Wafanyabiashara wa vyakula wa mkoa wa mbeya faida wanazipataje?

Ndoa maana wanaitwa green city.ni mkoa uliobarikiwa kuwa na mvua nyingi,mazao mengi ya kila namna.ukiishi Mbeya ukashindwa kujenga basi nenda kwa mganga.hata bidhaa za ujenzi bado ni chini.
 
Umenikumbusha mwaka fulani hivi tulienda Mbeya kwa ajili ya Semina tulikaa kama wiki 2 hivi aisee tulienjoy sana.
Kwenye mambo ya msosi mimi nilikuwa napenda kuagiza wali na kuku wa kienyeji pande la nguvu na vipande vya parachichi wanaweka kwa juu ya wali bure kwa bei ya 3000.
Kitu kingine kilichokuwa kinanipa mshangao ilikuwa tukienda bar kwa ajili ya burudani unakuta bili inakuja jumla elfu 5 tu halafu saa ya kulipa muhudumu anapokea hela kwa ishara ya kupiga magoti kisha anatoa sauti ya unyenyekevu ya Kinyakyusa"Na kesho mje tena"
 
Mfuko wa Cement, Sukari, na Chupa za Maji, Uhai, Kilimanjaro au Juice ya Pakti ya Azam ni bei gani ? Bila kusahau average Kodi ya Pango wanalouzia bidhaa zao.
 
Tukuyu mbeya ukifika hapo ni kama upo tu jikoni misosi kibao na kale kabaridi kana support mambo mengi!
 
Dar ni dar na Mbeya ni.mbeya Acha ushamba
 
Taburalaza wanauza bei ya vitu vya viwandani wakti mada iliyopo ni bei ya vyakula.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio mana wanyakyusa wanene. Labda kama hajakulia huko au ana_maintain figa
 
Nilinunua chips kavu za buku jero mbeya wakanijazia chips kwenye ndoo kubwa ya lita 20, huku jamaa ananiambia kiongozi samahani viazi vimetuishia naomba tukuuzie kwa 500 tu hizi badala ya buku jero
Uongoooo 🀣🀣🀣🀣
 
Kuna supply kubwa ya vyakula vya shambani, wanazalisha sana maeneo hayo na hivitoki mbali hivyo gharama za usafiri na uhifadhi zinapungua.

Wengine hawanunui bali wanaagiza tu kijijini kwao.

Hapo anayeumia ni mkulima analaliwa sana
 
dah umenichekesha sana mkuuπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…