Wafanyabiashara wafikishwa Mahakamani kwa Kusafirisha Heroin kilo 58.62

Wafanyabiashara wafikishwa Mahakamani kwa Kusafirisha Heroin kilo 58.62

Hayo mambo yanahitaji ujuwe Sheria..
Watu wengi wanafungwa sababu ya kutonuwa Sheria.

Ila sasa kwa taarifa yako,,hao jamaa soon utawaona uraiani,,
Wengi wanatolewa BAADA YA KUKATA RUFAA MAHAKAMA KUU.
Ndio mana nilitaka kujua na rufaa nadhani imekatwa au lah na bado wanasota
 
Ndio mana nilitaka kujua na rufaa nadhani imekatwa au lah na bado wanasota
Labda hufatilii haya mambo yalivyo.

Yule mke wa jamaa aliyekuwa gerezani ana ugomvi mkubwa na Mange kimambi.

Wakati rufaa yao ipo mezani inasubiriwa hukumu,
Mange akapata fununu kwamba jamaa na mkewe wataachiwa,,

Yule Dada alipiga kelele na kupaza sauti mitandaoni kwamba jamaa wanaachiwa tena kwa mchongo.,

Mwishowe nadhani mamlaka ziliingilia Kati Ile kesi na rufaa yao ikapigwa chini..

Ila soon or later jamaa watatoka..
 
Labda hufatilii haya mambo yalivyo.

Yule mke wa jamaa aliyekuwa gerezani ana ugomvi mkubwa na Mange kimambi.

Wakati rufaa yao ipo mezani inasubiriwa hukumu,
Mange akapata fununu kwamba jamaa na mkewe wataachiwa,,

Yule Dada alipiga kelele na kupaza sauti mitandaoni kwamba jamaa wanaachiwa tena kwa mchongo.,

Mwishowe nadhani mamlaka ziliingilia Kati Ile kesi na rufaa yao ikapigwa chini..

Ila soon or later jamaa watatoka..
Ila bado sijajibiwa swali langu mkuu
 

Labda hufatilii haya mambo yalivyo.

Yule mke wa jamaa aliyekuwa gerezani ana ugomvi mkubwa na Mange kimambi.

Wakati rufaa yao ipo mezani inasubiriwa hukumu,
Mange akapata fununu kwamba jamaa na mkewe wataachiwa,,

Yule Dada alipiga kelele na kupaza sauti mitandaoni kwamba jamaa wanaachiwa tena kwa mchongo.,

Mwishowe nadhani mamlaka ziliingilia Kati Ile kesi na rufaa yao ikapigwa chini..

Ila soon or later jamaa watatoka..
Ile ya kiboko nakumbuka kuna mtu alikoment tu...soon mtamuona kitaa...na kweli haloo
 
Lipi sasa?
Ingekua na Voice note jamii forum ningetuma sauti kabisa jamaa kasema!!! Drug trafficking ni crucial kuliko drug possession na drug trafficking haina dhamana kama drug possession mimi nikatolea mfano wa kesi ya shamimu mbona hawakupewa dhamana!????
 
Ile ya kiboko nakumbuka kuna mtu alikoment tu...soon mtamuona kitaa...na kweli haloo
Ni Mimi ndy nilicomment kwamba Kiboko atatoka. Soon.
Na nikaweka na sababu kwann atatoka..

Kiboko na mkewe walikamatwa na grams 250 nyumbani kwao,
Means wakigawana huo MZIGO kila mmoja atakuwa na grams 125..ambacho ni kiasi kidogo sn cha madawa na pia kina dhamana.

Halafu unamfungulia mtu kesi ya trafficking kwa kumkuta na grams 125?.
Na umemkuta nyumbani kwake,,..

Kwann wasichomoke?
Ukikutwa nyumbani huna kesi ya trafficking..
 
Ingekua na Voice note jamii forum ningetuma sauti kabisa jamaa kasema!!! Drug trafficking ni crucial kuliko drug possession na drug trafficking haina dhamana kama drug possession mimi nikatolea mfano wa kesi ya shamimu mbona hawakupewa dhamana!????
Rufaa hawakupata mkuu gugo utaona tu kila kitu kipo
 
Ni Mimi ndy nilicomment kwamba Kiboko atatoka. Soon.
Na nikaweka na sababu kwann atatoka..

Kiboko na mkewe walikamatwa na grams 250 nyumbani kwao,
Means wakigawana huo MZIGO kila mmoja atakuwa na grams 125..ambacho ni kiasi kidogo sn cha madawa na pia kina dhamana.

Halafu unamfungulia mtu kesi ya trafficking kwa kumkuta na grams 125?.
Na umemkuta nyumbani kwake,,..

