Wafanyabiashara wa vyakula wa mkoa wa mbeya faida wanazipataje?

Wafanyabiashara wa vyakula wa mkoa wa mbeya faida wanazipataje?

Mimi nimeishi Mbeya maisha yangu yote, Airport ndo mtaa niliozaliwa. Nimesoma Mbeya kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu, nimetoka Mbeya mara chache sana na kipindi nikichotoka muda mrefu zaidi ni mwezi mmoja (napo nilikuwa locked up Morogoro).

Miaka kama mitatu iliyopita nilihamia Uyole, maisha ya huku nilishangaa kama ambavyo mtu anaetoka Dar anavoshangaa Mbeya. Huku vitu ni zaidi ya bei rahisi, sio vyakula, sio sehemu za kuishi, sio pisi!
Njoo universal hapa tutoe lock mkuu, ila mademu wa bar za huku achana nao kabisa mkuu

Ndio nimeshangaa kuna mtu alitaka kupotosha kwamba kwasasa Mbeya maisha ni ghali wakati kwa buku Uyole napata menu ya mboga saba
 
Niko mkoa wa mbeya hasa shughuli zangu zilizonileta nazifanyia mbeya mjini na Tukuyu.

Hizi bei ndogo za vyakula wanazouza zimenifanya nijiulize hawa watu faida wnazipataje.
Mfano

Kande la mahindi mabichi na maharage wanauza sh 500,wakati dar mara ya mwisho kula kande niliuziwa 2,000/=

Wali nyama bei ni 1,500/= Dar ni 3,000/=

Wali maharage ni 1,000/= wakt dar ni 2,000/=

Chips kavu bei ni 1,000/= za kushiba wanakuambia 1,500/= hizo za kushiba mwanaume wa dar hawezi kuzimaliza coz ni sahani inajaa fully.

Kitimoto kilo ni elfu 9,wakt Dar nimeacha 12,000/=
Parachichi kubwa ni 500/=
Viazi mviringo debe ni elfu 9.
Michele debe ni elfu 35.
Mahindi debe ni elfu 12.

Nyama ya ng'ombe nimeona hapo uyole bucha flani wameandika kilo ni elfu 7 wakt dar bei nimeacha ni elfu 12
Supu ya ng'ombe na ndizi tatu ni 1,500/=

Kichane cha ndizi mbivu ni elfu 1.
Maziwa lita 5 ni elfu 10
Mafuta ya alizeti lita 5 ni elfu 25
Hawa watu faida wanazipataje?
Ungeangalia pia wingi wa makanisa, ungejua wanyakyusa watu wa Mungu, hata hivyo hesabu waimbaji wa nyimbo za kikristu utajua ni watu wa Mungu. Lakini pia ungepanda mlima Rungwe ungewakuta huko juu wakisubiri kwenda ulaya bila pasipoti.
 
Njoo universal hapa tutoe lock mkuu, ila mademu wa bar za huku achana nao kabisa mkuu

Ndio nimeshangaa kuna mtu alitaka kupotosha kwamba kwasasa Mbeya maisha ni ghali wakati kwa buku Uyole napata menu ya mboga saba
Uyole mboga za majani fungu 1 sh 100 ushindwe wewe Tu😀😀😀
 
Niko mkoa wa mbeya hasa shughuli zangu zilizonileta nazifanyia mbeya mjini na Tukuyu.

Hizi bei ndogo za vyakula wanazouza zimenifanya nijiulize hawa watu faida wnazipataje.
Mfano

Kande la mahindi mabichi na maharage wanauza sh 500,wakati dar mara ya mwisho kula kande niliuziwa 2,000/=

Wali nyama bei ni 1,500/= Dar ni 3,000/=

Wali maharage ni 1,000/= wakt dar ni 2,000/=

Chips kavu bei ni 1,000/= za kushiba wanakuambia 1,500/= hizo za kushiba mwanaume wa dar hawezi kuzimaliza coz ni sahani inajaa fully.

Kitimoto kilo ni elfu 9,wakt Dar nimeacha 12,000/=
Parachichi kubwa ni 500/=
Viazi mviringo debe ni elfu 9.
Michele debe ni elfu 35.
Mahindi debe ni elfu 12.

Nyama ya ng'ombe nimeona hapo uyole bucha flani wameandika kilo ni elfu 7 wakt dar bei nimeacha ni elfu 12
Supu ya ng'ombe na ndizi tatu ni 1,500/=

Kichane cha ndizi mbivu ni elfu 1.
Maziwa lita 5 ni elfu 10
Mafuta ya alizeti lita 5 ni elfu 25
Hawa watu faida wanazipataje?
mbona hakuna tofauti ya bei hapo, MBEYA wana produce wenyewe all imputs ya hizo menu, while Dar wana import toka upcountry, mbeya ikiwa moja wapo ni suppler mkubwwa wa vyakula Dar. Naona Dar ni cheaper zaidi, uki take account ya garama itokanayo na supply chain from upcountry
 
Dar ya wapi hiyo wali nyama 3,000 nipajue vizuri ili siku nikiwa na ziara nitoke home nikiwa nimeshiba?

Actually ni kweli Mbeya kuna gharama nafuu za vyakula ila kwa Dar maeneo mengi regular bei za msosi ni 1,500.

Hapo hapo Mbeya ukisema ushuke wilaya ya Chunya utashangaa bei ya chakula ilivyokuwa ghali.
Chunya si eneo la kilimo, maeneo ya madini huwa makavu.
 
1.Dar wali 1500 unapata yule mama anauza
2.Maziwa sawa na Dar to lita 5 ni elfu kumi
3.Chips mbeya bei yake sawa na Dar tu 2500 ,nimetoka uko juzi
4.kuna mwingine anadai eti wali kuku ni shilingi elfu 3 muongo ,nimepuyanga maeneo yote kuanzia mafiati,kabwe,mwanjelwa,sai mama john ,uyole hakuna kitu kama hicho maisha kwa sasa hata mbeya yameanza kuwa juu kutokana na muingiliano wa wageni umekua mkubwa pia wageni wengi hasa wakenya wanaenda mashambani kununua mazao,kwa sasa parachichi limepaa sana bei yake sawa na Dar tu shilingi 500
Wapi chips 2500?
 
mbona hakuna tofauti ya bei hapo, MBEYA wana produce wenyewe all imputs ya hizo menu, while Dar wana import toka upcountry, mbeya ikiwa moja wapo ni suppler mkubwwa wa vyakula Dar. Naona Dar ni cheap[er zaidi uki take account ya garama itokanayo na supply chain from uprcountry
Nenda Mbeya kisha ufananishe na thiore yako. Usishangae ukienda bucha kununua nyama unapewa na fungu la nyanya bure! Hiyo ndiyo Mbeya.
 
Chips 2500? Hiyo si chips yai na mayai matatu! Kwanza ni sehemu gani huko uliuziwa kwa hiyo bei? Parachichi Mbeya bei inaanzia 300, maziwa ni 1000 kwa lita eneo analokaa hiyo 10k ni mtindi, maisha sio ghali mbeya ila ni kweli kwasasa Wakenya wapo wengi kwenye parachichi kama ambavyo wapemba wapo wengi kwenye ndizi na viazi.
Nimeshangaa na mim et chips 2500
 
Back
Top Bottom