Wafanyabiashara wafikishwa Mahakamani kwa Kusafirisha Heroin kilo 58.62

Mkuu huyo ni mkongwe kwenye mambo hayo
 
goroko77 hapo vipi?
 
Kuna kitu kinaitwa inventory sio lazima ulete madawa mahakamani. Wala polisi hawapeleki madawa kama kielelezo mahakamani isipokuwa kuna inventory huwa inajazwa na wataalam./ Inventory ni form maalum.
Madawa huwa yanateketezwa
 
Ushamba unakusumbua sisi wengine safari ni kitu cha kawaida tu mkuu...SA ni kama natoka Magomeni naenda Kariakoo uliza kitu chochote kuhusu Johannesburg au Cape Town utasaidiwa sio mambo ya kutaka sifa kwenye mitandao wakati huna unachokijua...SA sio sehemu ya kulingishia mazee labda kwa washamba wanaona ni sehemu ya maana sana...
 
Ubaharia unakusumbua Faza na usipokua makini kila mtu akifanya kitu utaona akiwezekani kama Pretoria kwako nimewahi kuishi hapo Jacob Marley Street na kule Sunnyside kabla haijavamiwa na Wapopo....na kuwatembelea wabongo kule kwa Msomali miaka hiyo...
 
Jacob Marley and Prinslow street,,
Tavena Pub maskani ya wabongo ,,
brown street and Prinslow kwa msomali .

Kote ndy michezo yngu..

Kwa kifupi hii namba chafu mkuu..
Kwa kuwa umetaja mitaa yng RSA basi salute mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…