Kwann wasichomoke?
Ukikutwa nyumbani huna kesi ya trafficking..
Ulikoment 2020 na ndio ilikua post ya mwisho mbaka pale miaka miwili badae alipokuja kukoment mwingine baada ya jamaa kuachiwa......kaka mwandende nimekupa salute zako
 

Attachments

  • Screenshot_20230818-231657.png
    Screenshot_20230818-231657.png
    35.4 KB · Views: 2
Tuanze kwanza huo mzigo umefikaje salasala ? Umepita Airport, Bandarin, au bandarin Chocho? Au ndio tayari kuna Viwanda Bongo??
Yule mbakaji wa facebook aliekamatwa bongo alipitaje viunzi vyote vile toka SA mbka anaingia tena kwa gari??? Ina mana jamaa wanajua kabisa hii sembe na bdo wanachkua chao mzgo unaachiwa au vipi?? Mambo magumu haya kuyachanganua
 
Hii ilendaje, au ndiyo maana TEC wanapinga sana teknolijia kuwepo bandarini? Maana hayo majina yote ni kule kule.

We bibi umejaza ujinga sana kichwani. Hii habari inahusika vipi na tamko la TEC??
 
Watu wamekamatwa salasala tegeta,,utasemaje wanasafirsha madawa?

Hii inchi ngumu Sana...

Na ndy maana wanachukuwa muda mrefu kutoa hukumu.

Kuna tofauti Kati ya.

Trafficking
Dealing
Posession..
Hakuna unachojua Ndugu yangu kuhusu madawa na sidhani kama unaweza kunielekeza chochote kuhusu hiyo sumu kwa maana nimetembea sana kwenye Nchi zinazojihusisha na hiyo Sumu nikiwa kwenye Meli kadhaa na pia vijana wengi walioko kwenye hizo Nchi walikua wanawatafuta Waafrika ili wafanye nao hiyo kazi uzuri niliishaapa kutofanya hiyo kazi milele...

Tumepoteza vijana wengi wengine wamenyongwa China kama Erasto wa Manzese na Tito wa Mbeya wote hao ni vijana wa Pakistan, Iran na SA hapo Cape Town. Wengine walifungwa vifungo virefu hapo Hong Kong.

Mtu unafanya nae kazi kwenye Oil Rig akipata Mtaji anaacha ili akabebe Sumu wengine walifungwa Spain,UK na German mkiona tupo salama jua tumepita kwenye mishale mingi mno harafu leo wewe usiejua kitu unielekezee aina za kesi za madawa hao Vima ni wasafirishaji wa Sumu Duniani ila kosa litatofautiana kutokana na mazingira waliyokamatwa vivyo hivyo hata kwenye Bangi au Milaa...
 
Yule mbakaji wa facebook aliekamatwa bongo alipitaje viunzi vyote vile toka SA mbka anaingia tena kwa gari??? Ina mana jamaa wanajua kabisa hii sembe na bdo wanachkua chao mzgo unaachiwa au vipi?? Mambo magumu haya kuyachanganua
Hakuna Mpaka mgumu wowote wa Kutoka SA mpaka Tanzania na hawahitaji pesa nyingi wengi wanarudi bila kugonga kutoka SA mpaka Tanzania wanatoa rand 200 tuu kama Tsh 30,000 kila mpaka ukitoa rand 400 ni kwa madereva wagawane na maafisa Uhamiaji...ila hiyo gharama imetofautiana na kwenda SA kutokea Tanzania kwa mtu mwenye changamoto ya Passport kuingia SA wanataka rand 1000 huku kwingine ni rand 500 hiyo wanatoa wale waliopigwa fine kuingia SA au Wasomali au mtu yeyote alieacha Passport SA na anataka kurudi unatumia njia za hao madereva...
 
Hakuna unachojua Ndugu yangu kuhusu madawa na sidhani kama unaweza kunielekeza chochote kuhusu hiyo sumu kwa maana nimetembea sana kwenye Nchi zinazojihusisha na hiyo Sumu nikiwa kwenye Meli kadhaa na pia vijana wengi walioko kwenye hizo Nchi walikua wanawatafuta Waafrika ili wafanye nao hiyo kazi uzuri niliishaapa kutofanya hiyo kazi milele...

Tumepoteza vijana wengi wengine wamenyongwa China kama Erasto wa Manzese na Tito wa Mbeya wote hao ni vijana wa Pakistan, Iran na SA hapo Cape Town. Wengine walifungwa vifungo virefu hapo Hong Kong.

Mtu unafanya nae kazi kwenye Oil Rig akipata Mtaji anaacha ili akabebe Sumu wengine walifungwa Spain,UK na German mkiona tupo salama jua tumepita kwenye mishale mingi mno harafu leo wewe usiejua kitu unielekezee aina za kesi za madawa hao Vima ni wasafirishaji wa Sumu Duniani ila kosa litatofautiana kutokana na mazingira waliyokamatwa vivyo hivyo hata kwenye Bangi au Milaa...
Sawa mkuu.
 
Hakuna unachojua Ndugu yangu kuhusu madawa na sidhani kama unaweza kunielekeza chochote kuhusu hiyo sumu kwa maana nimetembea sana kwenye Nchi zinazojihusisha na hiyo Sumu nikiwa kwenye Meli kadhaa na pia vijana wengi walioko kwenye hizo Nchi walikua wanawatafuta Waafrika ili wafanye nao hiyo kazi uzuri niliishaapa kutofanya hiyo kazi milele...

