Wafanyabiashara wafikishwa Mahakamani kwa Kusafirisha Heroin kilo 58.62

Wafanyabiashara wafikishwa Mahakamani kwa Kusafirisha Heroin kilo 58.62

...Hivi wanakamatwaje ? Kama Mtu umeuficha sawasawa mzigo wako na kuchukua tahadhari Zote, unakamatwaje? Mtu anakuwa amekuchomea ? Ama Askari Wetu wamekuwa Mahodari kiasi Hicho ?
Mkuu tendo lolote linalofanyika chini ya jua liwe la hadharani ama mafichoni huwa lazima lijulikane tu.

Kama yeye ni "tajiri la unga", basi "punda" wake akidakwa tayari ni chanzo cha yeye kadakwa.

Ikiwa yeywe ni punda, basi mteja akidakwa na yeye kanaswa!

Pia kuna mbinu za wapelelezi kujifanya wateja nk nk.
 
Kama ndy yule Remy ninayemjuwa Mimi basi kweli karma is really.

It's a long story..
 
Andika kidogo mkuu, ikikupendeza lakini.....mana wanasema mwerevu hujifunza kutokana na makosa ya wenzie...tujifunze kidogo
Alishawahi kumweka jamaa mmoja bond huko Pakistan,
Akashindwa kulipa Deni la $400,000 matokeo yake akamtelekeza jamaa kule akawa anateswa na Wahindi wenye Mali zao huko Pakistan..


Alipofuatwaa nyumbani na ndugu wa jamaa kuhusu ndugu yao aliyetelekezwa,
Akapiga simu Police kwamba amevamiwa na watu hawajuwi.
Ndugu wa jamaa wakalala ndani week nzima.

KARMA IS REALLY NOT JOKE
 
...Hivi wanakamatwaje ? Kama Mtu umeuficha sawasawa mzigo wako na kuchukua tahadhari Zote, unakamatwaje? Mtu anakuwa amekuchomea ? Ama Askari Wetu wamekuwa Mahodari kiasi Hicho ?
Wanachomana!!
 
58kg sio mchezo, lazima ni bosi kwny hyo tasnia. Inaonekana ni mkongwe kabisa....ila hawa jamaa huwa wanaanzaje mbka mzgo wte huo aloo!!!
 
...Hivi wanakamatwaje ? Kama Mtu umeuficha sawasawa mzigo wako na kucukua tahadhari Zote, unakamatwaje? Mtu anakuwa amekuchomea ? Ama Askari Wetu wamekuwa Mahodari kiasi Hicho ?
Wanakuchomea, askari wa TZ bado sana kwenye hizi mambo kichwa kichwa.
Ingekua hivo basi kuna watu wengi sana wangeshakamatwa
 
Watu wamekamatwa salasala tegeta,,utasemaje wansafirsha madawa?

Hii inchi ngumu Sana...

Na ndy maana wanachukuwa muda mrefu kutoa hukumu.

Kuna tofauti Kati ya.

Trafficking
Dealing
Posession..

Yote mwisho wake lazima ule waya tu! Kama nasema uongo basi jichomeke na wewe usikie mlio!
 
Back
Top Bottom