongea kilugha.
Mzigo ulivyokuja jamaa akasema hii sio oda yangu.
Uongoooo 🤣🤣🤣🤣Nilinunua chips kavu za buku jero mbeya wakanijazia chips kwenye ndoo kubwa ya lita 20, huku jamaa ananiambia kiongozi samahani viazi vimetuishia naomba tukuuzie kwa 500 tu hizi badala ya buku jero
Wanazipata hiviHawa watu faida wanazipataje?
dah umenichekesha sana mkuu😂😂Najamaa yangu aliendaga mbeya miaka fulani hivi.
Jamaa ndio ilikua first time kutimba mbeya, amefika jioni akatoka kwenda kula chips, akaagiza chipsi za buku 2.
Alipofika alikuta vijana watatu, kila mmoja yupo bize na mambo yake, aliposema tu nipe chipsi za buku 2 unaambiwa kila mtu akaacha alichokua anafanya wakaanza kumtazama jamaa huku wanaongea kilugha.
Mzigo ulivyokuja jamaa akasema hii sio oda yangu.