Tumepoteza vijana wengi wengine wamenyongwa China kama Erasto wa Manzese na Tito wa Mbeya wote hao ni vijana wa Pakistan, Iran na SA hapo Cape Town. Wengine walifungwa vifungo virefu hapo Hong Kong.

Mtu unafanya nae kazi kwenye Oil Rig akipata Mtaji anaacha ili akabebe Sumu wengine walifungwa Spain,UK na German mkiona tupo salama jua tumepita kwenye mishale mingi mno harafu leo wewe usiejua kitu unielekezee aina za kesi za madawa hao Vima ni wasafirishaji wa Sumu Duniani ila kosa litatofautiana kutokana na mazingira waliyokamatwa vivyo hivyo hata kwenye Bangi au Milaa...
Ulishawahii kufungwa gereza lolote?
kama hujawahi hata kufungwa gerezani na wala pia sio mwanasheria ,
basi huna unalojuwa kuhusu Sheria hizo za madawa,

Hakuna mtu ambaye anajuwa Sheria na sio mwanasheria kama mtu aliyewahi kupitia vifungo,,

wewe kumbe hata kusogelea hayo madawa ulikuwa unaogopa.
Hata gerezani hujawahi kukaa,,
Utajuwa Sheria za kukamatwa na madawa?

Na ndy maana watu wengi wakishakuwa gerezani wakikata rufaa wanashinda sababu huko watakutana na manguli wa Sheria na kuwafundisha jinsi ya kushinda kesi hata kama hana mwanasheria.,

Na hizo mambo ya kuishi nje na kusafiri tena safari chafu Sana na sio Salama.,tena za kutisha,,
Hapa kwa Mwandende ndy nyumbani kwake..

Usitake nijieleze Sana..
 
Ulishawahii kufungwa gereza lolote?
kama hujawahi hata kufungwa gerezani na wala pia sio mwanasheria ,
basi huna unalojuwa kuhusu Sheria hizo za madawa,

Hakuna mtu ambaye anajuwa Sheria na sio mwanasheria kama mtu aliyewahi kupitia vifungo,,

wewe kumbe hata kusogelea hayo madawa ulikuwa unaogopa.
Hata gerezani hujawahi kukaa,,
Utajuwa Sheria za kukamatwa na madawa?

Na ndy maana watu wengi wakishakuwa gerezani wakikata rufaa wanashinda sababu huko watakutana na manguli wa Sheria na kuwafundisha jinsi ya kushinda kesi hata kama hana mwanasheria.,

Na hizo mambo ya kuishi nje na kusafiri tena safari chafu Sana na sio Salama.,tena za kutisha,,
Hapa kwa Mwandende ndy nyumbani kwake..

Usitake nijieleze Sana..
Nimesoma huu uzi nimekuelewa, huyu Isanga family nadhani ni sawa na vijana wajuaji wa JF. After all kuna jamaa katoa data yako ya 2020 na kutimia 2022 kuhusu Kiboko!
 
Nimesoma huu uzi nimekuelewa, huyu Isanga family nadhani ni sawa na vijana wajuaji wa JF. After all kuna jamaa katoa data yako ya 2020 na kutimia 2022 kuhusu Kiboko!
Mimi najuwa ninachosimamia mkuu,,
Sasa watu wajuwaji halafu debe tupu kama huyo jamaa ,,wapo wengi Sana humu mkuu,,

Miimi huwa nawapuuza.,
 
Mimi najuwa ninachosimamia mkuu,,
Sasa watu wajuwaji halafu debe tupu kama huyo jamaa ,,wapo wengi Sana humu mkuu,,

Miimi huwa nawapuuza.,
Inasikitisha sana, vijana wakuwa wepesi wa kukurupuka Mpaka unaona JF ni kijiwe. Nipo hapa kujifunza na hapo hapo kufunza. Ndo maana nasoma between lines.

Unaona mtu anajibu kwa kukurupuka na kutaka kudowngrade watu. Inasikitisha sana. Ukitoa ushauri unaambiwa mtu anapigwa.

Hivi unaweza kufanya Biashara wakati PM yako umeifunga? Hawana subra ya kutafiti wao wanalimwaga bila kulitafuna. Tuendelee kuwaelimisha taratibu hadi wakomae
 
Inasikitisha sana, vijana wakuwa wepesi wa kukurupuka Mpaka unaona JF ni kijiwe. Nipo hapa kujifunza na hapo hapo kufunza. Ndo maana nasoma between lines.

Unaona mtu anajibu kwa kukurupuka na kutaka kudowngrade watu. Inasikitisha sana. Ukitoa ushauri unaambiwa mtu anapigwa.

Hivi unaweza kufanya Biashara wakati PM yako umeifunga? Hawana subra ya kutafiti wao wanalimwaga bila kulitafuna. Tuendelee kuwaelimisha taratibu hadi wakomae
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom